Aie Holding Ltd kampuni toka Israel kuwekeza TZS 575B kwenye kilimo na kutoa ajira za moja kwa moja elfu 70

Aie Holding Ltd kampuni toka Israel kuwekeza TZS 575B kwenye kilimo na kutoa ajira za moja kwa moja elfu 70

Tanzania ni taifa lisilo na dini yoyote "secular"
Ujasusi na taifa la Israel ni [emoji7][emoji108]


Uzao wa Ibrahim uliobarikiwa na Mungu aliye hai

Mwanzo 17
Abramu alipokuwa mtu wa miaka tisini na kenda, Bwana akamtokea Abramu, akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uende mbele yangu, ukawe mkamilifu. Nami nitafanya agano langu kati ya mimi na wewe, nami nitakuzidisha sana sana.

Abramu akaanguka kifudifudi. Mungu akamwambia, akasema, Mimi, agano langu nimefanya nawe, nawe utakuwa baba wa mataifa mengi, wala jina lako hutaitwa tena Abramu, lakini jina lako litakuwa Ibrahimu, kwani nimekuweka uwe baba wa mataifa mengi.

Nitakufanya uwe na uzao mwingi sana, nami nitakufanya kuwa mataifa, na wafalme watatoka kwako. Agano langu nitalifanya imara kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la milele, kwamba nitakuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.

Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako nchi hii unayoikaa ugeni, nchi yote ya Kanaani, kuwa milki ya milele; nami nitakuwa Mungu wao. Mungu akamwambia Ibrahimu, Nawe ulishike agano langu, wewe na uzao wako kwa vizazi vyao baada yako.


Mungu akamwambia Ibrahimu, Sarai mkeo, hutamwita jina lake Sarai, kwa kuwa jina lake litakuwa Sara. Nami nitambariki, na tena nitakupa mwana kwake, naam, nitambariki, naye atakuwa mama wa mataifa, na wafalme wa kabila za watu watatoka kwake.

Ndipo Ibrahimu akaanguka kifudifudi akacheka, akasema moyoni, Je! Mtu wa umri wa miaka mia, kwake atazaliwa mtoto? Naye Sara mwenye umri wa miaka tisini atazaa?

Ibrahimu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmaeli angeishi mbele yako.

Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.

Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu.

Bali agano langu nitalifanya imara kwa Isaka, ambaye Sara atakuzalia majira kama haya mwaka ujao.



Mathayo 22: 32​

Mimi ni Mungu wa Ibrahimu, na Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo? Mungu si Mungu wa wafu, bali wa walio hai.


Nimekuona kitukuu ya Ibrahimu, Isaka na Yakobo Extrovert

Na CM 1774858 unavyofurahia kukutana na kiboko ya Goliath sasa[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Maneno ya busara sana mama D ,

Lazima tuanzishe na kuendeleza kazi nzuri na kubwa zilizoanzishwa kifikra na kimatendo na hayati JPM,

Apumze kwa amani mzee wetu,


.........KAZI IENDELEE .........
Nyie kama Pwagu na Pwaguzi
 
Tanzania ni taifa lisilo na dini yoyote "secular"

Hilo la tanzania kuwa kutokua taifa la kidini linajulikana


Kwani mimi kuna sehemu nimesema wana dini?

Kwani Ibrahim alikua dini gani?

Ishmaili na wale maseyidi kumi na wawili je?

Isaka na zile kabila kumi na mbili za Israeli je?
 
Aliyeibadilisha akaiita Tanzania aliongozwa na nini?
Majina ya watu, sehemu, nchi yana maana kubwa
Unaweza kujiuliza aliyeipa hii nchi jina TangaNYIKA aliongozwa na nini

Mark 1: 3-4​

Sauti ya mtu aliaye nyikani, Itengenezeni njia ya Bwana, Yanyosheni mapito yake.
Yohana alitokea, akibatiza nyikani, na kuuhubiri ubatizo wa toba liletalo ondoleo la dhambi.
 
mnashangilia upuuzi tu, huyu maza tangu awe madarakan hamna kitu anafanya zaid ya maneno na mipasho, nyie mnaomsifia, sifien maana mmewekewa mipenyo na uhuru wa manyani.. ..hao waisrael feki hawajawai mpenda mtu mweusi, sasa uo uwekezaji je?? yaan hawa ndyo wanaomilik uchumi wa dunia na banking systems behind the media, alaf leo waje wakope bongo??, fungueni akili enyi wapumbavu na wavivu wa kufikil, hawa soon mtayaona matokeo ya malengo yao, kwa sasa wacha mjichekeshe, nazan mkishawajua will be too late....
 
Anatia huruma sana, wenzake wengi wamepotea jukwaani sasa, wanakuja kwa kuvizia vizia.
Tangu kifo cha hayati, marehemu, mwendazake, shujaa wa Africa na kiboko ya wazungu na Corona mama D amekosa muelekeo. Hana mbele wa nyuma!
 
Back
Top Bottom