Aie Holding Ltd kampuni toka Israel kuwekeza TZS 575B kwenye kilimo na kutoa ajira za moja kwa moja elfu 70

Aie Holding Ltd kampuni toka Israel kuwekeza TZS 575B kwenye kilimo na kutoa ajira za moja kwa moja elfu 70

Nawasalimu kwa jina la JMT

Wakati uwekezaji kwa miezi sita ya Rais Samia ukikua kwa 400% kutoka $510M March 2021 hadi $2.98bl Sept karibu 7trilioni mambo yanazidi kunoga na kicheko kwa Watanzania kinazidi kukolea,

Moja ya faida kubwa ya Uwekezaji toka nje ( FDI ) ni kutuletea fedha za kigeni,teknolojia,ongezeko la thamani kwenye bidhaa na huduma pamoja na ajira kwa wazawa,Taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi,

Wakati FY 2021|22 Serikali imepanga kuajiri watu elfu 40 Aie Holding LTD pekee wanakuja kuajiri watu elfu 70 kwa Mkupuo sawa na 175% ya ajira zote mpya za serikali kwa mwaka wa fedha wa 2021|2022 ndio maana Rais Samia ameondoa jumla ya tozo 232 nahii ndio sababu kamapuni kama hii ilisajiliwa mwaka 2020 ila uwekezaji inaufanya mwaka wa Rais Samia,

Aie Holding LTD kampuni toka Israeli itawekeza kwenye biashara ya kilimo ,kilimo, elimu ya kilimo pamoja na Vifaa vya kilimo na mashine na itahitaji jumla ya hekta 25,000,Makao makuu yatakuwa D'salaam vituo vingine vitakuwa Mwanza, Morogoro,Njombe,Kagera na Bagamoyo na watatumia zaidi umeme wa jua,

Aie Holding LTD inawekeza jumla ya $250M sawa na Tshs 575BL huku $200 itatumika kujenga miundombinu na $50M itakuwa ni mtaji wa kuanzia biashara,Kazi hii itafanywa kwa ubia na baadhi ya mabenki makubwa matano bila kubali majina ya benki husika huku Staff watakaoajiriwa na kampuni hii kupelekwa kozi ya miezi kati ya 6|7 nchini Israel vijana changamkeni,

" HAKUNA KAMA SAMIA "


.........Kazi iendelee .........





==================================
The CitizenNews
Israeli firm to invest Sh575 billion in agro areas
TUESDAY SEPTEMBER 28 2021

Israel pic
Summary
Some $200 million of the money will be invested in infrastructure of agro-industrial projects, with the remaining $50 million being working capital

Dar es Salaam. Aie Holding Ltd will invest $250 million (about Sh575 billion) in Tanzania’s agro-industrial education and agro-management skills.

The company - which was registered in Tanzania last year - will invest in projects related to agricultural education, logistics division, vegetable oil plant, feed mill, packing and storage, solar power, cattle farm, poultry farm, fish farm, field crops, tropical fruit concentrate, solar power and wastewater treatment.

Headquartered in Dar es Salaam, the company whose founder and chairman is Mr Avi Postelnik, an investor from Israel, will source the money from private equity as well as local and international banks.

“We have already met the TBA (Tanzania Bankers Association) to get their support in organising five big banks to build a syndicate,” without revealing the names of banks, Mr Postelnik said at the weekend .

He said while some $200 million of the money will be invested in infrastructure of the agro-industrial projects, the remaining $50 million would be working capital. “The doors are open for potential local partners,” said Mr Postelnik.

The company, whose operation will be in Dar es Salaam, Kagera, Mwanza, Bagamoyo, Njombe and Morogoro, is expected to create about 70,000 direct jobs including that of chief executive officer to locals.

Agricultural education

Mr Postelnik said agricultural education and training will be provided in Tanzania and Israel.

“We intend to use the advanced agriculture education in Israel by enrolling Tanzanians for short and long periods in our special projects of education available in our country,” he asserted.

Some of its employees, he explained, will be taken to Israel for a 6-7 month training.

“We intend to use their (Israel) know-how to employ graduates in management and technical positions in our agro-industrial projects in Tanzania,” noted Mr Postelnik.

Logistics division

Mr Postelnik said the transportation and Logistics division will be used for delivery of the raw materials to the processing plants and then for transportation of the finished products to the local markets for sale or to the ports for export.

Vegetable oil plant

This plant is designed to process oil seeds, such as Soya bean, sunflower, corn and cotton, and bottle the oil for the local and export market.

This plant is fully automated and the residue containing protein and fat will be used in the feed mill.

Feed mill

The feed mill is specifically designed for feeding our cattle, poultry and fish. The total area for the supplying farms is planned to be around 25,000 hectares.

Packing and storage

He said the whole chicken, eviscerated, cleaned and plucked will be packed in special plastic packaging to be sold as chilled or frozen.

Solar power

All the projects will use solar energy.

Experts from Israel will come to evaluate the sites and advise the type of solar energy for maximization of natural energy

Source : The Citizen

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1956881
Hawa sio 100%Israel Company/Ni Local established Tanzania company na Raia wa Israel. awana hela,wanategemea Hela toka Banks za Tanzania.Kwangu Mimi ni waganga njaa kama wengine. Awana Pesa wala any Technology ya kuwekeza hapa,Wanachopanga fanya hapa Tanzania ,kama Benk zetu zingekuwa rafiki ata mimi na wewe tungefanya. Na pia tunafurahia idadi ya wawekezaji,lakini idadi na Viwanda,miradi inayoanzishwa kwa mwaka ni michache sana,Bado tunatatizo kwenye ishu za uwekezaji na wawekezaji hapa nchini
 
Hawa sio 100%Israel Company/Ni Local established Tanzania company na Raia wa Israel. awana hela,wanategemea Hela toka Banks za Tanzania.Kwangu Mimi ni waganga njaa kama wengine. Awana Pesa wala any Technology ya kuwekeza hapa,Wanachopanga fanya hapa Tanzania ,kama Benk zetu zingekuwa rafiki ata mimi na wewe tungefanya. Na pia tunafurahia idadi ya wawekezaji,lakini idadi na Viwanda,miradi inayoanzishwa kwa mwaka ni michache sana,Bado tunatatizo kwenye ishu za uwekezaji na wawekezaji hapa nchini
HOTUBA YA RAIS SAMIA UMOJA WA MATAIFA NI MIONGONI MWAHOTUBA BORA 7 MKUTANO WA 76
_________________________________

Foreign Policy ( FP) ya Marekani yaitaja hotuba ya Rais Samia Suluhu ya Sept 23|2021 UN Gen Assembly kuwa ndio hotuba bora zaidi toka Africa na nimiongoni mwahotuba saba ( 7 ) bora zaidi zilizotolewa na viongozi wakuu wa nchi kwenye Mkutano mkuu wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa New York Marekani,

Hotuba ya Rais Samia UNGA pia inatajwa kuwa ndio hutoba bora zaidi toka kwa Rais Mwanamke duniani miongoni mwawanawake Marais waliohutubia mkutano huo wa 76,Utafiti huo ulifanywa na Foreign policy kwa kuwahoji wajumbe wa mkutano ule ambao Rais Samia alikuwa miongoni mwawajumbe hao 192 toka nchi 193 wanachama wa UN ambao wengi wao walifika na wengine wachache walishiriki kwa njia ya Mtandao,

Marais wengine sita ( 6 ) kati ya 192 waliotoa hotuba bora kama ilivyo kwa Rais Samia Suluhu Hassan ni Mhe Joe Biden rais wa Marekani, Rais wa Brazil Mhe Jair Bolsonaro,Rais wa China Xi Jinping,Rais wa Lebanoni Mhe Michel Aoun,Rais wa Irani Mhe Ebrahim Raisi’s na waziri mkuu wa India Narendra Modi hakika Rais Samia ni nyota inayong'aa duniani,

Mtakumbuka Rais Samia mara kwa mara katika hotuba yake ile alisifu na kusisitiza Uhusiano wa Kimataifa na mipango ya UN,namnukuu "Ukitaka kwenda haraka nenda peke yako ila ukitaka kwenda mbali nenda na wenzako " huku akitanabaisha Taifa lake la Tanzania kuhitaji zaidi msaada katika Teknolojia pamoja Fedha toka kwa Mataifa mengine huku akionya " Kamwe ushirikiano wa kimataifa hautashindwa kupambana na virusi vya Covid -19,

Rais Samia Suluhu Hassan amezishangaa nchi tajiri kuanza kurudia chanjo ( boosting) wakati nchi nyingi masiki toka Africa utoaji wa chanjo bado wako chini 2% ,amezitaka kuzisaidia ilikufikia lengo la WHO la chanjo 40% kwa nchi zote 193 hadi mwishoni mwamwaka 2021 na kufika 70% mwishoni mwa 2022,endelea kujisomea hapo chini,


=============================

President Samia's speech among seven most important at UNGA 2021

WEDNESDAY SEPTEMBER 29 2021

President Samia Suluhu Hassan addressing the United Nations General Assembly (UNGA).

Summary

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Dar es Salaam.
________________
President’s Samia Suluhu Hassan’s maiden speech at the United Nations General Assembly (Unga), has been mentioned among the seven most important during the session.

On September 23,

President Samia Suluhu Hassan addressed Unga’s 76th session in New York, USA this week.

President Samia Suluhu Hassan’s speech has been selected by American website ‘Foreign Policy (FP)’ among the most important addresses at the assembly and the only one from a female head of state.

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Other head of the whose Unga speeches have been highlited as important includes: the U.S. President Joe Biden, Brazilian President Jair Bolsonaro, Chinese President Xi Jinping, Lebanese President Michel Aoun, Iranian President Ebrahim Raisi’s and Indian Prime Minister Narendra Modi

In their publication, Foreign Policy asked several of their columnists and contributors to weigh in on the speeches they found most compelling or most concerning.

When President Samia finally took the stage to deliver her speech at the Unga, she presented a distinctive contrast to the endless stream of all-male speakers who had preceded her to the podium on the third day of the General Debate.

In her maiden speech, Samia repeatedly praised multilateralism and the United Nations system. She noted her nation’s dependency on technical and financial support from external sources and admonished that “multilateralism cannot and should not succumb to the virus.”

She decried the COVID-19 vaccine inequality, noting that high and middle-income countries were now giving booster vaccinations while developing countries such as Tanzania had barely inoculated even 2 percent of its population.

“The level of vaccine inequity that we see is appalling.It is truly disheartening to see that most of the countries have inoculated less than 2 per cent of the populace and thus need to seek more vaccines for our people,”

“With the current pace, it is less likely that we will meet the WHO threshold of vaccinating at least 40 percent of people in every country by end of 2021, and at least 70 percent by the first half of 2022,” she said.

President Samia also spoke at length on gender equality, a cause she avidly advocates.

“As the first female president in the history of my country, the burden of expectation to deliver gender equality is heavier on my shoulders. Being passionate about gender equality is not sufficient and as such, my government is reviewing policy and legal frameworks in order to come up with actionable and measurable plans to ensure economic empowerment of women and other aspects pertaining to gender equality and gender parity,” she noted.

President Samia pointedly noted that ‘COVID-19 is threatening to roll back the gains made’ in gender equity and said she plans to implement policies aimed at female economic development and political and social advancement.

She assured the Assembly of Tanzania's commitment to remain a formidable member of the United Nations and a dependable supporter of multilateralism.

Other female presidents
Although most African countries joined the UN in the 1960s soon after they attained independence, with a few joining earlier than that or later, it wasn’t until 2006 that the first African female Head of State, Ellen Johnson Sirleaf of Liberia, addressed the UN General Assembly.

Currently, the 54 African member states of the UN make up to 28 percent of its overall membership. Before 2006, only male heads of State and governments had addressed the General Assembly.

Other African female heads of State that followed were Joyce Hilda Banda of Malawi in 2012, Catherine Samba-Panza of the Central African Republic in 2014, and most recently, Sahle-Work Zewde of Ethiopia in 2019.

.........Kazi iendelee.........

C&P
 
Hawa wa Israel wanaanzisha Makampuni lakini ndani ya hiyo kampuni kuna kuwa na kitengo cha ujasusi.
Utaona kampuni kwa nje na inafanya kazi iliyoelekezwa na kilimo kinafanya kumbe kuna kazi nyingine inafanyika ya ujasusi.
Wafanyakazi wa kubwa ni watu wenye mission zao.
Kuna kampuni nyuma huko ilikuwa inaendesha shughuli zake Tanzania baada ya kampuni kutoka kufungwa,watu wakajuwa kuna ujasusi ulikuwa unafanyika kwenye Nchi zetu
Hata Mchina aliyepo Kariakoo anafanya biashara lakini nyuma yake ana jukumu lingine kwa maslahi ya nchi yake. Mfano viwanda nk. Inawezekana hata hizi simu zenye sauti kubwa inapolia au kuzimwa waligundua kuwa tunapenda KELELE
 
HOTUBA YA RAIS SAMIA UMOJA WA MATAIFA NI MIONGONI MWAHOTUBA BORA 7 MKUTANO WA 76
_________________________________

Foreign Policy ( FP) ya Marekani yaitaja hotuba ya Rais Samia Suluhu ya Sept 23|2021 UN Gen Assembly kuwa ndio hotuba bora zaidi toka Africa na nimiongoni mwahotuba saba ( 7 ) bora zaidi zilizotolewa na viongozi wakuu wa nchi kwenye Mkutano mkuu wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa New York Marekani,

Hotuba ya Rais Samia UNGA pia inatajwa kuwa ndio hutoba bora zaidi toka kwa Rais Mwanamke duniani miongoni mwawanawake Marais waliohutubia mkutano huo wa 76,Utafiti huo ulifanywa na Foreign policy kwa kuwahoji wajumbe wa mkutano ule ambao Rais Samia alikuwa miongoni mwawajumbe hao 192 toka nchi 193 wanachama wa UN ambao wengi wao walifika na wengine wachache walishiriki kwa njia ya Mtandao,

Marais wengine sita ( 6 ) kati ya 192 waliotoa hotuba bora kama ilivyo kwa Rais Samia Suluhu Hassan ni Mhe Joe Biden rais wa Marekani, Rais wa Brazil Mhe Jair Bolsonaro,Rais wa China Xi Jinping,Rais wa Lebanoni Mhe Michel Aoun,Rais wa Irani Mhe Ebrahim Raisi’s na waziri mkuu wa India Narendra Modi hakika Rais Samia ni nyota inayong'aa duniani,

Mtakumbuka Rais Samia mara kwa mara katika hotuba yake ile alisifu na kusisitiza Uhusiano wa Kimataifa na mipango ya UN,namnukuu "Ukitaka kwenda haraka nenda peke yako ila ukitaka kwenda mbali nenda na wenzako " huku akitanabaisha Taifa lake la Tanzania kuhitaji zaidi msaada katika Teknolojia pamoja Fedha toka kwa Mataifa mengine huku akionya " Kamwe ushirikiano wa kimataifa hautashindwa kupambana na virusi vya Covid -19,

Rais Samia Suluhu Hassan amezishangaa nchi tajiri kuanza kurudia chanjo ( boosting) wakati nchi nyingi masiki toka Africa utoaji wa chanjo bado wako chini 2% ,amezitaka kuzisaidia ilikufikia lengo la WHO la chanjo 40% kwa nchi zote 193 hadi mwishoni mwamwaka 2021 na kufika 70% mwishoni mwa 2022,endelea kujisomea hapo chini,


=============================

President Samia's speech among seven most important at UNGA 2021

WEDNESDAY SEPTEMBER 29 2021

President Samia Suluhu Hassan addressing the United Nations General Assembly (UNGA).

Summary

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Dar es Salaam.
________________
President’s Samia Suluhu Hassan’s maiden speech at the United Nations General Assembly (Unga), has been mentioned among the seven most important during the session.

On September 23,

President Samia Suluhu Hassan addressed Unga’s 76th session in New York, USA this week.

President Samia Suluhu Hassan’s speech has been selected by American website ‘Foreign Policy (FP)’ among the most important addresses at the assembly and the only one from a female head of state.

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Other head of the whose Unga speeches have been highlited as important includes: the U.S. President Joe Biden, Brazilian President Jair Bolsonaro, Chinese President Xi Jinping, Lebanese President Michel Aoun, Iranian President Ebrahim Raisi’s and Indian Prime Minister Narendra Modi

In their publication, Foreign Policy asked several of their columnists and contributors to weigh in on the speeches they found most compelling or most concerning.

When President Samia finally took the stage to deliver her speech at the Unga, she presented a distinctive contrast to the endless stream of all-male speakers who had preceded her to the podium on the third day of the General Debate.

In her maiden speech, Samia repeatedly praised multilateralism and the United Nations system. She noted her nation’s dependency on technical and financial support from external sources and admonished that “multilateralism cannot and should not succumb to the virus.”

She decried the COVID-19 vaccine inequality, noting that high and middle-income countries were now giving booster vaccinations while developing countries such as Tanzania had barely inoculated even 2 percent of its population.

“The level of vaccine inequity that we see is appalling.It is truly disheartening to see that most of the countries have inoculated less than 2 per cent of the populace and thus need to seek more vaccines for our people,”

“With the current pace, it is less likely that we will meet the WHO threshold of vaccinating at least 40 percent of people in every country by end of 2021, and at least 70 percent by the first half of 2022,” she said.

President Samia also spoke at length on gender equality, a cause she avidly advocates.

“As the first female president in the history of my country, the burden of expectation to deliver gender equality is heavier on my shoulders. Being passionate about gender equality is not sufficient and as such, my government is reviewing policy and legal frameworks in order to come up with actionable and measurable plans to ensure economic empowerment of women and other aspects pertaining to gender equality and gender parity,” she noted.

President Samia pointedly noted that ‘COVID-19 is threatening to roll back the gains made’ in gender equity and said she plans to implement policies aimed at female economic development and political and social advancement.

She assured the Assembly of Tanzania's commitment to remain a formidable member of the United Nations and a dependable supporter of multilateralism.

Other female presidents
Although most African countries joined the UN in the 1960s soon after they attained independence, with a few joining earlier than that or later, it wasn’t until 2006 that the first African female Head of State, Ellen Johnson Sirleaf of Liberia, addressed the UN General Assembly.

Currently, the 54 African member states of the UN make up to 28 percent of its overall membership. Before 2006, only male heads of State and governments had addressed the General Assembly.

Other African female heads of State that followed were Joyce Hilda Banda of Malawi in 2012, Catherine Samba-Panza of the Central African Republic in 2014, and most recently, Sahle-Work Zewde of Ethiopia in 2019.

.........Kazi iendelee.........

C&P
Ingekuwa from reputable Newspapers hapo sawa! ameshindwa ata onana/piga picha na ata Makamu wa Rais wa USA🤣🤣🤣 How comes Hotuba yake iwe one of talk of the town😳😳
 
Nawasalimu kwa jina la JMT

Wakati uwekezaji kwa miezi sita ya Rais Samia ukikua kwa 400% kutoka $510M March 2021 hadi $2.98bl Sept karibu 7trilioni mambo yanazidi kunoga na kicheko kwa Watanzania kinazidi kukolea,

Moja ya faida kubwa ya Uwekezaji toka nje ( FDI ) ni kutuletea fedha za kigeni,teknolojia,ongezeko la thamani kwenye bidhaa na huduma pamoja na ajira kwa wazawa,Taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi,

Wakati FY 2021|22 Serikali imepanga kuajiri watu elfu 40 Aie Holding LTD pekee wanakuja kuajiri watu elfu 70 kwa Mkupuo sawa na 175% ya ajira zote mpya za serikali kwa mwaka wa fedha wa 2021|2022 ndio maana Rais Samia ameondoa jumla ya tozo 232 nahii ndio sababu kamapuni kama hii ilisajiliwa mwaka 2020 ila uwekezaji inaufanya mwaka wa Rais Samia,

Aie Holding LTD kampuni toka Israeli itawekeza kwenye biashara ya kilimo ,kilimo, elimu ya kilimo pamoja na Vifaa vya kilimo na mashine na itahitaji jumla ya hekta 25,000,Makao makuu yatakuwa D'salaam vituo vingine vitakuwa Mwanza, Morogoro,Njombe,Kagera na Bagamoyo na watatumia zaidi umeme wa jua,

Aie Holding LTD inawekeza jumla ya $250M sawa na Tshs 575BL huku $200 itatumika kujenga miundombinu na $50M itakuwa ni mtaji wa kuanzia biashara,Kazi hii itafanywa kwa ubia na baadhi ya mabenki makubwa matano bila kubali majina ya benki husika huku Staff watakaoajiriwa na kampuni hii kupelekwa kozi ya miezi kati ya 6|7 nchini Israel vijana changamkeni,

" HAKUNA KAMA SAMIA "


.........Kazi iendelee .........





==================================
The CitizenNews
Israeli firm to invest Sh575 billion in agro areas
TUESDAY SEPTEMBER 28 2021

Israel pic
Summary
Some $200 million of the money will be invested in infrastructure of agro-industrial projects, with the remaining $50 million being working capital

Dar es Salaam. Aie Holding Ltd will invest $250 million (about Sh575 billion) in Tanzania’s agro-industrial education and agro-management skills.

The company - which was registered in Tanzania last year - will invest in projects related to agricultural education, logistics division, vegetable oil plant, feed mill, packing and storage, solar power, cattle farm, poultry farm, fish farm, field crops, tropical fruit concentrate, solar power and wastewater treatment.

Headquartered in Dar es Salaam, the company whose founder and chairman is Mr Avi Postelnik, an investor from Israel, will source the money from private equity as well as local and international banks.

“We have already met the TBA (Tanzania Bankers Association) to get their support in organising five big banks to build a syndicate,” without revealing the names of banks, Mr Postelnik said at the weekend .

He said while some $200 million of the money will be invested in infrastructure of the agro-industrial projects, the remaining $50 million would be working capital. “The doors are open for potential local partners,” said Mr Postelnik.

The company, whose operation will be in Dar es Salaam, Kagera, Mwanza, Bagamoyo, Njombe and Morogoro, is expected to create about 70,000 direct jobs including that of chief executive officer to locals.

Agricultural education

Mr Postelnik said agricultural education and training will be provided in Tanzania and Israel.

“We intend to use the advanced agriculture education in Israel by enrolling Tanzanians for short and long periods in our special projects of education available in our country,” he asserted.

Some of its employees, he explained, will be taken to Israel for a 6-7 month training.

“We intend to use their (Israel) know-how to employ graduates in management and technical positions in our agro-industrial projects in Tanzania,” noted Mr Postelnik.

Logistics division

Mr Postelnik said the transportation and Logistics division will be used for delivery of the raw materials to the processing plants and then for transportation of the finished products to the local markets for sale or to the ports for export.

Vegetable oil plant

This plant is designed to process oil seeds, such as Soya bean, sunflower, corn and cotton, and bottle the oil for the local and export market.

This plant is fully automated and the residue containing protein and fat will be used in the feed mill.

Feed mill

The feed mill is specifically designed for feeding our cattle, poultry and fish. The total area for the supplying farms is planned to be around 25,000 hectares.

Packing and storage

He said the whole chicken, eviscerated, cleaned and plucked will be packed in special plastic packaging to be sold as chilled or frozen.

Solar power

All the projects will use solar energy.

Experts from Israel will come to evaluate the sites and advise the type of solar energy for maximization of natural energy

Source : The Citizen

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1956881
#FreePalestine
 
Nawasalimu kwa jina la JMT

Wakati uwekezaji kwa miezi sita ya Rais Samia ukikua kwa 400% kutoka $510M March 2021 hadi $2.98bl Sept karibu 7trilioni mambo yanazidi kunoga na kicheko kwa Watanzania kinazidi kukolea,

Moja ya faida kubwa ya Uwekezaji toka nje ( FDI ) ni kutuletea fedha za kigeni,teknolojia,ongezeko la thamani kwenye bidhaa na huduma pamoja na ajira kwa wazawa,Taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi,

Wakati FY 2021|22 Serikali imepanga kuajiri watu elfu 40 Aie Holding LTD pekee wanakuja kuajiri watu elfu 70 kwa Mkupuo sawa na 175% ya ajira zote mpya za serikali kwa mwaka wa fedha wa 2021|2022 ndio maana Rais Samia ameondoa jumla ya tozo 232 nahii ndio sababu kamapuni kama hii ilisajiliwa mwaka 2020 ila uwekezaji inaufanya mwaka wa Rais Samia,

Aie Holding LTD kampuni toka Israeli itawekeza kwenye biashara ya kilimo ,kilimo, elimu ya kilimo pamoja na Vifaa vya kilimo na mashine na itahitaji jumla ya hekta 25,000,Makao makuu yatakuwa D'salaam vituo vingine vitakuwa Mwanza, Morogoro,Njombe,Kagera na Bagamoyo na watatumia zaidi umeme wa jua,

Aie Holding LTD inawekeza jumla ya $250M sawa na Tshs 575BL huku $200 itatumika kujenga miundombinu na $50M itakuwa ni mtaji wa kuanzia biashara,Kazi hii itafanywa kwa ubia na baadhi ya mabenki makubwa matano bila kubali majina ya benki husika huku Staff watakaoajiriwa na kampuni hii kupelekwa kozi ya miezi kati ya 6|7 nchini Israel vijana changamkeni,

" HAKUNA KAMA SAMIA "


.........Kazi iendelee .........





==================================
The CitizenNews
Israeli firm to invest Sh575 billion in agro areas
TUESDAY SEPTEMBER 28 2021

Israel pic
Summary
Some $200 million of the money will be invested in infrastructure of agro-industrial projects, with the remaining $50 million being working capital

Dar es Salaam. Aie Holding Ltd will invest $250 million (about Sh575 billion) in Tanzania’s agro-industrial education and agro-management skills.

The company - which was registered in Tanzania last year - will invest in projects related to agricultural education, logistics division, vegetable oil plant, feed mill, packing and storage, solar power, cattle farm, poultry farm, fish farm, field crops, tropical fruit concentrate, solar power and wastewater treatment.

Headquartered in Dar es Salaam, the company whose founder and chairman is Mr Avi Postelnik, an investor from Israel, will source the money from private equity as well as local and international banks.

“We have already met the TBA (Tanzania Bankers Association) to get their support in organising five big banks to build a syndicate,” without revealing the names of banks, Mr Postelnik said at the weekend .

He said while some $200 million of the money will be invested in infrastructure of the agro-industrial projects, the remaining $50 million would be working capital. “The doors are open for potential local partners,” said Mr Postelnik.

The company, whose operation will be in Dar es Salaam, Kagera, Mwanza, Bagamoyo, Njombe and Morogoro, is expected to create about 70,000 direct jobs including that of chief executive officer to locals.

Agricultural education

Mr Postelnik said agricultural education and training will be provided in Tanzania and Israel.

“We intend to use the advanced agriculture education in Israel by enrolling Tanzanians for short and long periods in our special projects of education available in our country,” he asserted.

Some of its employees, he explained, will be taken to Israel for a 6-7 month training.

“We intend to use their (Israel) know-how to employ graduates in management and technical positions in our agro-industrial projects in Tanzania,” noted Mr Postelnik.

Logistics division

Mr Postelnik said the transportation and Logistics division will be used for delivery of the raw materials to the processing plants and then for transportation of the finished products to the local markets for sale or to the ports for export.

Vegetable oil plant

This plant is designed to process oil seeds, such as Soya bean, sunflower, corn and cotton, and bottle the oil for the local and export market.

This plant is fully automated and the residue containing protein and fat will be used in the feed mill.

Feed mill

The feed mill is specifically designed for feeding our cattle, poultry and fish. The total area for the supplying farms is planned to be around 25,000 hectares.

Packing and storage

He said the whole chicken, eviscerated, cleaned and plucked will be packed in special plastic packaging to be sold as chilled or frozen.

Solar power

All the projects will use solar energy.

Experts from Israel will come to evaluate the sites and advise the type of solar energy for maximization of natural energy

Source : The Citizen

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1956881
Hizo nguo zooote anazovalishwa Chifu hangaya si zitakuwa zinamfanya atoke jasho sana kiasi kwamba wakati wa kuzivu....... lazima iwe kimbembe
 
Hata Mchina aliyepo Kariakoo anafanya biashara lakini nyuma yake ana jukumu lingine kwa maslahi ya nchi yake. Mfano viwanda nk. Inawezekana hata hizi simu zenye sauti kubwa inapolia au kuzimwa waligundua kuwa tunapenda KELELE
😍😍😍
 
Hawa wa Israel wanaanzisha Makampuni lakini ndani ya hiyo kampuni kuna kuwa na kitengo cha ujasusi.
Utaona kampuni kwa nje na inafanya kazi iliyoelekezwa na kilimo kinafanya kumbe kuna kazi nyingine inafanyika ya ujasusi.
Wafanyakazi wa kubwa ni watu wenye mission zao.
Kuna kampuni nyuma huko ilikuwa inaendesha shughuli zake Tanzania baada ya kampuni kutoka kufungwa,watu wakajuwa kuna ujasusi ulikuwa unafanyika kwenye Nchi zetu
Kila nchi inafanya ujasusi. Ni mambo ya kawaida. Kama maadui wa Israel wapo hapa Tanzania, lazima wa Israel wafanye ujasusi ili wajue maadui wao wanachofanya na wanachopanga kukifanya ili waweze kuilinda Israel na raia wao.
 
Hawa wa Israel wanaanzisha Makampuni lakini ndani ya hiyo kampuni kuna kuwa na kitengo cha ujasusi.
Utaona kampuni kwa nje na inafanya kazi iliyoelekezwa na kilimo kinafanya kumbe kuna kazi nyingine inafanyika ya ujasusi.
Wafanyakazi wa kubwa ni watu wenye mission zao.
Kuna kampuni nyuma huko ilikuwa inaendesha shughuli zake Tanzania baada ya kampuni kutoka kufungwa,watu wakajuwa kuna ujasusi ulikuwa unafanyika kwenye Nchi zetu
Unatengeneza story tupe insight ya unachokufahamu juu ya hii kampuni basing na madai yako...Hizi ni propaganda baada ya kushiba wali na maharage...Hamna kitu ulichoongea hapa
 
Unatengeneza story tupe insight ya unachokufahamu juu ya hii kampuni basing na madai yako...Hizi ni propaganda baada ya kushiba wali na maharage...Hamna kitu ulichoongea hapa
Rudi shule ukapate Elimu itakukomboa.
Mi nimeandika sijaongea.
Kijana uliyezaliwa 2000 utawezaje kufahama mashiriki yalikuwepo kipindi cha Chuma huko
 
Back
Top Bottom