Aina hii ya Wanawake ni kama Kutafuta Nyoka mwenye Miguu

Aina hii ya Wanawake ni kama Kutafuta Nyoka mwenye Miguu

Nashukuru me ninae wa hivyo vigezo hata yule aliopita alikuwa na hivyo hivyo vigezo tulishwandwana kitu moja tu ikapelekea mahusiano yetu kuvunjika ni kwenye upande wa dini Wazazi wake walikuwa na vikwazo Sana kwasababu nilikuwa ni mkristo baba yake alinitisha niachane na mtoto wao wa kislamu ila kabla ya huyu wasasa na aliyopita nilikutana na mabinti wasiokuwa na akili wengi ambao wapo kimaslahi Sana kama unaowalalamikia.Nakushauri ndugu yangu we endelea na kubahatisha hivyo hivyo ipo siku utampata huyo demu mwenye mahitaji unayotaka
Si huwa nasikia ukifunga na kusali unapata?
 
Wapo tatizo uzuri una maanisha ni matacle wapo kibao mnawabeza sana huku kanda ya kaskazini
 
Tafuta ambae amepigwa pasi kama muhindi wanasemaga wanakuwa na akili sana za maisha ila usije tafuta mwenye matako makubwa uwa wanasema hawana akili pambana usisahau kufunga na kuomba
 
Mwanamke
1. Mzuri wa Sura
2. Mzuri wa Umbo
3. MWENYE AKILI?

Ni nadra sana hasa miaka yetu hii. Nahangaika sana nipate mwanamke wa namna hiyo. Inakuwa changamoto.

Unakuta dada mzuri wa umbo na sura lakini kichwani.... Empty. Unaumia sana kuwa huyu si anaweza hata kukuambukiza upumbavu?

Miaka hii.. sijui ni kutokana na aina ya vyakula tulavyo...watoto wanazaliwa wazuri sana hasa mabinti. Lakini kichwani kumejaa tu mayonnaise hamna kitu.

Sisi wengine tunabaki tu tunaumia. Maana pia shida inakuwa kubwa wenye akili nao hawazaani sana ukilinganisha na hawa wengine...

NIMPATE WAPI MWANAMKE MZURI WA SURA,UMBO NA MWENYE AKILI (MZURI WA TABIA)? Nimpate wapi mimi Chizi Maarifa?
Kwamba kwenye mafuvu ya pisi kali badala ya kukaa ubongo kumejaa mayonnaise😂😂😂😂😂😂
 
YOTE NI KWA UTUKUFU WA MUUMBAJI.
ETI UWE NA SURA NZURI, UMBILE ZURI, HALAFU UNA RADHA POA, NA AKILI PIA?
KUNA KITU LAZIMA MUUMBA AKUPUNGUZIE.
SURA, SHAPE, RANGI,AKILI VYOTE POA. ILA MANENO YA ULIMI SASA!!!!!!😡😡
 
Ukiwa na akili unaoa wake wengi wenye sifa tofauti, mmoja kuwa na sifa zote hizo labda wa kuchora.
 
Wapo kibao kama unapenda wenye sifa hizo na umri mdogo nenda katege udbs pale udsm

Kama unapenda wakubwa wenye sifa hizo nenda katege kampuni za auditing big 4.. uone pisi kali zenye akilii kubwaaa..

Ila mpaka uwapate uwe na wewe akiliii kubwaa na pesaa mingiiii
Huu mtyan sasa[emoji848]
 
Wapo kibao kama unapenda wenye sifa hizo na umri mdogo nenda katege udbs pale udsm

Kama unapenda wakubwa wenye sifa hizo nenda katege kampuni za auditing big 4.. uone pisi kali zenye akilii kubwaaa..

Ila mpaka uwapate uwe na wewe akiliii kubwaa na pesaa mingiiii
Umechanganya madesa
 
Nashukuru me ninae wa hivyo vigezo hata yule aliopita alikuwa na hivyo hivyo vigezo tulishwandwana kitu moja tu ikapelekea mahusiano yetu kuvunjika ni kwenye upande wa dini Wazazi wake walikuwa na vikwazo Sana kwasababu nilikuwa ni mkristo baba yake alinitisha niachane na mtoto wao wa kislamu ila kabla ya huyu wasasa na aliyopita nilikutana na mabinti wasiokuwa na akili wengi ambao wapo kimaslahi Sana kama unaowalalamikia.Nakushauri ndugu yangu we endelea na kubahatisha hivyo hivyo ipo siku utampata huyo demu mwenye mahitaji unayotaka
Nisaidie namba ya huyo ambaye Dini ilikuwa kikwazo maana mimi hilo nmelivuka. Nashukuru sana.
 
Wapo kibao kama unapenda wenye sifa hizo na umri mdogo nenda katege udbs pale udsm

Kama unapenda wakubwa wenye sifa hizo nenda katege kampuni za auditing big 4.. uone pisi kali zenye akilii kubwaaa..

Ila mpaka uwapate uwe na wewe akiliii kubwaa na pesaa mingiiii
Ukishaweka kigezo cha pesa tayari wa hivyo anappteza sifa.
 
Mwanamke
1. Mzuri wa Sura
2. Mzuri wa Umbo
3. MWENYE AKILI?

Ni nadra sana hasa miaka yetu hii. Nahangaika sana nipate mwanamke wa namna hiyo. Inakuwa changamoto.

Unakuta dada mzuri wa umbo na sura lakini kichwani.... Empty. Unaumia sana kuwa huyu si anaweza hata kukuambukiza upumbavu?

Miaka hii.. sijui ni kutokana na aina ya vyakula tulavyo...watoto wanazaliwa wazuri sana hasa mabinti. Lakini kichwani kumejaa tu mayonnaise hamna kitu.

Sisi wengine tunabaki tu tunaumia. Maana pia shida inakuwa kubwa wenye akili nao hawazaani sana ukilinganisha na hawa wengine...

NIMPATE WAPI MWANAMKE MZURI WA SURA,UMBO NA MWENYE AKILI (MZURI WA TABIA)? Nimpate wapi mimi Chizi Maarifa?
Ukikosa mwanamke wa kuoa mwenye akili plus tako, shape,sura ya mama bas ujue wewe ndo huna akili ya kuwapata maana wapo tu wa kutosha ila kuwaona hutumii macho unatumia akili.
 
Ukishaweka kigezo cha pesa tayari wa hivyo anappteza sifa.

Pesa ni kipimo cha akili . Hakuna binadamu mwenye akili ambaye hapendi pesa.

Hakuna mwanamke mwenye akili ambaye atasema yes kwa mtu ambaye hana pesa maana pesa ndiyo kipimo cha akili
 
Back
Top Bottom