blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Alafu wanajiona wajanja eti...!!R chuga wengi ni primitives Wana ujanja wa zamani
Maasai bhana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu wanajiona wajanja eti...!!R chuga wengi ni primitives Wana ujanja wa zamani
bhangii mbaya sanaa vijana wanapotea aiseee..ukiwapekua hapo kila mmoja ana disibisi na kiwembe mfukoni. bange mbaya sana na kwa arusha sio wanaume tu hadi wanawake wanavuta bange na kula mirungi.
Tayari imekuwa identity kwao na ni ngumu kufutikaHawa machizi tuu!hatuezi songa mbele kama taifa kwa vijana wa type hizi!ningekua rais hawa wote ningesukuma ndani!
Hao machalii wala hawana habari na uasi, wao ni bangi tu, wangeamua wangeshaasi.ni bahati nzuri tu hii nchi serikali ya ccm wanaidhibiti kikamilifu kiusalama la sivyo tungekuwa na serikali legelege kwenye usalama huu mkoa unaweza kutoa hata kikundi cha uasi kwa aina ya vijana waliopo ni vijana wa hovyo kuliko maelezo vijana wasiojijali kwao maisha hayana thamani sababu bange na visungura ndio kila kitu kwao na maisha ya kuigaiga upumbavu.
Sana..wajinga na wapumbavu kabisaaWapumbavu sana ..
Unaona sasa akili zao..kwa hiyo Arusha kuwa Jiji na ubwege wao vinahusiana nini....si bora hivyo kuliko vijana wa dar wanaokulana wao kwa wao.....
najua nimeandika ujinga hapo ila dhumuni langu ni kuonesha ubaya kwa kujumuisha mambo.... sio wote wako hivyo, ingekua wote wako hivyo basi arusha isingekua jiji
Hata wanawake wa huko ni majanga matupu...yaani mabangi tu...wanaboa sana...hata wazazi wao hawafurahii kuwaona hivyo.. basi tu hawana namna...taifa kweli litajengwa na VIJANA wa hovyo wa namna hiyo...?ukiwapekua hapo kila mmoja ana disibisi na kiwembe mfukoni. bange mbaya sana na kwa arusha sio wanaume tu hadi wanawake wanavuta bange na kula mirungi.
namaanisha sio wote wako hivyo, ni wachache....Unaona sasa akili zao..kwa hiyo Arusha kuwa Jiji na ubwege wao vinahusiana nini....
Wala hata siyo Masai. Wachagga wamemeza Arusha hata masai haonekaniAlafu wanajiona wajanja eti...!!
Maasai bhana...