Aina ya maisha kwa vijana wa Arusha tunahitaji mjadala wa kitaifa

Aina ya maisha kwa vijana wa Arusha tunahitaji mjadala wa kitaifa

Hayo ni maisha yao, we shughulika na yako
Hawajaja kukuomba ugali
 
Mmoj juzi anasema yeye alishakufaa siku nyingiii ule ni mwilii tuu so haogopi kifo wala kitu yoyotee yanii....nadhani kama huyo hapoo sijui kama yupo hai kifikra wala mawazooo...bhangiiiii kunakuchaa mpaka usiku.
Dereva wa bajaji alikua anahojiwa juzi anasema eti wananjaa Kali mpaka zinapiga alamu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Unaweza kukuta wazazi wa hao vijana au walezi wa hao vijana,nao wapo kwenye huu uzi wanachangia kuwasema hao vijana wa AR,

Wamesahau kabisa kua hayo ni matokeo ya malezi yao.
acha ujinga ndugu, hivi kweli mwizi wa aina hiyo atakuwa hata anaingia kwenye computer, yeye au wazazi wake? mbona akili zenu fupi sana aisee?
 
D078D81C-1129-4E95-A78E-4B033B39E9E2.jpeg
Hayo ni maisha yao, we shughulika na yako
Hawajaja kukuomba ugali
 
Mbona mmezidi kutusimanga sana huku JF ase hapo chuga sisi tupo na life yetu alafu hatujawai fanyia mtu fujo Kama ajazingua ila nawakumbusha tare 15/10/2023 tuna rally mje mshuhudie ile love tupo nayo watu wa kaskanzini View attachment 2708762
FB_IMG_16912063158351092.jpg
 
acha upumbavu we ccm inaingiaje hapo!?
Ni bahati nzuri tu hii nchi serikali ya ccm wanaidhibiti kikamilifu kiusalama la sivyo tungekuwa na serikali legelege kwenye usalama huu mkoa unaweza kutoa hata kikundi cha uasi kwa aina ya vijana waliopo ni vijana wa hovyo kuliko maelezo vijana wasiojijali kwao maisha hayana thamani sababu bange na visungura ndio kila kitu kwao na maisha ya kuigaiga upumbavu.
 
Back
Top Bottom