Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dereva wa bajaji alikua anahojiwa juzi anasema eti wananjaa Kali mpaka zinapiga alamuMmoj juzi anasema yeye alishakufaa siku nyingiii ule ni mwilii tuu so haogopi kifo wala kitu yoyotee yanii....nadhani kama huyo hapoo sijui kama yupo hai kifikra wala mawazooo...bhangiiiii kunakuchaa mpaka usiku.
Basi hao wajaluo....wachaga sio wapumbavu hvyo...Wala hata siyo Masai. Wachagga wamemeza Arusha hata masai haonekani
acha ujinga ndugu, hivi kweli mwizi wa aina hiyo atakuwa hata anaingia kwenye computer, yeye au wazazi wake? mbona akili zenu fupi sana aisee?Unaweza kukuta wazazi wa hao vijana au walezi wa hao vijana,nao wapo kwenye huu uzi wanachangia kuwasema hao vijana wa AR,
Wamesahau kabisa kua hayo ni matokeo ya malezi yao.
Ni bahati nzuri tu hii nchi serikali ya ccm wanaidhibiti kikamilifu kiusalama la sivyo tungekuwa na serikali legelege kwenye usalama huu mkoa unaweza kutoa hata kikundi cha uasi kwa aina ya vijana waliopo ni vijana wa hovyo kuliko maelezo vijana wasiojijali kwao maisha hayana thamani sababu bange na visungura ndio kila kitu kwao na maisha ya kuigaiga upumbavu.