Aina ya single mother unayeweza kuingia naye kwenye ndoa

Bila kaburi yababa ntoto kuyonekana utapata shida sana.
Owa sino maza akiyefiwa na mumewe
 
Single mother kwangu atabaki kuwa mchepuko tu siyo kuoa kama mke

Nafahamu wapo single maza wazuri na wanaojitambua ila kwangu ataishia kuwa mchepuko basi
Ujiandae kupata Umeme pia. Kama hujamweka ndani akawa mchepuko basi ujue ana michepuka kwa uchache sana mitatu. Na kila mtu anapiga kwa style yake.

Peku peku, wengine mbele, wengine nyuma na mbele.

Ni hatari sana kuwa na Mchepuko Single maza kama unamkubali bora uoe tu
 
Ukiona maelezo meeengii, ujue huu ni utakatishaji tu kama utakatishaji mwingine wowote haramu.
Mleta mada ni Mtakatishaji haramu.
 
Mimi siamini kama kuna ugonjwa unaitwa umeme (ukimwi)

Naamini magonjwa mengine kama kisonono, kaswende na mengine ya zinaa ambayo yanatibika

Ila siamini kama kuna ugonjwa usio na dawa unaitwa ukimwi!

Huwa najipigia tu siwazagi huo ugonjwa na nimeshalala na wengi bila Idadi hadi wale wanaojiuza bila idadi na siwazagi huo umeme!

Naweza kuwa na michepuko hata 10 ila official mke ni mmoja tu maisha yote mpaka nife

Sina muda wala nafasi ya kuwa na wake wawili
 
Acheni Single Mother Waje Kwetu, Nyie Wakataeni Sisi Tunalea Huku.

Tena Ili Kumla Hakikisha Unapenda Mtoto Na Kumjali Mara Dufu Hapo Mama Wa Mtoto Atakususia Nzima Nzima.

Acha Nipumzishe Mwili Niende Kwenye Uzi Wa NoFap Challenge.
 
Single mother kama hujaona kaburi la aliyemzalisha kaa mbali,mita mia!
 
Hiiwezekani
 
Be ready to be responsible.....usije ukaanza kulalamikia watu eti wanakunyanyapaa.

Hata wanywa pombe na wavuta sigara huwa hawaamini mpaka yawakute.
 
Be ready to be responsible.....usije ukaanza kulalamikia watu eti wanakunyanyapaa.

Hata wanywa pombe na wavuta sigara huwa hawaamini mpaka yawakute.
Mimi sitaumwa huo ugonjwa

Na Hakuna namna unaweza kubadili msimamo wangu

Sina muda wa kuoa wanawake wawili
 
Nafikiri kwa vijana ambao hawajaoa au kuolewa waanzishe huu utaratibu.

Hakuna kuoa mwanamke mwenye mtoto na hakuna kukubali kuolewa na mwanaume mwenye mtoto. Kila mtu arudi kwa yule mtu aliyezaa nae wakaanze maisha.
Ni ushauri mzuri na unaonwa na wengi ila wa kuufuata hayupo hata mmoja ๐Ÿ˜€
 
Nafikiri kwa vijana ambao hawajaoa au kuolewa waanzishe huu utaratibu.

Hakuna kuoa mwanamke mwenye mtoto na hakuna kukubali kuolewa na mwanaume mwenye mtoto. Kila mtu arudi kwa yule mtu aliyezaa nae wakaanze maisha.
Una kitu,usikilizwe
 
Kijana umeanza siasa za double chance


Hakuna double chance kwa single maza ndugu either win or lose yani hata hakuna draw๐Ÿ˜

Draw no bet ndo fixture inayofaa kwa single maza ๐Ÿ˜

Unaanzaje maisha na mtu kakupiga handicap wewe๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Hata hii lugha kama hujaelewa subiri wa dubwi waje kukuelewesha๐Ÿƒ๐Ÿฝโ€โ™‚๏ธ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ