Django Doer
JF-Expert Member
- Jun 30, 2023
- 2,865
- 5,184
Undefinedsingle fathers?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Undefinedsingle fathers?
NakaziaSingle maza ni bomu... Muda wowote linasubiri kulipuka...
Swali zuri sana hiliIla wale wadada wa insta sijawahi kuwaona kitaa sijui kwa nini[emoji848]
Sijui niite ni mna moyo au ni unafiki, mie siwezi aisee, ampeleke kwa baba yake.Ila inahitaji moyo sana kulea mtoto wa mwanaume mwenzio, wadada mtushukuru sana wanaume tunaofanya hivyo
Duh mjomba kauzuu 😁Ikishachacha imechacha, haiwezi nakishiwa kwa kuchemshwa sana ama kuongezewa viungo vingi ili inukie vizuri.
Imeshachacha!
Alikaribisha kausha damu ndani ya nyumba?My papa alioa mmoja aliishia kuliwa pesa yote ya kustaafu
Unayaamini sana yale madawa post 72 hours eeh, wee ukijegeja asubuhi unatupiamo mana utakuaje na uhakika kucheza rafu na usiumie?Mimi sitaumwa huo ugonjwa
Na Hakuna namna unaweza kubadili msimamo wangu
Sina muda wa kuoa wanawake wawili
Wazo zuri sana hiliKwaiyo mkuu unashauri single mother waanze kuuliwa Ili tuanze upya
Nyeusi tuseme nyeusi.Duh mjomba kauzuu 😁
Watasfirie kabisa kwa kiswahili wasije leta kisingizio kuwa uliweka kwenye ung'eng'e hawakupa mesejiHawanaga tofauti, single mom Ni single mom tu.
Marry a single mom at your own peril!
Single mom yuko salama ikiwa tu baba wa mtoto wake hana habari nae. Lakini baba wa mtoto akikomaa tu kuwasiliana nae kwisha habar yake sijui kun bond gani baina yao lakini ni wepesi sana kurudisha mioyo yaoSio single mom wote wabaya, wengine wamepita kwenye mahusiano mabaya sana, kama mtu unajitoa kumpenda yeye na mwanae just have faith umepata mke mwema, na sio kwamba single mom wote ni wema, wengine wamebeba visas, wengine wapo kipesa zaidi. Mchunguze mtajua. Ila sisi ni watu wazuri tu wenye mioyo mema bas tu
Aisee sio wote. Kama mm aisee yule msela akijisikia anaongea na mwanae namtoa mtoto wanaongea mm nipo pembeni yaan hata ipite kitu cha ajabu tutaishia kuangalia no connection. Na hofu tu nikimwacha na mtoto atakimbia nae nisimuone tena.mioyo
Asil ya Mwanaume
Mbona tunawaonea sana single mama? Vipi kuhusu hao waliowazalisha? Maana kuna wanaume wenzetu wana kazi ya kusambaza mbegu tu kama majogoo, wengine wana watoto ila hawafahamu wapo wapi na wanaishi vipi.
ulimkosaje aiseeKijana wangu aliniletea mchumba single maza asee nusu nimuue