Pre GE2025 Aina ya Watu wanaohudhuria Mikutano ya Dkt. Nchimbi huko Mikoani inafikirisha sana

Pre GE2025 Aina ya Watu wanaohudhuria Mikutano ya Dkt. Nchimbi huko Mikoani inafikirisha sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sasa picha imechukuliwa eneo moja tu,,ndio litoe taswira nzima ya wahudhuriaji?

Mnamkwama wapi chadema?
 
Sio sawa kupiga picha za mama zetu vijijini na kuzitundika jukwaani ,huu ni udhalilishaji.
Wengi wetu humi jukwaani tunajielewa sana,sio fair kupiga picha kijisehemu kidogo cha mkusanyiko chenye some details kusambaza.
Stay to be corrected.
 
Chadema!

Mmetukana na kushambulia makabila (Sukuma gang,Wamachinga n.k)

Mmetukana na kushambulia dini na madhehebu (Wavaa kobazi,Upako n.k)

Mmetukana Kanda za watu (Ziwa, Zanzibar,Kusini n.k)

Mmetukana mikoa (Geita-Chato,Singida,Tabora,Kigoma)

Mmetukana vijana wa Tanzania mkawasifu vijana wenye njaa wa Kenya

Mmetukana na kushambulia Kada na taaluma za watu (Walimu,Maaskari n.k)

Sasa mnahamia kwa hawa wakina mama!

Kuna kipindi mjipime uwezo wenu wa kufikiri na ku reason.
Chadema!

Mmetukana na kushambulia makabila (Sukuma gang,Wamachinga n.k)

Mmetukana na kushambulia dini na madhehebu (Wavaa kobazi,Upako n.k)

Mmetukana Kanda za watu (Ziwa, Zanzibar,Kusini n.k)

Mmetukana mikoa (Geita-Chato,Singida,Tabora,Kigoma)

Mmetukana vijana wa Tanzania mkawasifu vijana wenye njaa wa Kenya

Mmetukana na kushambulia Kada na taaluma za watu (Walimu,Maaskari n.k)

Sasa mnahamia kwa hawa wakina mama!

Kuna kipindi mjipime uwezo wenu wa kufikiri na ku reason.
Huwa na question sana utimamu wa mtu kama wewe unakaa chini kujibu hoja contrary na vile mleta mada ameleta yake.

Mleta mada hakuna mahali ametaja chama chochote cha siasa sio chadema wala ccm. Hakuna mahali amesema anaiwakilisha Chadema lakini mwisho wa siku umeamua tu kujitoa ufahamu na kuanza kuishambulia Chadema.

Siku nyingine jikite kwenye mada usiyumbishwe na mihemko.
 
Sasa unashangaa kitu Gani?Siku zote hao ndiyo wapiga kura wa CCM,we unadanganyika na zile MOBB za wale GENZ wa kibongo bongo na drama za?Siasa za bongo ni hesabu Kali Babu....
 
Chadema!

Mmetukana na kushambulia makabila (Sukuma gang,Wamachinga n.k)

Mmetukana na kushambulia dini na madhehebu (Wavaa kobazi,Upako n.k)

Mmetukana Kanda za watu (Ziwa, Zanzibar,Kusini n.k)

Mmetukana mikoa (Geita-Chato,Singida,Tabora,Kigoma)

Mmetukana vijana wa Tanzania mkawasifu vijana wenye njaa wa Kenya

Mmetukana na kushambulia Kada na taaluma za watu (Walimu,Maaskari n.k)

Sasa mnahamia kwa hawa wakina mama!

Kuna kipindi mjipime uwezo wenu wa kufikiri na ku reason.
Hii propaganda mfu ilishafeli kitambo sana, huyo mtu wenu huku Kanda ya Ziwa ndiyo hatuna habari naye kabisa.
 
Beza sana aina hii ya watu katika mikutano ya CCM ila nakwambia hawa ndio wanaopiga kura. Siku chama chochote hapa Tanzania ikija kuwa na wafuasi na wanachama wa aina hii ndio wataweza itoa CCM madarakani.

Tatizo lingine la wanachama wa vyama vingine hawapigi kura kwa wingi wao, ikifika siku ya boksi wanatanga tanga tu kwenye vituo vya kura ili wapate chochote kitu na mwisho wa siku upepo unabadilika wa kura kwenye kuzihesabu.
CCM ipo madarakani kwa wizi wa kura na haitegemei sanduku la kura. Siku vyombo vya dola vitakapojitenga na uharamia wa kuisadia CCM kuvuruga uchaguzi ndiyo itakuwa mwisho wa CCM.
 
Chadema!

Mmetukana na kushambulia makabila (Sukuma gang,Wamachinga n.k)

Mmetukana na kushambulia dini na madhehebu (Wavaa kobazi,Upako n.k)

Mmetukana Kanda za watu (Ziwa, Zanzibar,Kusini n.k)

Mmetukana mikoa (Geita-Chato,Singida,Tabora,Kigoma)

Mmetukana vijana wa Tanzania mkawasifu vijana wenye njaa wa Kenya

Mmetukana na kushambulia Kada na taaluma za watu (Walimu,Maaskari n.k)

Sasa mnahamia kwa hawa wakina mama!

Kuna kipindi mjipime uwezo wenu wa kufikiri na ku reason.
Yote umetunga.Na ile taasisi iliyotoa taarifa ya wanaoishabikia zaidi CCM nayo ni CHADEMA?
 
Back
Top Bottom