Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Sasa picha imechukuliwa eneo moja tu,,ndio litoe taswira nzima ya wahudhuriaji?
Mnamkwama wapi chadema?
Mnamkwama wapi chadema?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuletee zingineSasa picha imechukuliwa eneo moja tu,,ndio litoe taswira nzima ya wahudhuriaji?
Mnamkwama wapi chadema?
Ingekuwa ni video inachukua uwanja mzima ningekuelewaTuletee zingine
Kwani nyinyi wanaccm hamchukui picha kwenye mikutano yenu?Ingekuwa ni video inachukua uwanja mzima ningekuelewa
Chief mbona unaanza kuleta porojo?Kwani nyinyi wanaccm hamchukui picha kwenye mikutano yenu?
Sasa ukichalenji nilichokileta inakuwa bomba ukiweka chakoChief mbona unaanza kuleta porojo?
Wewe ndio umeleta mada au hoja yako,,kwahiyo tuishi nayo hiyo
Hapana hii ni sherehe yako,,iweje mc atoke kwangu?Sasa ukichalenji nilichokileta inakuwa bomba ukiweka chako
Kwa aina ya watu hawa ndio maana hadi leo kule Namtumbo wanaamini viongozi wanapaswa kutokea kwenye familia ya Kawawa tuHapana hii ni sherehe yako,,iweje mc atoke kwangu?
Tetea hoja yako mwanachadema
Sasa nyinyi mnajikita mijini tu,,itabidi waendelee kuamini hivyo 🤣🤣Kwa aina ya watu hawa ndio maana hadi leo kule Namtumbo wanaamini viongozi wanapaswa kutokea kwenye familia ya Kawawa tu
Kwani kura ndio zinazoamua mshindi au muhesabu kura?hawa ndio wapiga kura sasa! vijana mbwembwe tu
Chadema!
Mmetukana na kushambulia makabila (Sukuma gang,Wamachinga n.k)
Mmetukana na kushambulia dini na madhehebu (Wavaa kobazi,Upako n.k)
Mmetukana Kanda za watu (Ziwa, Zanzibar,Kusini n.k)
Mmetukana mikoa (Geita-Chato,Singida,Tabora,Kigoma)
Mmetukana vijana wa Tanzania mkawasifu vijana wenye njaa wa Kenya
Mmetukana na kushambulia Kada na taaluma za watu (Walimu,Maaskari n.k)
Sasa mnahamia kwa hawa wakina mama!
Kuna kipindi mjipime uwezo wenu wa kufikiri na ku reason.
Huwa na question sana utimamu wa mtu kama wewe unakaa chini kujibu hoja contrary na vile mleta mada ameleta yake.Chadema!
Mmetukana na kushambulia makabila (Sukuma gang,Wamachinga n.k)
Mmetukana na kushambulia dini na madhehebu (Wavaa kobazi,Upako n.k)
Mmetukana Kanda za watu (Ziwa, Zanzibar,Kusini n.k)
Mmetukana mikoa (Geita-Chato,Singida,Tabora,Kigoma)
Mmetukana vijana wa Tanzania mkawasifu vijana wenye njaa wa Kenya
Mmetukana na kushambulia Kada na taaluma za watu (Walimu,Maaskari n.k)
Sasa mnahamia kwa hawa wakina mama!
Kuna kipindi mjipime uwezo wenu wa kufikiri na ku reason.
Chawa kiziwi alipata div ngapi vile tena O Level ?Acha matusi ya reja reja wewe chawa wa Mbowe Div 0
Hii propaganda mfu ilishafeli kitambo sana, huyo mtu wenu huku Kanda ya Ziwa ndiyo hatuna habari naye kabisa.Chadema!
Mmetukana na kushambulia makabila (Sukuma gang,Wamachinga n.k)
Mmetukana na kushambulia dini na madhehebu (Wavaa kobazi,Upako n.k)
Mmetukana Kanda za watu (Ziwa, Zanzibar,Kusini n.k)
Mmetukana mikoa (Geita-Chato,Singida,Tabora,Kigoma)
Mmetukana vijana wa Tanzania mkawasifu vijana wenye njaa wa Kenya
Mmetukana na kushambulia Kada na taaluma za watu (Walimu,Maaskari n.k)
Sasa mnahamia kwa hawa wakina mama!
Kuna kipindi mjipime uwezo wenu wa kufikiri na ku reason.
CCM ipo madarakani kwa wizi wa kura na haitegemei sanduku la kura. Siku vyombo vya dola vitakapojitenga na uharamia wa kuisadia CCM kuvuruga uchaguzi ndiyo itakuwa mwisho wa CCM.Beza sana aina hii ya watu katika mikutano ya CCM ila nakwambia hawa ndio wanaopiga kura. Siku chama chochote hapa Tanzania ikija kuwa na wafuasi na wanachama wa aina hii ndio wataweza itoa CCM madarakani.
Tatizo lingine la wanachama wa vyama vingine hawapigi kura kwa wingi wao, ikifika siku ya boksi wanatanga tanga tu kwenye vituo vya kura ili wapate chochote kitu na mwisho wa siku upepo unabadilika wa kura kwenye kuzihesabu.
Tena ni waaminifu mno kwa CCM yao..Hao hawakosi kwenda kupiga kura
Yote umetunga.Na ile taasisi iliyotoa taarifa ya wanaoishabikia zaidi CCM nayo ni CHADEMA?Chadema!
Mmetukana na kushambulia makabila (Sukuma gang,Wamachinga n.k)
Mmetukana na kushambulia dini na madhehebu (Wavaa kobazi,Upako n.k)
Mmetukana Kanda za watu (Ziwa, Zanzibar,Kusini n.k)
Mmetukana mikoa (Geita-Chato,Singida,Tabora,Kigoma)
Mmetukana vijana wa Tanzania mkawasifu vijana wenye njaa wa Kenya
Mmetukana na kushambulia Kada na taaluma za watu (Walimu,Maaskari n.k)
Sasa mnahamia kwa hawa wakina mama!
Kuna kipindi mjipime uwezo wenu wa kufikiri na ku reason.
Kuna wakati unakuwa very low, hao watu wana shida gani hapo? Kuna mama, shangazi, wake, na dada zetu hapo.Swali ni kwanini wanaohudhuria mikutano ya Nchimbi ni watu wa aina hii?