Elimu? Gwajima huyuhuyu? Du!Mleta maada ameeleza vipengele ambavyo amesema wanaopinga chanjo hawana...
Lakini Bishop Gwajima anavyo vyote hivyo...
Ni msafiri mara kwa mara USA , Asia, nk
Ana elimu,
Ana Fwedha
ana Ajira ni Mbunge na Askofu
Na bado anapinga chanjo
Wenye Elimu kweli hawawezi kuongea hivyo labda zile magumashi sio Elimu kubwa hata Elimu ndogo tu...Namba 4. Mimi nina elimu ya juu ambayo naamini hakuna mtu kwenye ukoo wenu atakua nayo ama atakuja kua nayo lakini sichanji.
Kama unachanja wewe chanja, ambae hataki kuchanja pia asichanje.
Huna sababu ya kushambulia watu kwa sababu ya uhuru wao juu ya matumizi ya miili yao.
Elimu? Gwajima huyuhuyu? Du!
Wenye Elimu kweli hawawezi kuongea hivyo labda zile magumashi sio Elimu kubwa hata Elimu ndogo tu...
Haya sio mawazo yako tu. Kuna nyongeza kichwani mwako. Yaani unaelekea kuwaYani nimeangalia kwa makini aina ya watu wanaokwepa chanjo ni kama ifuatavyo.
1. Wengi hawana kazi za kueleweka kwa ujumla ni wabangaizaji
2. Walokole kindakindaki
3. Ambao hawasafiri nje ya nchi hivyo hawajali chochote
4. Wengi wao wana elimu za chini mno
Kwani hujasikia kuwa Chuo kikuu Cha SUA kishirikiana na chuo kikuu Cha Afya Muhimbili na NIMRI wanaanza mchakakato wa kutengeneza chanjo??.Hao Ma professor mbona kama wako makini si na wao waende maabara kugundua chanjo wanabaki ku critisize chanjo za wenzao.
Kwani hujasikia kuwa Chuo kikuu Cha SUA kishirikiana na chuo kikuu Cha Afya Muhimbili na NIMRI wanaanza mchakakato wa kutengeneza chanjo??.
Mkuu mtu mwenyea elimu anaweza kuhubiri kanisani kuwa Corona ni 5G network. Yani korona ikawe mtandao wa internet. Are serious.Mleta maada ameeleza vipengele ambavyo amesema wanaopinga chanjo hawana...
Lakini Bishop Gwajima anavyo vyote hivyo...
Ni msafiri mara kwa mara USA , Asia, nk
Ana elimu,
Ana Fwedha
ana Ajira ni Mbunge na Askofu
Na bado anapinga chanjo
Tatizo ni kwamba maswali mengi kuhusu ubora wa hiyo chanjo hayapewi Majibu mazuri.Sasa waheshimu step waliyochukua wenzao tayari na wao waendelee na michakato yao huku watu wakiendelea kuteseka.
The problem with you guys hamhui how economically we had adversely been affected na sera za mwendazake kwa kitendo cha kutokubali chanjo na bado wasomi wanataka waendelee ku criticize.
Sasa hapo kuna kuwa na Elimu halafu usielimike.Mkuu mtu mwenyea elimu anaweza kuhubiri kanisani kuwa Corona ni 5G network. Yani korona ikawe mtandao wa internet. Are serious.
Sasa waje na mbadala waku criticize hizi chanjo za US na Magharibu na siyo kukosoa against an empty handTatizo ni kwamba maswali mengi kuhusu ubora wa hiyo chanjo hayapewi Majibu mazuri.
Kwani kutokujitokeza kwenye kampong fulani ndiyo kupinga kampeni? Kuna vitu vingi vinachangaikia program kutofikia Malengo hasa muda wa tukio kwa walengwaUnapoongea kuhusu jambo fulani lazima uwe Umefanya Sensa ya kutosha.Mimi nipo SUA juzi kulikuwa na Kampeni kabambe ya chanjo lkn Idadi ilikuwa ndogo Sana, wakati Chuo hiki kina Watumishi Wanataaluma karibia 1000, Maprofesa zaidi ya 100,lkn waliojitokeza ni chini ya asilimia 40%.
Umezunguka sana halafu umejitahidi kujitetea sana , jamaa kauliza swali zuri maana hata late magufuli alipinga sana chanjo za covid 19 .Nahisi una shida ya kuelewa kiswahili!! Mimi naongelea chanjo inayoendelea sasa hivi ambayo imekuwa launched tarehe 29/7/2021 wakati mwenda zake alitutoka kuanzia march 2021. Sasa sijui unaongelea nini ndugu yangu au unamhusisha nini mwendazake na chanjo inayoendelea
[emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo namba nne,napingana na Wewe kinyama;Hivi Magufuli alikuwa na Elimu ya chini?,Kuna Maprofesa wanaipinga kimya kimya.Wewe km umechanja basi poa, tuliza mshono .
Mkuu uliyoandika hapo ni upuuzi mtupu.Ninao ushahidi mwingi ulio wazi kwamba watu ambao hawapendi chanjo ni wale ambao wana akili,ni wadadisi na wanapenda sana ku-research on many issues,they do not take anything at face value.Infact Mr Global,the NWO cabal or the Davos Group wamesema wazi,yetote atayaye kubali chanjo ni stupid,loon and idiot,kwa hiyo anastahili kupunguzwa.Labda ukisoma na kusikuliza hizi clips utajitambua uko wapi.So unataka kuniambia hao wazungu wanaoandama kupinga chanjo hawajasoma,Prof.Mike Yeadon aliyekuwa Vice President wa Pfizer hajasoma,wewe ndiye umesoma.Mimi hapa ni Microbiologist nime specialize kwenye Virology,na napinga hicho kinachoitwa chanjo kimakosa.It ia simply not a vaccine,it is a poison,a DNA operating system and much more.Yani nimeangalia kwa makini aina ya watu wanaokwepa chanjo ni kama ifuatavyo.
1. Wengi hawana kazi za kueleweka kwa ujumla ni wabangaizaji
2. Walokole kindakindaki
3. Ambao hawasafiri nje ya nchi hivyo hawajali chochote
4. Wengi wao wana elimu za chini mno
Yani nimeangalia kwa makini aina ya watu wanaokwepa chanjo ni kama ifuatavyo.
1. Wengi hawana kazi za kueleweka kwa ujumla ni wabangaizaji
2. Walokole kindakindaki
3. Ambao hawasafiri nje ya nchi hivyo hawajali chochote
4. Wengi wao wana elimu za chini mno