Mkuu uliyoandika hapo ni upuuzi mtupu.Ninao ushahidi mwingi ulio wazi kwamba watu ambao hawapendi chanjo ni wale ambao wana akili,ni wadadisi na wanapenda sana ku-research on many issues,they do not take anything at face value.Infact Mr Global,the NWO cabal or the Davos Group wamesema wazi,yetote atayaye kubali chanjo ni stupid,loon and idiot,kwa hiyo anastahili kupunguzwa.Labda ukisoma na kusikuliza hizi clips utajitambua uko wapi.So unataka kuniambia hao wazungu wanaoandama kupinga chanjo hawajasoma,Prof.Mike Yeadon aliyekuwa Vice President wa Pfizer hajasoma,wewe ndiye umesoma.Mimi hapa ni Microbiologist nime specialize kwenye Virology,na napinga hicho kinachoitwa chanjo kimakosa.It ia simply not a vaccine,it is a poison,a DNA operating system and much more.
View attachment 1884015
View attachment 1884016
Wapinga chanjo kwetu % kubwa ni wapinga katiba mpya pia. Wapinga chanjo kwetu % kubwa ni CCM.
Takwimu hizi ni authentic: