Aina ya watu wasiotaka chanjo ya Uviko-19

Aina ya watu wasiotaka chanjo ya Uviko-19

Yani nimeangalia kwa makini aina ya watu wanaokwepa chanjo ni kama ifuatavyo.

1. Wengi hawana kazi za kueleweka kwa ujumla ni wabangaizaji
2. Walokole kindakindaki
3. Ambao hawasafiri nje ya nchi hivyo hawajali chochote
4. Wengi wao wana elimu za chini mno
Wagonjwa wa kisukari na waathirika wa ukimwi wamejitokeza kwa wingi kupata hii chanjo.
 
Wapinga chanjo kwetu % kubwa ni wapinga katiba mpya pia. Wapinga chanjo kwetu % kubwa ni CCM.

Takwimu hizi ni authentic:

View attachment 1884155
Mtu mwenye akili hawezi kushabikia katiba kwa kuwa anajua the story behind any constitution.The contitution is nothing,but Mr.Globalist's tool for control and blackmail.Mjinga hawezi kujua haya.
 
Kwani hujasikia kuwa Chuo kikuu Cha SUA kishirikiana na chuo kikuu Cha Afya Muhimbili na NIMRI wanaanza mchakakato wa kutengeneza chanjo??.
Katika Chanjo 330 ambazo baadhi zipo kwenye utafiti na baadhi kwenye majaribio hakuna kampuni ya chanjo hata mojamoja inayoyoka Afrika zote zinatoka ASIA,ULAYA na AMERIKA(USA) .....hivi hawa wasomi wetu sayansi ya Tiba kutoka AFRICA wanafanya kazi gani? Wanasubiri wenzao wahangaike halafu mwisho baadhi wanaungana na wananchi kunyanyua bango LA kupinga chanjo!!!!
 
Mtu mwenye akili hawezi kushabikia katiba kwa kuwa anajua the story behind any constitution.The contitution is nothing,but Mr.Globalist's tool for control and blackmail.Mjinga hawezi kujua haya.

Mjinga pekee ndiye asiyeweza kujua umuhimu wa katiba muafaka huku akishupalia suala la chanjo ambalo ni hiari.

Chanjo ni hiari unataka chanjwa hutaki inakuhusu nini kuishupalia kama siyo ujinga uliopitiliza?
 
We jamaa ni mjing.. ngoja nisimalizie, kama umechanja tusilazimishane
Yani nimeangalia kwa makini aina ya watu wanaokwepa chanjo ni kama ifuatavyo.

1. Wengi hawana kazi za kueleweka kwa ujumla ni wabangaizaji
2. Walokole kindakindaki
3. Ambao hawasafiri nje ya nchi hivyo hawajali chochote
4. Wengi wao wana elimu za chini mno
 
Kila mtu anayo haki ya kufanya maamuzi anayoona yanafaa juu ya afya yake.
Chanjo ni tofauti na tiba hadi iwe lazima. Hata tiba watu huwa na machaguo mbalimbali kulingana na upatikanaji wake.

Aidha. Waliochanja wanastahili pongezi kwani huo ndiyo uamuzi sahihi kwao juu ya afya zao kwa sasa.
 
Chanjo zenyewe 1m ila mnavotoa mapovu kama zipo 120m ..aatu kama hawataki si muwaache
 
Namba 4. Mimi nina elimu ya juu ambayo naamini hakuna mtu kwenye ukoo wenu atakua nayo ama atakuja kua nayo lakini sichanji.

Kama unachanja wewe chanja, ambae hataki kuchanja pia asichanje.

Huna sababu ya kushambulia watu kwa sababu ya uhuru wao juu ya matumizi ya miili yao.
Nakazia ...Nina uelewa kuhusu maswala ya chanjo na uchanjaji lakin sichanji
 
Sawa genious, msomi, tajiri. Umesikika!
Sasa sisi huku maskini, tusiosafiri, tulioishia la pili C tunaomba utuache. Katika ujinga na umaskini wetu tumeamua kukataa kuchanjwa.
Unateseka na hilo? Inakunyima usingizi?
Idiot!
 
Umeeleza Uongo mtupu kwa maana hata Gwajima anavyo vyote hivyo....

1. Ana elemu..kwa maana ni DR

2. Ana ajira kwa maana ni Mbunge na Ni Askofu

3. Ni Mlokole

4. Anasafiri nje mara kwa mara
Ajaribu kwenda marekani kama atakanyaga tena ataishia kuwekwa karantin siku 42 arudie airport
 
Basi sawa kama ni hivyo mnao taka chanjo
1. Hawana nguv za kiume
2. Hawana uwezo wa kufikiri
3. Hawana cha kupoteza ktk maisha
4. Wengi wanaviashiria vya upunga
5. Wanapenda kushobokea wazungu na viongoz
6. Bendera fuata upepo
7. Hawana nguvu ya kiuchumi wanaendeshwa
 
Katika Chanjo 330 ambazo baadhi zipo kwenye utafiti na baadhi kwenye majaribio hakuna kampuni ya chanjo hata mojamoja inayoyoka Afrika zote zinatoka ASIA,ULAYA na AMERIKA(USA) .....hivi hawa wasomi wetu sayansi ya Tiba kutoka AFRICA wanafanya kazi gani? Wanasubiri wenzao wahangaike halafu mwisho baadhi wanaungana na wananchi kunyanyua bango LA kupinga chanjo!!!!
Kaa kwa kutulia wewe.Hebu jiulize source ya ugonjwa ni nani?,na ni nani aliyetengeneza chanjo?.Km umeweza kutengeneza ugonjwa utashindwaje kutengeneza chanjo yake??.
 
Yani nimeangalia kwa makini aina ya watu wanaokwepa chanjo ni kama ifuatavyo.

1. Wengi hawana kazi za kueleweka kwa ujumla ni wabangaizaji
2. Walokole kindakindaki
3. Ambao hawasafiri nje ya nchi hivyo hawajali chochote
4. Wengi wao wana elimu za chini mno

Wewe ndyo fala!!
Kwan n lazima!! Mwili wangu unilazimishe kuchoma yann!!

We choma kausha!!
Ingewekwa kama chanjo nyingine kungekua hamna kelele!!... ushasikia watu wanalalamika kuhusu chanjo ya homa ya ini au manjano!!?
 
Yani nimeangalia kwa makini aina ya watu wanaokwepa chanjo ni kama ifuatavyo.

1. Wengi hawana kazi za kueleweka kwa ujumla ni wabangaizaji
2. Walokole kindakindaki
3. Ambao hawasafiri nje ya nchi hivyo hawajali chochote
4. Wengi wao wana elimu za chini mno

Nchi zilizoendelea wao wenyewe kuna wananchi hawataki

Ufaransa,marekan n kwingineko sasa nawao wana vigezo ivoo
 
Na Polepole pia
Umeeleza Uongo mtupu kwa maana hata Gwajima anavyo vyote hivyo....

1. Ana elemu..kwa maana ni DR

2. Ana ajira kwa maana ni Mbunge na Ni Askofu

3. Ni Mlokole

4. Anasafiri nje mara kwa mara
 
Yani nimeangalia kwa makini aina ya watu wanaokwepa chanjo ni kama ifuatavyo.

1. Wengi hawana kazi za kueleweka kwa ujumla ni wabangaizaji
2. Walokole kindakindaki
3. Ambao hawasafiri nje ya nchi hivyo hawajali chochote
4. Wengi wao wana elimu za chini mno
Mimi na PhD yangu niliyosomea ulaya sidungi chanjo za majaribio na zile za mRNA zinazoenda kubadili vinasaba, makongamano ya kimataifa nitashiriki kwa njia ya zoom kutokea hapa kijijini kwangu nyambitilwa.....
 
Is it true Kilimanjaro massacre of Uviko were dies why not Dar ,bicz population Dar more than Kilimanjaro
 
Nahisi una shida ya kuelewa kiswahili!! Mimi naongelea chanjo inayoendelea sasa hivi ambayo imekuwa launched tarehe 29/7/2021 wakati mwenda zake alitutoka kuanzia march 2021. Sasa sijui unaongelea nini ndugu yangu au unamhusisha nini mwendazake na chanjo inayoendelea
Mwendazake ndio alikua mtu wa kwanza kukataa chanjo na watu wakamuamini ndio maana inakua ngumu watu kuamini chanjo sasa ie waziri huyu aliyehamasisha watu wapige nyungu,kula malimaona tangawizi hana aibu tena kukataa msimamo wake wa awali
 
Back
Top Bottom