Wagonjwa wa kisukari na waathirika wa ukimwi wamejitokeza kwa wingi kupata hii chanjo.Yani nimeangalia kwa makini aina ya watu wanaokwepa chanjo ni kama ifuatavyo.
1. Wengi hawana kazi za kueleweka kwa ujumla ni wabangaizaji
2. Walokole kindakindaki
3. Ambao hawasafiri nje ya nchi hivyo hawajali chochote
4. Wengi wao wana elimu za chini mno
Mtu mwenye akili hawezi kushabikia katiba kwa kuwa anajua the story behind any constitution.The contitution is nothing,but Mr.Globalist's tool for control and blackmail.Mjinga hawezi kujua haya.Wapinga chanjo kwetu % kubwa ni wapinga katiba mpya pia. Wapinga chanjo kwetu % kubwa ni CCM.
Takwimu hizi ni authentic:
View attachment 1884155
Katika Chanjo 330 ambazo baadhi zipo kwenye utafiti na baadhi kwenye majaribio hakuna kampuni ya chanjo hata mojamoja inayoyoka Afrika zote zinatoka ASIA,ULAYA na AMERIKA(USA) .....hivi hawa wasomi wetu sayansi ya Tiba kutoka AFRICA wanafanya kazi gani? Wanasubiri wenzao wahangaike halafu mwisho baadhi wanaungana na wananchi kunyanyua bango LA kupinga chanjo!!!!Kwani hujasikia kuwa Chuo kikuu Cha SUA kishirikiana na chuo kikuu Cha Afya Muhimbili na NIMRI wanaanza mchakakato wa kutengeneza chanjo??.
Mtu mwenye akili hawezi kushabikia katiba kwa kuwa anajua the story behind any constitution.The contitution is nothing,but Mr.Globalist's tool for control and blackmail.Mjinga hawezi kujua haya.
Yani nimeangalia kwa makini aina ya watu wanaokwepa chanjo ni kama ifuatavyo.
1. Wengi hawana kazi za kueleweka kwa ujumla ni wabangaizaji
2. Walokole kindakindaki
3. Ambao hawasafiri nje ya nchi hivyo hawajali chochote
4. Wengi wao wana elimu za chini mno
Nakazia ...Nina uelewa kuhusu maswala ya chanjo na uchanjaji lakin sichanjiNamba 4. Mimi nina elimu ya juu ambayo naamini hakuna mtu kwenye ukoo wenu atakua nayo ama atakuja kua nayo lakini sichanji.
Kama unachanja wewe chanja, ambae hataki kuchanja pia asichanje.
Huna sababu ya kushambulia watu kwa sababu ya uhuru wao juu ya matumizi ya miili yao.
Ajaribu kwenda marekani kama atakanyaga tena ataishia kuwekwa karantin siku 42 arudie airportUmeeleza Uongo mtupu kwa maana hata Gwajima anavyo vyote hivyo....
1. Ana elemu..kwa maana ni DR
2. Ana ajira kwa maana ni Mbunge na Ni Askofu
3. Ni Mlokole
4. Anasafiri nje mara kwa mara
Kaa kwa kutulia wewe.Hebu jiulize source ya ugonjwa ni nani?,na ni nani aliyetengeneza chanjo?.Km umeweza kutengeneza ugonjwa utashindwaje kutengeneza chanjo yake??.Katika Chanjo 330 ambazo baadhi zipo kwenye utafiti na baadhi kwenye majaribio hakuna kampuni ya chanjo hata mojamoja inayoyoka Afrika zote zinatoka ASIA,ULAYA na AMERIKA(USA) .....hivi hawa wasomi wetu sayansi ya Tiba kutoka AFRICA wanafanya kazi gani? Wanasubiri wenzao wahangaike halafu mwisho baadhi wanaungana na wananchi kunyanyua bango LA kupinga chanjo!!!!
Yani nimeangalia kwa makini aina ya watu wanaokwepa chanjo ni kama ifuatavyo.
1. Wengi hawana kazi za kueleweka kwa ujumla ni wabangaizaji
2. Walokole kindakindaki
3. Ambao hawasafiri nje ya nchi hivyo hawajali chochote
4. Wengi wao wana elimu za chini mno
Yani nimeangalia kwa makini aina ya watu wanaokwepa chanjo ni kama ifuatavyo.
1. Wengi hawana kazi za kueleweka kwa ujumla ni wabangaizaji
2. Walokole kindakindaki
3. Ambao hawasafiri nje ya nchi hivyo hawajali chochote
4. Wengi wao wana elimu za chini mno
Umeeleza Uongo mtupu kwa maana hata Gwajima anavyo vyote hivyo....
1. Ana elemu..kwa maana ni DR
2. Ana ajira kwa maana ni Mbunge na Ni Askofu
3. Ni Mlokole
4. Anasafiri nje mara kwa mara
Mimi na PhD yangu niliyosomea ulaya sidungi chanjo za majaribio na zile za mRNA zinazoenda kubadili vinasaba, makongamano ya kimataifa nitashiriki kwa njia ya zoom kutokea hapa kijijini kwangu nyambitilwa.....Yani nimeangalia kwa makini aina ya watu wanaokwepa chanjo ni kama ifuatavyo.
1. Wengi hawana kazi za kueleweka kwa ujumla ni wabangaizaji
2. Walokole kindakindaki
3. Ambao hawasafiri nje ya nchi hivyo hawajali chochote
4. Wengi wao wana elimu za chini mno
Mwendazake ndio alikua mtu wa kwanza kukataa chanjo na watu wakamuamini ndio maana inakua ngumu watu kuamini chanjo sasa ie waziri huyu aliyehamasisha watu wapige nyungu,kula malimaona tangawizi hana aibu tena kukataa msimamo wake wa awaliNahisi una shida ya kuelewa kiswahili!! Mimi naongelea chanjo inayoendelea sasa hivi ambayo imekuwa launched tarehe 29/7/2021 wakati mwenda zake alitutoka kuanzia march 2021. Sasa sijui unaongelea nini ndugu yangu au unamhusisha nini mwendazake na chanjo inayoendelea