Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Acha kujizeesha ww bado binti mdogo sanaUzee wote huu
Njombe nn wew πππNamba 8 utampata wapi wakati wote walishaolewa.
Chukua namba 3 mkuu maana kwa ulivyo wewe namba 2 hamtawezana ( namba 2 wengi hutokea Kilimanjaro hasa hapo Kibosho)
Namba tatu itaipata Dar, Same, Lushoto, Njombe na ewaaa Ukerewe)
π€£π€£π€£ hata najali basi, sisi kausha damu kwetu buruuuudaniWe huna sifa hata Moja zilizotajwa hapo ππaliyekuweka ndani kazi anayo
πππ Kuna kitu kilitokea ghafla nikajikuta niko JF bae ππNikajua upo unakoroma saiv
Kaka unaye na unatamba naye wii ushindwe weyee tyuuu..!! πNipo hapa mahi Wii,mtu wa maana kabisa
Hebu mshtue kakaako nimemmiss
π€£π€£π€£π€£Usiwastue wakiamka tutakoma hayo malalamikoπππ
My Wii usiniambie kwahiyo niandae nyonga na mazoezi ya kulegeza jicho πππKaka unaye na unatamba naye wii ushindwe weyee tyuuu..!! π
Nampa ujumbe wake ss hivi, halafu wii kaka kuna dili kapiga kachafuka pesa. Sijui unafeli wewe?? Mizimu ya kwenu haipendi PESA πππ
Eeee ndio πππMy Wii usiniambie kwahiyo niandae nyonga na mazoezi ya kulegeza jicho πππ
Yaani Wii nitajiandaa vya kutosha atakuja kusimulia πππhad awaite ma x zake mbwaEeee ndio πππ
Mi style ya kutukunyuka yote ijae kichwani, mkinga yule hajui vitu vya pwani.
π€ΈββοΈ Hapo chacha.!!Yaani Wii nitajiandaa vya kutosha atakuja kusimulia πππhad awaite ma x zake mbwa
Shemeji. Njombe mnaongoza kwa wivu.Njombe nn wew πππ
Aiseee!My Wii usiniambie kwahiyo niandae nyonga na mazoezi ya kulegeza jicho πππ
πππAiseee!
Lamomy kwisha tuharibia mpemba wetuππΏββοΈππΏββοΈππππ.
Wapemba na kulegeza nyonga wapi kwa wapi!?
Na hii mbinu ya kununa na kisirani wanatumia kuficha makosa Yao ya kukutawalaKuna kudeka na kuna kisirani.
Ununaji wa hovyo wa kiholela holela wa kimwantumu hakuna mwanaume anaupenda,pia utakomaa sura mapema na kuzeeka bure msichana.
Sio tu hiko wanafichaga mengine mengi zaidi.Na hii mbinu ya kununa na kisirani wanatumia kuficha makosa Yao ya kukutawala
ππππ Mwanamke lazima uwe na nyonga laini buana we niaje?Aiseee!
Lamomy kwisha tuharibia mpemba wetuππΏββοΈππΏββοΈππππ.
Wapemba na kulegeza nyonga wapi kwa wapi!?
Aisee ndio kukilegeza ukitaka kufanya mipango ya kausha damu!?ππππ Mwanamke lazima uwe na nyonga laini buana we niaje?
πππ Kaka naye si anafaidiAisee ndio kukilegeza ukitaka kufanya mipango ya kausha damu!?
πππΏββοΈππΏββοΈKweli adui wa mtu ni mtuwe.
Na wewe wamtia kakaako kikaangoni kabisaa!?
Ila sio kwa kumkausha blood namnahiyo duuh!πππ Kaka naye si anafaidi