Aina za wake (Type of wives)

Aina za wake (Type of wives)

Ila wamakonde hujawatendea haki hapa. Ni jamii pekee ambayo wake zao hawana wivu kabisa. Hata urudi saa nane usiku, Ni wewe tu.
 
Namba 8 utampata wapi wakati wote walishaolewa.
Chukua namba 3 mkuu maana kwa ulivyo wewe namba 2 hamtawezana ( namba 2 wengi hutokea Kilimanjaro hasa hapo Kibosho)
Namba tatu itaipata Dar, Same, Lushoto, Njombe na ewaaa Ukerewe)
Njombe nn wew 😃😃😃
 
Nipo hapa mahi Wii,mtu wa maana kabisa
Hebu mshtue kakaako nimemmiss
Kaka unaye na unatamba naye wii ushindwe weyee tyuuu..!! 😍
Nampa ujumbe wake ss hivi, halafu wii kaka kuna dili kapiga kachafuka pesa. Sijui unafeli wewe?? Mizimu ya kwenu haipendi PESA 😂😂😂
 
Kaka unaye na unatamba naye wii ushindwe weyee tyuuu..!! 😍
Nampa ujumbe wake ss hivi, halafu wii kaka kuna dili kapiga kachafuka pesa. Sijui unafeli wewe?? Mizimu ya kwenu haipendi PESA 😂😂😂
My Wii usiniambie kwahiyo niandae nyonga na mazoezi ya kulegeza jicho 😀😀😀
 
😂😂😂😂 Mwanamke lazima uwe na nyonga laini buana we niaje?
Aisee ndio kukilegeza ukitaka kufanya mipango ya kausha damu!?
😂🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️Kweli adui wa mtu ni mtuwe.
Na wewe wamtia kakaako kikaangoni kabisaa!?
 
Back
Top Bottom