Aina za wake (Type of wives)

Aina za wake (Type of wives)

High school nikiwa Tosa boys Yeye akiwa Lugalo girls iringa .Mambo ya joint mass
Uwezekano ni mkubwa wa mtu kama huyo kutulia maana kama Mlikutana katika kipindi ambacho yawezekana hata hajui kama mapenzi yanatesa... maana wadada wa kipindi hiko hawakuwa na mambo mengi unakuta mtu ana 25yrs afu kifuani saa 5:56 hajawahi ingia kwenye mahusiano
 
Uwezekano ni mkubwa wa mtu kama huyo kutulia maana kama Mlikutana katika kipindi ambacho yawezekana hata hajui kama mapenzi yanatesa... maana wadada wa kipindi hiko hawakuwa na mambo mengi unakuta mtu ana 25yrs afu kifuani saa 5:56 hajawahi ingia kwenye mahusiano
Yeah uko sahihi. Hata hiyo point yangu hapo juu kwenye uzi ni katika chai tu za JF.
 
Namba 8 utampata wapi wakati wote walishaolewa.
Chukua namba 3 mkuu maana kwa ulivyo wewe namba 2 hamtawezana ( namba 2 wengi hutokea Kilimanjaro hasa hapo Kibosho)
Namba tatu itaipata Dar, Same, Lushoto, Njombe na ewaaa Ukerewe)
๐Ÿคฃ๐ŸคฃKwani mm nipoje mkuu?
 
Back
Top Bottom