Wanyakyusa wanawake wa majifya matatuWanyakyusa wanavyojitahidi kudumu ndoani, eti hata top 20 Hawapo Dah,utafiti batili huuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ubishi ni 100😂Acha chuki binafsi, wanyaki wako vizuri bana😀
Sio wote zungumzia wapalestina ambao ata sisi wachaga wengne hatuwatakiWachaga wengi hawaachiki sababu wamezao Hua wanakufa
😂😂 si kweli bana, sisi tunapiga hadi magoti kumbembeleza mume ujueKwa ubishi ni 100😂
Naunga mkono hoja,Wasambaa ndo namba moja wacha ujinga wako wasambaa wanakaa kwenye ndoa sijawai kuona msambaa kaachwa
Anaumwa hawajui wasambaa huyo mwambie amuulize Mshana Jr
Mmeanza lini😂😂 si kweli bana, sisi tunapiga hadi magoti kumbembeleza mume ujue
Utafiti huu unadaiwa kuchukua miaka 25 kufikia taarifa hii.Utafiti umefanywa na nani na kwa muda gani?