Tetesi: Air Tanzania kukamatwa. Ndege ya Rais haikamatwi kwa sheria za IATA

Hayo unayosema ni majuku ya kawaida sana ya serikali...
Kama ndo yanayokufanya umsifie basi hujui kuwa hujui...
 
Usingewajibu. Hawa waache wajipe nafuu. Maana wiki hii wamekula vichapo tu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupata leseni ya kimataifa hasa kwenye mataifa makubwa sio kitu rahisi kama unavyofikiria. Na huyo king msukuma unaemsea wenda ujui magari yake yalivyo, atawezaje kuendesha shirika kama Air Tanzania ikiwa mabas yake tu yamemshinda magari mabovu ana bus ata moja ya luxury, kashindwa kuchukua route ata moja ya mwanza-dar au mwanza- arusha ndio ataweza kuendesha ATCL?
 
Hawa jamaa ndio maana Mkapa aliwaita malofa na wapumbavu.
Hivi kuna mpumbavu kama anaye weza kununua ndege kwa kulipa cash ili atambe kumbe baada ya hapo hana hata hela za kununulia PPE kuponya maisha ya watumishi wa Afya hadi apitishe bakuli?
Lofa huyo kisha ndege hizo anazipaki tuu airport hazina la kufanya huku akilipa wafanyakazi na marubani bure?
Hamjitambui jamaa yangu, kila kitu mnakwama na majirani wamegundua kushirikiana nanyi ni gundu tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ikikamatwa Mnamuumiza rais au ninyi wenye! Watanzania punguzeni upumbavu wa akili! Too much nonsense! Hamuwezi kutwa kuitakia nchi Mabaya, ifikie hatua kila mtu awe responsible na Nchi yake.
Responsible wa kitu gani? Serikali isiyotaka ushauri na kila jambo inajifanya wababe sio ya kuonea huruma kwa ujinga huo.
Unadhani nani anaitakia mabaya kama sio wenyewe ndio wanajitakia mabaya? Nchi imekuwa ya kishamba mno awamu hii na nyie mavuvuzela ndio mnachagia upumbavu kutamalaki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kwa akili zako za kilofa lofa unafikiri unarusha tu ndege nchi yeyote ile bila vibali sio? Mdude Nyagali keshakamatwa na kete za unga huko Mbeya, mateja wakubwa nyie.
 
Hili swala la mapanki nakumbuka liliwahi kuleta mtafaruku huko nyuma baada ya mzungu mmoja kutoa filamu namna wakazi wa kanda yetu pendwa kubaki wanaambulia mifupa ya samaki baada ya minofu kunyofolewa kupelekwa ulaya, naomba serikali wasimamishe haraka utaratibu huu ili tuokoe minofu ya samaki kwa ajili ya lishe ya watoto na akina mama wajawazito, kwa Tanzania udumavu kwa watoto upo zaidi ya asilimia 35, kwa hiyo tulichukulie hili swala seriously...
 

Sasa mbona tuna mashine mbili tu za kupimia korona nchi nzima, haya ni mafanikion gani kwenye tasnia ya agya?
 
Leseni ya kupita kwenye anga inalipiwa mkuu sio swala la muda ni swala la kua na hela za kulipia ambazi hazipo hujiulizi kwanini ndege nyingi hua zinapitia sana baharini?
 
Ndege - Kimeo

Stieglers - bwawa limeshaingia luba

Bado SGR
SGR nayo ikibuma basi mzee wa chato atapiga marktime time bila kuacha legacy yoyote ya maana
Pengine ndo mana kajichimbia Chato. Pengine akiibuka huko atakuja na kioja kingine. Tuvute subra.
 
Uhuru wa kuishi? Na ugumu wote huu? Hii habari ya huduma za afya, dawa bei juu au hakuna. Kuna makundi ya watu walikuwa wanapata huduma bure enzi hizo. Siku hizi hakuna cha wazee wala watoto.

Bila kuinua kilimo, hakuna maendeleo ya kweli vijijini. Hata uweke umeme kwenye nyumba zs tope!
 
Kwaiyo kibali tunapata lini? Kumbuka kuyapaki madege hayo ni gharama ya kufa mtu.
 
Kweli tunakazi awamu hii. Nchi haiendeshwi kwa amri tu bali hekima, busara na maarifa. Tutapata hasara sana kuhusu ndege. Kwasasa mambo mengi bado hayajulikani na yanafichwa kama corona. Itakapokuja kujulikana checks and balance za ATCL ni wakati mkuu alishang'atuka na kila mtu atahuzunika.
 
Umemaliza kabisa ambae hata elewa hapa basi tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ