Air Tanzania yaipiku Turkish Airlines

Most Preferred Domestic Airline) ......Air Tanzania ana compete na shirika gani hapa domestically?, kasha funga mashirika mengine kama fast jet......unakimbia peke yako arafu unasema unaongoza, hahahaha mwaka tayari ata 'balancing sheet' hujapublish kwa ummah
 
Tuzo za kuandikwa 13th December.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uzalendo unaanza na wewe
 
Pale nnapojiuliza mtu pekee mwenye akili timamu ni mimi peke yangu???

Ndio maana mpaka sasa wanaamini corona imekwisha nchini kwa maombi huku watu wakipukutika!!! Wakiambiwa "WAPUMBAVU" wanafikili wanasifiwa!
 
Ndio maana mpaka sasa wanaamini corona imekwisha nchini kwa maombi huku watu wakipukutika!!! Wakiambiwa "WAPUMBAVU" wanafikili wanasifiwa!

Kwani uko nchi gani mkuu ambayo watu wanapukutika, tafuta story nyingine sisi hiyo haifany kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…