dhk1
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 937
- 556
Umekosea wewe13th December badala ya 13rd
Hiyo tuzo itakuwa ya magogoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekosea wewe13th December badala ya 13rd
Hiyo tuzo itakuwa ya magogoni
Kwani uko nchi gani mkuu ambayo watu wanapukutika, tafuta story nyingine sisi hiyo haifany kazi.
Rudisheni Company ya ndege mlioifungia mkasema haina leseni.... Kama kweli mnaweza competition'MOST PREFERRED INTERNATIONAL AIRLINE'.
ATCL VS TURKISH?
Hakika mitano tenaaaaaaaaaaaaaaa.
Nasema uongo ndugu zanguuuuuuu?Rudisheni Company ya ndege mlioifungia mkasema haina leseni.... Kama kweli mnaweza competition
Uliwapima? Halafu ATCL mbona haina uhusiano na Corona?
Safi sanaaaa! Bado kidogo tuzipite na Emirates, Qatar, fly Dubai, etihad nk. Mwelekeo mzuriKatika utoaji wa Tunzo za Tanzania Consumer's Choice Awards hapo tarehe 13 Disemba 2020 shirika letu la ndege limeibuka mshindi katika Category 2 (Most Preferred Domestic Airline) na MOST PREFERRED INTERNATIONAL AIRLINE)). Tujivunie vya kwetu #Uzalendo_Kwanza#
NB: Hongereni Sana ATCL kwa Kasi nzuri ya kuboresha huduma zenu.
** Mchakato ulikua wa huru na haki kila hatua vilihusisha wadau dunia nzima.
Katika utoaji wa Tunzo za Tanzania Consumer's Choice Awards hapo tarehe 13 Disemba 2020 shirika letu la ndege limeibuka mshindi katika Category 2 (Most Preferred Domestic Airline) na MOST PREFERRED INTERNATIONAL AIRLINE)). Tujivunie vya kwetu #Uzalendo_Kwanza#
NB: Hongereni Sana ATCL kwa Kasi nzuri ya kuboresha huduma zenu.
** Mchakato ulikua wa huru na haki kila hatua vilihusisha wadau dunia nzima.
Faida?Kumbe tuzo zenyewe za hapahapa Tz.
No wonder.
Turkish airlines nzuri tena nzuri sana! Sio za kufananisha na hizo daladala zenu.
Jioni pitia kwa Manka upate kilo moja na K VantPale nnapojiuliza mtu pekee mwenye akili timamu ni mimi peke yangu???
Katika utoaji wa Tunzo za Tanzania Consumer's Choice Awards hapo tarehe 13 Disemba 2020 shirika letu la ndege limeibuka mshindi katika Category 2 (Most Preferred Domestic Airline) na MOST PREFERRED INTERNATIONAL AIRLINE)). Tujivunie vya kwetu #Uzalendo_Kwanza#
NB: Hongereni Sana ATCL kwa Kasi nzuri ya kuboresha huduma zenu.
** Mchakato ulikua wa huru na haki kila hatua vilihusisha wadau dunia nzima.
Hahahahaaaa!! Naona unataka kujitia pingu ila nafsi inakataa!! Ndiyo hali halisi mkuu, faida ni bilioni 60 kwa miaka mitano mfululizo,N ndiyo ujue kuwa uongo haukai mbali na aibu.Faida?