Air Tanzania yaipiku Turkish Airlines

Air Tanzania yaipiku Turkish Airlines

Daaah kwamba best international airline! kwa kwenda Mumbai, Entebbe na Harare? Basi sawa.
 
Hawa wafanyakazi wanastahili nyongeza ya mishahara
 
Itakuwa ndege inayopenda Mumbai India.
Hiyo ndege inaenda mara mbili kwa juma(week) ikiwa na abiria wengi sana.
Hiyo safari ilisimama tangu corona mkuu.
Siku hizi naziona zote terminal 2 na sio 3
_______________________________

_______________________________
Naona route hiyo ya Mumbai imerejea

View attachment 1650734
 
Katika utoaji wa Tunzo za Tanzania Consumer's Choice Awards hapo tarehe 13 Disemba 2020 shirika letu la ndege limeibuka mshindi katika Category 2 (Most Preferred Domestic Airline) na MOST PREFERRED INTERNATIONAL AIRLINE)). Tujivunie vya kwetu #Uzalendo_Kwanza#
NB: Hongereni Sana ATCL kwa Kasi nzuri ya kuboresha huduma zenu.
Hapo kwenye international kuna ukakasi

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Hapo kwenye international kuna ukakasi

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Ukakasi unauleta wewe na wenzio wa Ufipa. Taasisi ya Kimataifa (yenye bodi iliyosheheni wataalaamu wote duniani wenye exposure na CV za kushiba) inayoandaa hizo tunzo imeshatoa msimamo wewe Ni Nani?
 
Ukakasi unauleta wewe na wenzio wa Ufipa. Taasisi ya Kimataifa (yenye bodi iliyosheheni wataalaamu wote duniani wenye exposure na CV za kushiba) inayoandaa hizo tunzo imeshatoa msimamo wewe Ni Nani?
Turkish inatua nchi kibao tena mabara yote Atc hata nairobi sijui kama saiv inaenda tena.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Turkish inatua nchi kibao tena mabara yote Atc hata nairobi sijui kama saiv inaenda tena.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Kwani vigezo ni kutua nchi kibao? Mtu timamu angeuliza vigezo vilivyotumika.
NB: Kwa taarifa tu: Hata Domestic, Coastal/Auric zinatua sehemu nyingi Zaid kuliko Shirika pendwa.
 
Mwambie asikuharibie siku. Mabeberu hawatusaidii chochote maana hat ndege tunatengeneza wenyewe huko Ibinzamata na Nyumbu Kibaha.
Dah jibu lililo kwenda shule[emoji23][emoji23][emoji23]...saluti mkuu kwa jibu lako..though sikufahamu
 
Katika utoaji wa Tunzo za Tanzania Consumer's Choice Awards hapo tarehe 13 Disemba 2020 shirika letu la ndege limeibuka mshindi katika Category 2 (Most Preferred Domestic Airline) na MOST PREFERRED INTERNATIONAL AIRLINE)). Tujivunie vya kwetu #Uzalendo_Kwanza#
NB: Hongereni Sana ATCL kwa Kasi nzuri ya kuboresha huduma zenu.
** Mchakato ulikua wa huru na haki kila hatua vilihusisha wadau dunia nzima.
Ni furaha yetu sote
 
Ukakasi unauleta wewe na wenzio wa Ufipa. Taasisi ya Kimataifa (yenye bodi iliyosheheni wataalaamu wote duniani wenye exposure na CV za kushiba) inayoandaa hizo tunzo imeshatoa msimamo wewe Ni Nani?
Nimekuelewa sana
 
Waandaaji waongeze tunzo ya Tahmid pia
 
Duuu hii kali kabisa. Je hii ni kwa faida ya nani kama Taifa.
 
Back
Top Bottom