Air Tanzania yaipiku Turkish Airlines

Air Tanzania yaipiku Turkish Airlines

Uongo na aibu is a brother and sister. Njia za mwongo ni fupi, kumbe agenda ni kumtukuza na kumuongezea muda that is why all these dramas.
 
Katika utoaji wa Tunzo za Tanzania Consumer's Choice Awards hapo tarehe 13 Disemba 2020 shirika letu la ndege limeibuka mshindi katika Category 2 (Most Preferred Domestic Airline) na MOST PREFERRED INTERNATIONAL AIRLINE)). Tujivunie vya kwetu #Uzalendo_Kwanza#
NB: Hongereni Sana ATCL kwa Kasi nzuri ya kuboresha huduma zenu.
** Mchakato ulikua wa huru na haki kila hatua vilihusisha wadau dunia nzima.
Tunajivunia Air Tanzania
 
Uongo mwengine hauna maana ni kujitia ujinga tu.Kusifia na kupenda chako ni sawa,lakini kujipa sifa usizonazo ni upuuzi si uzalendo wala ujanja.Air ACTL bado sana kulinganishwa na Turkish Airlines,yaani sio size yake ni sawa kulinganisha mbio za kuku na farasi!.
Turkisha Airines inaenda sehemu 245 duniani,ndani ya nchi 123.Tena hapo hujaongeza domestic flights,wala hukujumlisha Turkish Airlines Cargo.
Ngoja tuendelee kutega masikio yetu
 
Inaonekana kuna upigaji sana huko air tanzania maana si kwa fix hizi!
 
Ikiona shirika linakimbilia kwenye uongo/press ya namna hii kuna tatizo lipo au linakuja, ili kufukia kinachotokota utaona tambo ATC linapendwa na wateja kuliko yote East and central Africa hata kule ambako shirika hili haliendi, utaona ooh ATC imerudi Mwanza na kuacha kutua Bukoba kutokana na hali ya hewa hili ni kuikandia Prescision Air kuwa walifanya makosa kutua pale, hizi zote ni kuficha weakness walizonazo kiuendeshaji. Ni shida, unaona wanaground all Airbus planes kwa ajili ya what they call service why all??? Hawakuplan???
 
Katika utoaji wa Tunzo za Tanzania Consumer's Choice Awards hapo tarehe 13 Disemba 2020 shirika letu la ndege limeibuka mshindi katika Category 2 (Most Preferred Domestic Airline) na MOST PREFERRED INTERNATIONAL AIRLINE)). Tujivunie vya kwetu #Uzalendo_Kwanza#
NB: Hongereni Sana ATCL kwa Kasi nzuri ya kuboresha huduma zenu.
** Mchakato ulikua wa huru na haki kila hatua vilihusisha wadau dunia nzima.
Miezi miwili baada ya hii tuzo fake bwana akatenda! Malipo ni hapa hapa duniani
 
Back
Top Bottom