Hakuna bali wanataka kulazimisha ubia.Kwani ilikuwa inafanya safari za ulaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna bali wanataka kulazimisha ubia.Kwani ilikuwa inafanya safari za ulaya?
Hakuna shirika lolote la serikali ambalo lina ufanishi hata kwa asilimia 60Nchi yangu kila kitu majanga na hatuwezi
Anzisha lako ili Mashirika yajifunze kutoka kwako kuliko kubwabwaja tu!Hakuna shirika lolote la serikali ambalo lina ufanishi hata kwa asilimia 60
Mimi sio serikali ningekuwa niko serikalini ningewaonyesha kenge weweAnzisha lako ili Mashirika yajifunze kutoka kwako kuliko kubwabwaja tu!
MBOWE na Lissu ni mpango wa MunguNoma kweli yaani!
Tusishutumu kwanza. Tuone je tunapewa standard tofauti na wenzetu. Kama kuna double standards au standards zimewekwa kihuni ili tushindwe ndipo tuseme kuna hujuma. Lakini kama ni hatujatimiza vigezo halali basi tukavifanyie kazi, tutakuwa bora zaidi. Maana hata hizo route zingine watu watasita kupanda wakiona hatujatimiza vigezo vya EU.Kwa sababu wanaubia na mashirika ya hao Mabeberu. ATCL haina ubia na shirika lolote la EU ndio maana wanaanza kuwekewa vikwazo. Wazungu ni mashetani yanayoishi hapa duniani.
Tupo kundi moja na IraqNoma kweli yaani!
Mbona iko wazi sanaMBOWE na Lissu ni mpango wa Mungu
Watu kama nyie mkibainika mnashangilia mushitakiwe kama wahujumu uchumi,vibaraka na wahaini.Kwi Kwi Kwi
Pole sana! Anza kuchawia Lissu Achana na MBOWE ili ulaji uendeleeMbona iko wazi sana
Unafikiri ni rahisi hivyo!! Una akili za shithole sana kenge wewe!🤣Mimi sio serikali ningekuwa niko serikalini ningewaonyesha kenge wewe
Kwa hiyo wanatuonea sisi tu mbona kenya, ethiopia wanaendelea kama kawaida?Hawa EU ni waseng tu mandege yao ndio yanaongoza kwa kuanguka duniani. ATCL waendelee kwenda nchi za Brics na Brics ipambane ukue zaidi na zaidi ili tuachane na hawa mabeberu majinga.