Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
“Uamuzi wa kuingiza Air Tanzania kwenye buku lenye orodha ya marufuku , inaonyesha dhamira yetu ya endelevu ya kuweka viwango vya juu vya usalama kwa abiria barani Ulaya na duniani kote. Tunatoa wito kwa shirika la ndege la Air Tanzania kuchukua hatua za haraka kushughulikia maswala haya."
Acha kona kona boresheni hayo mabati bati yenuKwa sababu wanaubia na mashirika ya hao Mabeberu. ATCL haina ubia na shirika lolote la EU ndio maana wanaanza kuwekewa vikwazo. Wazungu ni mashetani yanayoishi hapa duniani.
Wewe hujiuzi tu kwanini iwe sasa!!? Wakati ATCL haina route yoyote ya kwenda kwenye nchi za EU.Tusishutumu kwanza. Tuone je tunapewa standard tofauti na wenzetu. Kama kuna double standards au standards zimewekwa kihuni ili tushindwe ndipo tuseme kuna hujuma. Lakini kama ni hatujatimiza vigezo halali basi tukavifanyie kazi, tutakuwa bora zaidi. Maana hata hizo route zingine watu watasita kupanda wakiona hatujatimiza vigezo vya EU.
wewe ndiye shithole ndiyo maana watu wenye akili kama zako za shithole huwa wanaendelea kuwa shithole kwa kufikiria hakuna wanachoweza ku accomplish.Unafikiri ni rahisi hivyo!! Una akili za shithole sana kenge wewe!🤣
Unaweza ukawa hauna route lakini una kibali cha kutua EU. Usikimbilie kusema hujuma, tuangalie kama tumetimiza vigezo halali.Wewe hujiuzi tu kwanini iwe sasa!!? Wakati ATCL haina route yoyote ya kwenda kwenye nchi za EU.
I dought kenyan Airways....Hapa ndio tunaenda kupigwa😅😅
Sio kwamba kuna wenzetu wametuzunguka?
Biashara ziko Asia ,huko Kwa Wazungu hakuna jipyaKufanya biashara na Wazungu huku ukitaka kujiunga Brics ni ngumu sana hao jamaa wana njia nyingi sana za kukukwamisha kama haupo sawa nao..
Kagame hana ndege yule shirika ni la hao mabeberu hata uwanja wa ndege unaendeshwa na mabeberu. Uwanja wake unatumika kusafirisha madini yanayoibiwa huko DRC na Kongo. Siku DRC ikithibiti madini yake ndio kifo cha Rwanda mkuu.Usalama kwenye mabasi tu hatuna tukahamia na ndege
Sasa mnapigwa marufuku hata hamjatua Ulaya
Acha Kagame atambe kwa kweli
Rwandair inatua Heathrow
Ulaya hawana rushwa unapata leseni kihalali hata iwe ya pikipiki
Huyo ni kati ya wazee wa kutafuta mchawi. Sasa EU ituhujumu kwa lipi wakati tuna ndege chache ambazo hata sio tishio kwa biashara yao waache kuhujumu emirates ambao wanaweka oda hata ya ndege 200 kwa wakati mmoja.Unaweza ukawa hauna route lakini una kibali cha kutua EU. Usikimbilie kusema hujuma, tuangalie kama tumetimiza vigezo halali.
Majitu mapumbavu kama wewe ndiyo yanasimamia uchaguzi wa serikali za mitaa, hivyo inataka hata Ulaya wachakachue. Ndege zingekuwa zinarushwa hovyo hovyo kama unavyotaka unadhani kungekuwa na usalama?Hawa EU ni waseng tu mandege yao ndio yanaongoza kwa kuanguka duniani. ATCL waendelee kwenda nchi za Brics na Brics ipambane ukue zaidi na zaidi ili tuachane na hawa mabeberu majinga.
Tuzuie kwa sababu zipi? Sisi na hao wengine tumezuiwa sababu ya kiusalama huko angani kwenye nchi zao 😷Tuume meno na sisi tuzuie hata kwa wiki tuu...
Uatasikia kishindo kizito..