Air Tanzania yapigwa Marufuku kufanya safari zake Katika nchi 28 za Umoja wa Ulaya kwasababu za Kiusalama

Air Tanzania yapigwa Marufuku kufanya safari zake Katika nchi 28 za Umoja wa Ulaya kwasababu za Kiusalama

Tumekuwa wazalendo sana. Habari isipomsifia Rais Samia haitangazwi

Brussels – Air Tanzania fails to meet EU aviation safety requirements: the European Commission has added the airline to the list of operators banned from flying to and from the European Union. In its work to update the blacklist of third-country airlines, the EU removed Pakistan International Airlines (PIA) and Airblue Limited, both carriers from Pakistan. They can resume service to the EU.
 
Umoja wa Ulaya (EU) umetangaza kuzuia ndege za shirika la ndege la Air Tanzania kuingia katika anga la nchi wanachama wake, jumla ya nchi 28, kwa madai kuwa shirika hilo halijakidhi vigezo vya kimataifa vya usalama wa anga.

“Umoja wa Ulaya leo umesasisha orodha ya mashirika ya ndege yanayozuiwa kuingia au kuwekewa vikwazo vya kiutendaji ndani ya umoja huo,” inasema taarifa ambayo The Chanzo imeipata. “Air Tanzania sasa imeongezwa kwenye orodha hiyo.”

Sababu kuu ya kuijumuisha Air Tanzania, kwa mujibu wa taarifa hiyo, ni changamoto za kiusalama zilizobainishwa na Wakala wa Usalama wa Anga wa Umoja wa Ulaya (EASA). Kwa hatua hiyo, Air Tanzania imejiunga na mashirika mengine 129 yaliyopigwa marufuku, ikiwa ni pamoja na Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), Blue Wing Airlines (Suriname), Iran Aseman Airlines (Iran), Fly Baghdad (Iraq), na Iraqi Airways (Iraq).

Kamishna wa Usafiri Endelevu na Utalii wa Umoja wa Ulaya, Apostolos Tzitzikostas, amesema EU iko tayari kushirikiana na Air Tanzania ili kusaidia shirika hilo kufikia viwango husika vya usalama. “Uamuzi wa kuijumuisha Air Tanzania kwenye Orodha ya Usalama wa Anga ya EU unatokana na dhamira yetu ya kuhakikisha viwango vya juu vya usalama kwa abiria barani Ulaya na duniani kote,” amesema Tzitzikostas.

“Tunatoa wito kwa Air Tanzania kuchukua hatua za haraka kurekebisha changamoto hizi. EU iko tayari kushirikiana na mamlaka za Tanzania kuboresha usalama wa ndege za Air Tanzania na kuhakikisha zinafikia viwango vya kimataifa,” ameongeza.

Tangu mwaka 2016, Tanzania imekuwa ikiboresha shirika lake la Air Tanzania kwa kununua ndege mpya, zikiwemo Boeing 787-8 Dreamliner mbili, Dash 8 Q400 tano, Airbus A220-300 nne, Boeing 767-300F ya mizigo moja, na Boeing 737 MAX 9 tatu. Air Tanzania imekuwa ikifanya safari katika maeneo 14 ya ndani ya nchi, nane ya kikanda, na matatu ya kimataifa—China, India, na Dubai.

Hata hivyo, tangazo hili la Umoja wa Ulaya linaweza kuwa changamoto mpya kwa shirika hilo, ambalo sasa linatarajiwa kuchukua hatua madhubuti kushughulikia masuala ya usalama wa anga.
View attachment 3176052
View attachment 3176054
*********

Commission updates EU Air Safety List and adds Air Tanzania to the airlines banned within the European Union

Top
The European Commission today updated the EU Air Safety List, the list of airlines that are subject to an operating ban or operational restrictions within the European Union, because they do not meet international safety standards. Ensuring the highest level of air safety for Europeans and all other travelling passengers is at the very heart of the Commission's aviation safety policy.

Following today's update, Air Tanzania has been included on the List. The basis for this decision is safety concerns identified by the European Union Aviation Safety Agency (EASA). These also led to the decision not to grant Air Tanzania a Third Country Operator (TCO) authorisation.

Commissioner Tzitzikostas also welcomed EASA's positive decision on 29 November 2024 to lift the Third Country Operator (TCO) suspensions imposed on Pakistan International Airlines (PIA). Since the TCO Authorisation was suspended in 2020, PIA and the Pakistan Civil Aviation Authority (PCAA) have made substantial progress in improving safety performance and oversight capabilities. PIA is now allowed to resume operations to the EU. Furthermore, Airblue Limited, another Pakistani airline has also received EASA's TCO Authorisation.

Following today's update, a total of 129 airlines are banned from EU skies:

100 airlines certified in 15 States, due to inadequate safety oversight by the aviation authorities from these States;
22 airlines certified in Russia, as well as 7 individual airlines from other States, based on serious safety deficiencies identified: Air Tanzania (Tanzania), Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), Blue Wing Airlines (Suriname), Iran Aseman Airlines (Iran), Fly Baghdad (Iraq) and Iraqi Airways (Iraq).
Two additional airlines are subject to operational restrictions and can only fly to the EU with specific aircraft types: Iran Air (Iran) and Air Koryo (North Korea).

Background

Today's update to the EU Air Safety List is based on the unanimous opinion of Member State aviation safety experts, who met in Brussels on 19 to 21 November 2024 under the auspices of the EU Air Safety Committee. This Committee is chaired by the European Commission with support from EASA. The European Parliament's Transport Committee also supports the update. Decisions under the EU Air Safety List are based on international safety standards, and notably the standards decreed by the International Civil Aviation Organization (ICAO).

EU COMMISSION

View: https://x.com/millardayo/status/1867675013727629825?t=jRprq_5KN8m0fe1nupHrug&s=19
 
Ukiangalia nchi zilizoorodheshwa ktk hivyo vikwazo utagundua shida si shirika la Tanzania wala ubora wa ndege+huduma za Tz Bali Kuna kanamna, either Tz haijafuata vitu Fulani ama inafuata mambo Fulani ambayo yanamfungamano na hizo nchi ambazo watu wa Ulaya wanazikwepa (Venezuela+Iran),

Acheni kuendeshwa na Media+propaganda, chunguzeni mambo hapo Kuna kanamna, viongozi wetu wanajua shida ni Nini, shida haipo ktk ubora wa ndege wala usalama, Bali nchi+viongozi wetu Kuna namna wamewakosea hao jamaa wa EU.

Hii Ndio michezo ya dunia na hizi ndizo games za town, msipelekwe na upepo behind the scene Kuna kanamna

Hizi habari unazitoa wapi? Weka source hapa.

Wabongo wameshindwa kuendesha SGR tu.

Forget SGR. Mwendokasi tu.

Huko kwenye usafiri wa ndege wa kimataifa watu wameelezea mpaka jinsi wanavyo list hizi nchi, mnalialia siasa tu?


"The EU’s approach to safety management in aviation is based on occurrence reporting where safety-related events in civil aviation are tracked, analysed and followed up. Common rules on accident investigations are also designed to prevent the reoccurrence of dangerous incidents. "
 
Umoja wa Ulaya (EU) umetangaza kuzuia ndege za shirika la ndege la Air Tanzania kuingia katika anga la nchi wanachama wake, jumla ya nchi 28, kwa madai kuwa shirika hilo halijakidhi vigezo vya kimataifa vya usalama wa anga.

“Umoja wa Ulaya leo umesasisha orodha ya mashirika ya ndege yanayozuiwa kuingia au kuwekewa vikwazo vya kiutendaji ndani ya umoja huo,” inasema taarifa ambayo The Chanzo imeipata. “Air Tanzania sasa imeongezwa kwenye orodha hiyo.”

Sababu kuu ya kuijumuisha Air Tanzania, kwa mujibu wa taarifa hiyo, ni changamoto za kiusalama zilizobainishwa na Wakala wa Usalama wa Anga wa Umoja wa Ulaya (EASA). Kwa hatua hiyo, Air Tanzania imejiunga na mashirika mengine 129 yaliyopigwa marufuku, ikiwa ni pamoja na Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), Blue Wing Airlines (Suriname), Iran Aseman Airlines (Iran), Fly Baghdad (Iraq), na Iraqi Airways (Iraq).

Kamishna wa Usafiri Endelevu na Utalii wa Umoja wa Ulaya, Apostolos Tzitzikostas, amesema EU iko tayari kushirikiana na Air Tanzania ili kusaidia shirika hilo kufikia viwango husika vya usalama. “Uamuzi wa kuijumuisha Air Tanzania kwenye Orodha ya Usalama wa Anga ya EU unatokana na dhamira yetu ya kuhakikisha viwango vya juu vya usalama kwa abiria barani Ulaya na duniani kote,” amesema Tzitzikostas.

“Tunatoa wito kwa Air Tanzania kuchukua hatua za haraka kurekebisha changamoto hizi. EU iko tayari kushirikiana na mamlaka za Tanzania kuboresha usalama wa ndege za Air Tanzania na kuhakikisha zinafikia viwango vya kimataifa,” ameongeza.

Tangu mwaka 2016, Tanzania imekuwa ikiboresha shirika lake la Air Tanzania kwa kununua ndege mpya, zikiwemo Boeing 787-8 Dreamliner mbili, Dash 8 Q400 tano, Airbus A220-300 nne, Boeing 767-300F ya mizigo moja, na Boeing 737 MAX 9 tatu. Air Tanzania imekuwa ikifanya safari katika maeneo 14 ya ndani ya nchi, nane ya kikanda, na matatu ya kimataifa—China, India, na Dubai.

Hata hivyo, tangazo hili la Umoja wa Ulaya linaweza kuwa changamoto mpya kwa shirika hilo, ambalo sasa linatarajiwa kuchukua hatua madhubuti kushughulikia masuala ya usalama wa anga.
View attachment 3176052
View attachment 3176054
*********

Commission updates EU Air Safety List and adds Air Tanzania to the airlines banned within the European Union

Top
The European Commission today updated the EU Air Safety List, the list of airlines that are subject to an operating ban or operational restrictions within the European Union, because they do not meet international safety standards. Ensuring the highest level of air safety for Europeans and all other travelling passengers is at the very heart of the Commission's aviation safety policy.

Following today's update, Air Tanzania has been included on the List. The basis for this decision is safety concerns identified by the European Union Aviation Safety Agency (EASA). These also led to the decision not to grant Air Tanzania a Third Country Operator (TCO) authorisation.

Commissioner Tzitzikostas also welcomed EASA's positive decision on 29 November 2024 to lift the Third Country Operator (TCO) suspensions imposed on Pakistan International Airlines (PIA). Since the TCO Authorisation was suspended in 2020, PIA and the Pakistan Civil Aviation Authority (PCAA) have made substantial progress in improving safety performance and oversight capabilities. PIA is now allowed to resume operations to the EU. Furthermore, Airblue Limited, another Pakistani airline has also received EASA's TCO Authorisation.

Following today's update, a total of 129 airlines are banned from EU skies:

100 airlines certified in 15 States, due to inadequate safety oversight by the aviation authorities from these States;
22 airlines certified in Russia, as well as 7 individual airlines from other States, based on serious safety deficiencies identified: Air Tanzania (Tanzania), Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), Blue Wing Airlines (Suriname), Iran Aseman Airlines (Iran), Fly Baghdad (Iraq) and Iraqi Airways (Iraq).
Two additional airlines are subject to operational restrictions and can only fly to the EU with specific aircraft types: Iran Air (Iran) and Air Koryo (North Korea).

Background

Today's update to the EU Air Safety List is based on the unanimous opinion of Member State aviation safety experts, who met in Brussels on 19 to 21 November 2024 under the auspices of the EU Air Safety Committee. This Committee is chaired by the European Commission with support from EASA. The European Parliament's Transport Committee also supports the update. Decisions under the EU Air Safety List are based on international safety standards, and notably the standards decreed by the International Civil Aviation Organization (ICAO).

EU COMMISSION
Spaner kuelekea 2025
 
Hii ya Kagame ni mfano tu ila kutua Heathrow sio utani
Sisi hata kuwa na ubia na wengine hatuwezi
Angalia Kenya Airways hata ticket zao ziko juu kutoka London to Nairobi
Kuna Ethiopian pia inatua Heathrow pia na hawajaanza leo napanda sana kipitia Addis to Dar
Hata sisi tunaweza ila ujanja ujanja mwingi tu
Hapa utaelewesha mpaka 2025 sababu mtu atakubishia wakati hata Kisumu hajawahi kufika
 
Hahaha hawa EU ni wabaguzi sana, Walipaswa waseme tatizo ni nini ili nasi TUCHUKUE HATUA tusalimike. Sasa unaposema sababu za kiusalama, yani huo usalama uko ULAYA pekee sisis hatuhitaji kuwa salama?

Kama ndege zinashida wangesema ziwe grounded hata kama ziko Dodoma zisiruke ili nasi tuwe salama, lakini kuzizuia zisiingie Ulaya tu eti kwa sababu za kiusalama bila kutueleza hasa tatizo ni nini, huo ni ubinafsi wa maisha.

Kama hazifanyiwi service ya kutosha zisiruke hata humu nchini, kama zina hitilafu ya kimfumo zisiruke hata humu nchini, lakini usalama usiwe EU pekee.
 
Umoja wa Ulaya (EU) umetangaza kuzuia ndege za shirika la ndege la Air Tanzania kuingia katika anga la nchi wanachama wake, jumla ya nchi 28, kwa madai kuwa shirika hilo halijakidhi vigezo vya kimataifa vya usalama wa anga.

“Umoja wa Ulaya leo umesasisha orodha ya mashirika ya ndege yanayozuiwa kuingia au kuwekewa vikwazo vya kiutendaji ndani ya umoja huo,” inasema taarifa ambayo The Chanzo imeipata. “Air Tanzania sasa imeongezwa kwenye orodha hiyo.”

Sababu kuu ya kuijumuisha Air Tanzania, kwa mujibu wa taarifa hiyo, ni changamoto za kiusalama zilizobainishwa na Wakala wa Usalama wa Anga wa Umoja wa Ulaya (EASA). Kwa hatua hiyo, Air Tanzania imejiunga na mashirika mengine 129 yaliyopigwa marufuku, ikiwa ni pamoja na Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), Blue Wing Airlines (Suriname), Iran Aseman Airlines (Iran), Fly Baghdad (Iraq), na Iraqi Airways (Iraq).

Kamishna wa Usafiri Endelevu na Utalii wa Umoja wa Ulaya, Apostolos Tzitzikostas, amesema EU iko tayari kushirikiana na Air Tanzania ili kusaidia shirika hilo kufikia viwango husika vya usalama. “Uamuzi wa kuijumuisha Air Tanzania kwenye Orodha ya Usalama wa Anga ya EU unatokana na dhamira yetu ya kuhakikisha viwango vya juu vya usalama kwa abiria barani Ulaya na duniani kote,” amesema Tzitzikostas.

“Tunatoa wito kwa Air Tanzania kuchukua hatua za haraka kurekebisha changamoto hizi. EU iko tayari kushirikiana na mamlaka za Tanzania kuboresha usalama wa ndege za Air Tanzania na kuhakikisha zinafikia viwango vya kimataifa,” ameongeza.

Tangu mwaka 2016, Tanzania imekuwa ikiboresha shirika lake la Air Tanzania kwa kununua ndege mpya, zikiwemo Boeing 787-8 Dreamliner mbili, Dash 8 Q400 tano, Airbus A220-300 nne, Boeing 767-300F ya mizigo moja, na Boeing 737 MAX 9 tatu. Air Tanzania imekuwa ikifanya safari katika maeneo 14 ya ndani ya nchi, nane ya kikanda, na matatu ya kimataifa—China, India, na Dubai.

Hata hivyo, tangazo hili la Umoja wa Ulaya linaweza kuwa changamoto mpya kwa shirika hilo, ambalo sasa linatarajiwa kuchukua hatua madhubuti kushughulikia masuala ya usalama wa anga.
View attachment 3176052
View attachment 3176054
*********

Commission updates EU Air Safety List and adds Air Tanzania to the airlines banned within the European Union

Top
The European Commission today updated the EU Air Safety List, the list of airlines that are subject to an operating ban or operational restrictions within the European Union, because they do not meet international safety standards. Ensuring the highest level of air safety for Europeans and all other travelling passengers is at the very heart of the Commission's aviation safety policy.

Following today's update, Air Tanzania has been included on the List. The basis for this decision is safety concerns identified by the European Union Aviation Safety Agency (EASA). These also led to the decision not to grant Air Tanzania a Third Country Operator (TCO) authorisation.

Commissioner Tzitzikostas also welcomed EASA's positive decision on 29 November 2024 to lift the Third Country Operator (TCO) suspensions imposed on Pakistan International Airlines (PIA). Since the TCO Authorisation was suspended in 2020, PIA and the Pakistan Civil Aviation Authority (PCAA) have made substantial progress in improving safety performance and oversight capabilities. PIA is now allowed to resume operations to the EU. Furthermore, Airblue Limited, another Pakistani airline has also received EASA's TCO Authorisation.

Following today's update, a total of 129 airlines are banned from EU skies:

100 airlines certified in 15 States, due to inadequate safety oversight by the aviation authorities from these States;
22 airlines certified in Russia, as well as 7 individual airlines from other States, based on serious safety deficiencies identified: Air Tanzania (Tanzania), Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), Blue Wing Airlines (Suriname), Iran Aseman Airlines (Iran), Fly Baghdad (Iraq) and Iraqi Airways (Iraq).
Two additional airlines are subject to operational restrictions and can only fly to the EU with specific aircraft types: Iran Air (Iran) and Air Koryo (North Korea).

Background

Today's update to the EU Air Safety List is based on the unanimous opinion of Member State aviation safety experts, who met in Brussels on 19 to 21 November 2024 under the auspices of the EU Air Safety Committee. This Committee is chaired by the European Commission with support from EASA. The European Parliament's Transport Committee also supports the update. Decisions under the EU Air Safety List are based on international safety standards, and notably the standards decreed by the International Civil Aviation Organization (ICAO).

EU COMMISSION
Rubani na crew ya Air Tanzania kukubali Lema kukamatwa kama gaidi ndani ya ndege ni tatizo kubwa la kiusalama.

Samia anadhani upuuzi anaoulea kwa kigezo cha kudhibiti upinzani atabaki salama.

Na yeye soon atapigwa ban Ulaya kwa sababu za kiusalama
 
Tanzania kipindi Cha nyuma tulikua na Safari za Ulaya na hasa London.

Ni miaka mingi Sana Tangu shirika la Ndege kuacha kupeleka ndege uko kutokana na kuyumba kwa shirika na Sababu za kibiashara.

Sasa kusema Shirika la Ndege la Tanzania limefungiwa wakati halina Safari za Ulaya Wala mpango huo karibuni ni Jambo la kushangaza.
Ingekua pigo kama Tanzania ingefungiwa kufanya safari za Mojakwamoja kati ya Tanzania na China( Gwanzuu)au Tanzania na India ambako Air Tanzania Ina Abiria wengi ila uko EU hakuna Athari zozote kibiashara.
 
Umoja wa Ulaya (EU) umetangaza kuzuia ndege za shirika la ndege la Air Tanzania kuingia katika anga la nchi wanachama wake, jumla ya nchi 28, kwa madai kuwa shirika hilo halijakidhi vigezo vya kimataifa vya usalama wa anga.

“Umoja wa Ulaya leo umesasisha orodha ya mashirika ya ndege yanayozuiwa kuingia au kuwekewa vikwazo vya kiutendaji ndani ya umoja huo,” inasema taarifa ambayo The Chanzo imeipata. “Air Tanzania sasa imeongezwa kwenye orodha hiyo.”

Sababu kuu ya kuijumuisha Air Tanzania, kwa mujibu wa taarifa hiyo, ni changamoto za kiusalama zilizobainishwa na Wakala wa Usalama wa Anga wa Umoja wa Ulaya (EASA). Kwa hatua hiyo, Air Tanzania imejiunga na mashirika mengine 129 yaliyopigwa marufuku, ikiwa ni pamoja na Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), Blue Wing Airlines (Suriname), Iran Aseman Airlines (Iran), Fly Baghdad (Iraq), na Iraqi Airways (Iraq).

Kamishna wa Usafiri Endelevu na Utalii wa Umoja wa Ulaya, Apostolos Tzitzikostas, amesema EU iko tayari kushirikiana na Air Tanzania ili kusaidia shirika hilo kufikia viwango husika vya usalama. “Uamuzi wa kuijumuisha Air Tanzania kwenye Orodha ya Usalama wa Anga ya EU unatokana na dhamira yetu ya kuhakikisha viwango vya juu vya usalama kwa abiria barani Ulaya na duniani kote,” amesema Tzitzikostas.

“Tunatoa wito kwa Air Tanzania kuchukua hatua za haraka kurekebisha changamoto hizi. EU iko tayari kushirikiana na mamlaka za Tanzania kuboresha usalama wa ndege za Air Tanzania na kuhakikisha zinafikia viwango vya kimataifa,” ameongeza.

Tangu mwaka 2016, Tanzania imekuwa ikiboresha shirika lake la Air Tanzania kwa kununua ndege mpya, zikiwemo Boeing 787-8 Dreamliner mbili, Dash 8 Q400 tano, Airbus A220-300 nne, Boeing 767-300F ya mizigo moja, na Boeing 737 MAX 9 tatu. Air Tanzania imekuwa ikifanya safari katika maeneo 14 ya ndani ya nchi, nane ya kikanda, na matatu ya kimataifa—China, India, na Dubai.

Hata hivyo, tangazo hili la Umoja wa Ulaya linaweza kuwa changamoto mpya kwa shirika hilo, ambalo sasa linatarajiwa kuchukua hatua madhubuti kushughulikia masuala ya usalama wa anga.
View attachment 3176052
View attachment 3176054
*********

Commission updates EU Air Safety List and adds Air Tanzania to the airlines banned within the European Union

Top
The European Commission today updated the EU Air Safety List, the list of airlines that are subject to an operating ban or operational restrictions within the European Union, because they do not meet international safety standards. Ensuring the highest level of air safety for Europeans and all other travelling passengers is at the very heart of the Commission's aviation safety policy.

Following today's update, Air Tanzania has been included on the List. The basis for this decision is safety concerns identified by the European Union Aviation Safety Agency (EASA). These also led to the decision not to grant Air Tanzania a Third Country Operator (TCO) authorisation.

Commissioner Tzitzikostas also welcomed EASA's positive decision on 29 November 2024 to lift the Third Country Operator (TCO) suspensions imposed on Pakistan International Airlines (PIA). Since the TCO Authorisation was suspended in 2020, PIA and the Pakistan Civil Aviation Authority (PCAA) have made substantial progress in improving safety performance and oversight capabilities. PIA is now allowed to resume operations to the EU. Furthermore, Airblue Limited, another Pakistani airline has also received EASA's TCO Authorisation.

Following today's update, a total of 129 airlines are banned from EU skies:

100 airlines certified in 15 States, due to inadequate safety oversight by the aviation authorities from these States;
22 airlines certified in Russia, as well as 7 individual airlines from other States, based on serious safety deficiencies identified: Air Tanzania (Tanzania), Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), Blue Wing Airlines (Suriname), Iran Aseman Airlines (Iran), Fly Baghdad (Iraq) and Iraqi Airways (Iraq).
Two additional airlines are subject to operational restrictions and can only fly to the EU with specific aircraft types: Iran Air (Iran) and Air Koryo (North Korea).

Background

Today's update to the EU Air Safety List is based on the unanimous opinion of Member State aviation safety experts, who met in Brussels on 19 to 21 November 2024 under the auspices of the EU Air Safety Committee. This Committee is chaired by the European Commission with support from EASA. The European Parliament's Transport Committee also supports the update. Decisions under the EU Air Safety List are based on international safety standards, and notably the standards decreed by the International Civil Aviation Organization (ICAO).

EU COMMISSION
Mbona ipo ndani ya nchi zenye utata
 
Hongera sana Rais Samia 😊 Kwa hakika Tanzania inajivunia wewe 😊 Air Tanzania kutokuingia ndani ya Ulaya ni jambo njema sana 😊
Mapambio ya kina fulani sasa 😃
 
Wanangu wa faida mkitaka kwenda Ulaya,USA, na Kote duniani Anzia Nairobi Kenya michongo yote ya kimataifa inapatikana pale
 
Aii, hii vipi tena jamaniii...
Ila ninavyowajua maccm watamsingizia Lissu kwamba ndo kakichafua....!
 
Back
Top Bottom