Airbnb ni salama zaidi kwa wanaochepuka kuliko guest house

Airbnb ni salama zaidi kwa wanaochepuka kuliko guest house

Aisee nataka kitu kama hiki.
Tatizo husemi procedures za kufanikisha , wengine ndo tumesikia leo hiyo Airbnb
Sehemu za kujifungia hizi mwaisa, unyama mwingi utendeke. 🤣
 
Machimbo mbona mengi Msanii? Inategemea na budget yako, mi machombo ninayoyapenda ni ya Sinza, Kijitonyama, Mbezi Beach, Mikocheni na Upanga. Unapata nyumba nzuri kwa bei nzuri sana. Halafu huduma za kijamii haziko mbali.

Sijawahi kuangalia nyumba za Kwa Mpalange, ngoja nizicheki halafu nakupa mrechesho
Uswazi nyingi zipo vrbo
 
Bujibuji Simba Nyamaume uko Dar siku hizi? Fanya tutafutane kama uko mjini. Mara ya mwisho tulikutana East African Hotel Arusha 2013 au 2014 na wote tuliokuwa pale nadhani ni wewe tu hujabadilisha ID😂
Tuliwahi kutana kwenye KiliFare 2019 Arusha yaani nilikua nawachora tu. Uzuri hata main I'd yangu nishabadiri😂
 
Wengine tunafanya hv,unakuwa na sehemu za kufugia wanyama kama nguruwe,ng'ombe au mbuzi,kuku wanakuwa wapo nje ya mji huko,unajenga kanyumba kenye vyumba vitatu yaan stoo,chumba kwa ajili ya anae watunza wanyama na kimoja cha kwako cha kulia vitoto vya shule au wake za watu au ndugu zako wa mbali,chumba kinakuwa full mpaka jiko ndani afu kizuri,mkiingia humo hakuna kutoka
Hahah... Aisee
 
kuna mtu aliingia akachagua location ya kwenye boat ili alie mbususu kwenye maji aliona samaki wanafaidi sana kilichotokea wakanusurika kufanywa keki na papa...yupo hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inaonekana mbususu yake ina chumvu nyingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alaf anakuambia pombe zilikata na nyege zilisepa
 
Wengine tunafanya hv,unakuwa na sehemu za kufugia wanyama kama nguruwe,ng'ombe au mbuzi,kuku wanakuwa wapo nje ya mji huko,unajenga kanyumba kenye vyumba vitatu yaan stoo,chumba kwa ajili ya anae watunza wanyama na kimoja cha kwako cha kulia vitoto vya shule au wake za watu au ndugu zako wa mbali,chumba kinakuwa full mpaka jiko ndani afu kizuri,mkiingia humo hakuna kutoka
Nyie mbuzi mna mbinamu za hatar hatar sana[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom