Airtel inazidi kutanua soko la Unlimited internet, Vodacom na Tigo wakiendelea kushupaza shingo watastuka soko lishamezwa

zielezee kdgo mkuu zinapatikan vip?
Mkuu kuna watu wameniuliza hapo juu nimewaelekeza but incase hujaona iko hivi:

Hizi ni laini special kwa ajili ya internet pekee, hazipigi wala kupokea simu, text wala pesa. Unazipata kwenye maduka ya halotel na unaweza ukanunua pamoja na device (router) yake ambazo zipo kuanzia elfu hamsini na kwenda juu. Lakini kama unaona hauwezi kununua hizo device unaweza kuchukua laini pekee ukawa unaitumia kupitia simu.

Vifurushi vyake
Wiki
5000 = 4 GB

Mwezi
15,000 = 18 GB
30,000 = 38 GB
50,000 = 68 GB
75,000 = 110 GB
100,000 = 210 GB
 
kwahyo mkuu hoja yako hapo ni ipi watu wasinunue hzo route kisasa watanzania wengi hawana uwezo au wafanya biashara wasiziuze kwasababu umaskin mkubwa? Maana kama bando za buku zipo hakuna aliekatazwa kununua, na ambao wana uwezo wananunua hzo route kwasababu uwezo unawaruhusu we malalamiko yako upande upi ? Maan toka mwanzo wa uzi nakuona umeng'ng'ania 99% wananunua bando za buku
 
Lakini mkuu hii siyo UNLIMITED...
 
Hapa bado umeniacha kidogo, wanakuuzia GB ama wanakuuzia SPEED?
 
Unalipa laki nzima kwa gb 200!mkuu unapigwa hapo
 
Unalipa laki nzima kwa gb 200!mkuu unapigwa hapo
Yeah, pengine... Lakini nimeshatumia huduma za internet za makampuni mengine ambazo zilikuwa ni unlimited hali ilikuwa ni mbaya sana. Hao voda na 5G yao hata sitaki kuwasikia, huduma ya hovyo, walituuzia kifurushi cha speed 100mbps lakini speed tuliyokuwa tunapata ni chini ya 5mbps. So ukizingatia matumizi yangu kwa siku yapo chini ya GB 7 saba so GB 200 kwa mwezi zinanitosha. Kulipa laki kupata GB 200 na kulipa laki kupata unlimited kwangu haina tofauti. Labda siku matumizi yakiongezeka au nikiongeza device nyingi nitaweza kutafuta option ya unlimited...
 
Kwa hoja hizi inaonekana utoto unakusumbua. Netlix ni nini?
 
Huu ndio ukweli haya ndiyo maisha ya watanzania wengi. Wengi wanaipambania leo, ndio umwambie aweke bando la 30k
 
Fuatilia mjadala ulipoanzia
 
Ni unlimited kwa lugha ya biashara, kiuhalisia data volume iko caped GB fulani
 
Vile vifurushi vya halotel bado vipo pataGB2 kwa 3000, Gb3 kwa 4000, GB5 kwa 5000 na Gb10 kwa10,000, Gb15 kwa 14,000 na Gb25 kwa 23000 na Gb30 kwa 26000 tu mwezi mzima., calll & sms only 0618370992.
 
Elon Musk ndo game changer africa mashariki ngoja aje kuwashangaza hawa people. Safaricom huko kenya wanalia na kujuta kwanini bwana elon karuhusiwa kwao.

Kifo chao kinakuja soon.
 
Hao Airtel hata wajitanue hadi wapasuke, katu siyo wa kuwaamini huduma zao
 
Hao Airtel hata wajitanue hadi wapasuke, katu siyo wa kuwaamini huduma zao
Ninawatumia toka mwaka jana October, na sijawahi kujutia huduma zao. Cha msingi tu eneo ulilopo liwe na mtandao mzuri wa Airtel.

Stori za mitandaoni achana nazo, wewe nunua kifaa upate experience personally.



 
Airtel wameona fursa ya kulikamata soko kwa kudeal na gharama, kwa shilingi 110,000 unapewa router iliyoungwa bando la mwezi mzima na miezi ijayo unaweza kuunga kifurushi cha elf 70, hapa at least pana unafuu.
Imekaa njema sana kwa 110k unapata Router +70k bando.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…