Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Mkuu kuna watu wameniuliza hapo juu nimewaelekeza but incase hujaona iko hivi:zielezee kdgo mkuu zinapatikan vip?
Hizi ni laini special kwa ajili ya internet pekee, hazipigi wala kupokea simu, text wala pesa. Unazipata kwenye maduka ya halotel na unaweza ukanunua pamoja na device (router) yake ambazo zipo kuanzia elfu hamsini na kwenda juu. Lakini kama unaona hauwezi kununua hizo device unaweza kuchukua laini pekee ukawa unaitumia kupitia simu.
Vifurushi vyake
Wiki
5000 = 4 GB
Mwezi
15,000 = 18 GB
30,000 = 38 GB
50,000 = 68 GB
75,000 = 110 GB
100,000 = 210 GB