Tetesi: Aisee!! CHADEMA kwa hili mmeiweza CCM,mmeshinda mapema!

Tetesi: Aisee!! CHADEMA kwa hili mmeiweza CCM,mmeshinda mapema!

Mwanzo nililalamikia sana uongozi wa juu wa chama kushindwa kuchukua hatua juu ya mkakati wa madiwani kujiuzulu na kuhamia CCM pamoja na viongozi na wanachama kadhaa, Sikujua kumbe huu ulikua mkakati wa kuwatuma watu wenu kuhamia CCM kufanya kazi mliyowatuma. Kwa habari nilizopata mahali wacha nikae niitazame hii move, kumbe kupiga kote kelele mnajua mnachokifanya!!


Sasa viongozi wa CCM wao wameingia kichwa kichwa kugawa pesa bila kujua wanawapa akina nani! hawajui kua wale bado ni wanachama watiifu wa CHADEMA, Sasa wameanza hata kuwataftia ajira serikalini ili wawalishe vizuri. Nalisema hilo leo lakini kabla ya 2019 majibu CCM watayapata.


Hongera Mh Mbowe,hongera Mh Lowasa, hongera team 4U,hongera Dr Mashinji. Mmeshausoma uongozi wa CCM sasa kazi imeanza. Wengine tulijua mmepoteza kumbe mnapanda!!
Evidence unazungumza na watu wenye uelediiii. Toa ushahidi[emoji86] [emoji86]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzo nililalamikia sana uongozi wa juu wa chama kushindwa kuchukua hatua juu ya mkakati wa madiwani kujiuzulu na kuhamia CCM pamoja na viongozi na wanachama kadhaa, Sikujua kumbe huu ulikua mkakati wa kuwatuma watu wenu kuhamia CCM kufanya kazi mliyowatuma. Kwa habari nilizopata mahali wacha nikae niitazame hii move, kumbe kupiga kote kelele mnajua mnachokifanya!!


Sasa viongozi wa CCM wao wameingia kichwa kichwa kugawa pesa bila kujua wanawapa akina nani! hawajui kua wale bado ni wanachama watiifu wa CHADEMA, Sasa wameanza hata kuwataftia ajira serikalini ili wawalishe vizuri. Nalisema hilo leo lakini kabla ya 2019 majibu CCM watayapata.


Hongera Mh Mbowe,hongera Mh Lowasa, hongera team 4U,hongera Dr Mashinji. Mmeshausoma uongozi wa CCM sasa kazi imeanza. Wengine tulijua mmepoteza kumbe mnapanda!!
Unajifariji eeeeh
 
Tulikua tunawachora tu mlivyokua mnadeki barabara maana ccm ilishatuma kina lowasa, sumaye na kingunge huko kwenu longtime.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzuri wa ccm ukihamia unapigwa benchi kwanza na hili linawashinda wengi kuvumilia.

Halafu mkakati wa kutuma watu kwenye maeneo mnayoshikilia ni ushamba kujitekenya wenyewe
 
Mwanzo nililalamikia sana uongozi wa juu wa chama kushindwa kuchukua hatua juu ya mkakati wa madiwani kujiuzulu na kuhamia CCM pamoja na viongozi na wanachama kadhaa, Sikujua kumbe huu ulikua mkakati wa kuwatuma watu wenu kuhamia CCM kufanya kazi mliyowatuma. Kwa habari nilizopata mahali wacha nikae niitazame hii move, kumbe kupiga kote kelele mnajua mnachokifanya!!


Sasa viongozi wa CCM wao wameingia kichwa kichwa kugawa pesa bila kujua wanawapa akina nani! hawajui kua wale bado ni wanachama watiifu wa CHADEMA, Sasa wameanza hata kuwataftia ajira serikalini ili wawalishe vizuri. Nalisema hilo leo lakini kabla ya 2019 majibu CCM watayapata.


Hongera Mh Mbowe,hongera Mh Lowasa, hongera team 4U,hongera Dr Mashinji. Mmeshausoma uongozi wa CCM sasa kazi imeanza. Wengine tulijua mmepoteza kumbe mnapanda!!
Mkuu ktk mafunzo ya kijeshi kinaitwa MM hivyo hayo yote yanawezekana ili mradi kupata ushindi

In God we trust
 
Mkuu unajua sometimes unasikia jambo la kufurahisha kama hili unaweza jikuta unatoboa ya watu. Wacha nijigongee castle baridi na wkend hii nikapumzike zangu.
Daaaaa mimi ndio naigonga castle lager phantom

In God we trust
 
Back
Top Bottom