Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] poleni sana jaribuni tena 2025.Ipo hai, kazi inaendelea kama kawa! Mshindo wake 2018 mwishoni mtaujua tuu.
Hahahaaa, mkuu mimi siyo mwanaccm, nilitoa hoja yangu tu kuhusu the other side of the coin!Lowasa si mlisema alitoa hela? Sasa hawa madiwani wanawapa nini CCM? Hili suala staki kulisemea sana nimeshasema
Hata ya zamani yana madhara.Kama ni mkakati, mbona ni wa kizamani
Piga kimya Mkuu,enjoy me natamani tu hapo hizo makitu.
Wataelewa tu hawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa na wanachama wa Chadema kama huyu Raha sana.. Eti mkakati, ha ha ha vichekesho vya kufungia mwezi hiviSikujua kumbe huu ulikua mkakati wa kuwatuma watu wenu kuhamia CCM kufanya kazi mliyowatuma. Kwa habari nilizopata mahali wacha nikae niitazame hii move,