Tetesi: Aisee!! CHADEMA kwa hili mmeiweza CCM,mmeshinda mapema!

Tetesi: Aisee!! CHADEMA kwa hili mmeiweza CCM,mmeshinda mapema!

Hakuna mkakati wa kizamani ktk kumuangamiza adui ili mradi anadhulika

In God we trust
Mikakati mingine ishapitwa na wakati, ni sawa na mtu akupe simu ya tochi, halafu uwambiwe uingie mtandaoni ukasome katiba
 
Mwanzo nililalamikia sana uongozi wa juu wa chama kushindwa kuchukua hatua juu ya mkakati wa madiwani kujiuzulu na kuhamia CCM pamoja na viongozi na wanachama kadhaa, Sikujua kumbe huu ulikua mkakati wa kuwatuma watu wenu kuhamia CCM kufanya kazi mliyowatuma. Kwa habari nilizopata mahali wacha nikae niitazame hii move, kumbe kupiga kote kelele mnajua mnachokifanya!!


Sasa viongozi wa CCM wao wameingia kichwa kichwa kugawa pesa bila kujua wanawapa akina nani! hawajui kua wale bado ni wanachama watiifu wa CHADEMA, Sasa wameanza hata kuwataftia ajira serikalini ili wawalishe vizuri. Nalisema hilo leo lakini kabla ya 2019 majibu CCM watayapata.


Hongera Mh Mbowe,hongera Mh Lowasa, hongera team 4U,hongera Dr Mashinji. Mmeshausoma uongozi wa CCM sasa kazi imeanza. Wengine tulijua mmepoteza kumbe mnapanda!!
Endelea kusubiria Meli airport Chama chenye wanachama zaidi ya 8mil kije kiangaike na Chama chemye wanachama hata hawafiki 2mil.

Huo Mpango CCm ndio Mastermind na ulifanywa zaman sana na Kina Juliana Shonze na wenzake sasa kama unaamn kua mnatuchezea faulo poleni CCM ni baba wa Siasa na sio saccoss ya Bomang'ombe mfa Maji haishi kutapa tapa.
 
CCM too big to collapse....even for the next thirty years

Sent using Jamii Forums mobile app
Alianguka Gaddafi,Nduli Idd Amin Dadah na hata Babylon Tower sembuse iwe hyo takataka Ccm,binadam wakiamua jambo liwe jema au baya wakiliwekea mikakati ni lazma jambo hlo litimie.
Unafikir kwa nini Julius Nyerere alisema "Atakayeidondosha ccm atatoka ccm?" Je unafaham kwamba kuna uchaguz Dk Slaa alishinda na hakupewa nchi? Unafaham kwamba kuna uchaguz Lyatonga alishinda na hakupewa nchi? Jiulize uchaguz wa 2015 nani alishinda? It's a matter of time na ccm ikidondoka haitakuja kurudi kamwe kwenye ulimwengu wa siasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe Hata Luwasa Sumaye Na Kingunge Walitumwa Na Ccm Kumaliza Ukawa Sbb Walikuwa Tishio.
 
Alianguka Gaddafi,Nduli Idd Amin Dadah na hata Babylon Tower sembuse iwe hyo takataka Ccm,binadam wakiamua jambo liwe jema au baya wakiliwekea mikakati ni lazma jambo hlo litimie.
Unafikir kwa nini Julius Nyerere alisema "Atakayeidondosha ccm atatoka ccm?" Je unafaham kwamba kuna uchaguz Dk Slaa alishinda na hakupewa nchi? Unafaham kwamba kuna uchaguz Lyatonga alishinda na hakupewa nchi? Jiulize uchaguz wa 2015 nani alishinda? It's a matter of time na ccm ikidondoka haitakuja kurudi kamwe kwenye ulimwengu wa siasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi natamani sana kuona Tanzania bila CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu isije kuwa "Twajipaka mafuta kwa mgongo wa chupa"
 
Mbowe amesema aliujua kuwa wanahama hata kabla hawajahama,,,,jiulize kwa nini hakusema? Kula ccm kura chadema
 
Back
Top Bottom