Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
......Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
......MUNGU ni mwema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
......Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
Nazihurumia mbavu zangu .View attachment 553692 hawa hapa wanakula burudani ya bure kutoka kwa Lisu, mpaka wamechanganyikiwa
.....View attachment 553692 hawa hapa wanakula burudani ya bure kutoka kwa Lisu, mpaka wamechanganyikiwa
..Nazihurumia mbavu zangu .
Baada ya hapo kulalaView attachment 553692 hawa hapa wanakula burudani ya bure kutoka kwa Lisu, mpaka wamechanganyikiwa
Teh teh e ee... Sawa kaka, ila huyu mtu kwa sasa hana ishu tena kwa wenye akili zao!
Kwakweli!Kwani wajinga si ndio waliwao??? Wahenga walisema.
Waliongeza pia wajinga huzaliwa kila siku
Hahahaaaaaaa!! CHADEMA hawana uwezo wa kuicheza ngoma ya CCM aisee, sio cxm ninayo ijua mie iingie kichwa kichwa katika mtego wa kitoto kama huo nadhani wabuni njia nyingine hii haita wasaidia hata kidogo ,MNYETI na GAMBO sio wajinga wa kiasi udhaniacho.Mwanzo nililalamikia sana uongozi wa juu wa chama kushindwa kuchukua hatua juu ya mkakati wa madiwani kujiuzulu na kuhamia CCM pamoja na viongozi na wanachama kadhaa, Sikujua kumbe huu ulikua mkakati wa kuwatuma watu wenu kuhamia CCM kufanya kazi mliyowatuma. Kwa habari nilizopata mahali wacha nikae niitazame hii move, kumbe kupiga kote kelele mnajua mnachokifanya!!
Sasa viongozi wa CCM wao wameingia kichwa kichwa kugawa pesa bila kujua wanawapa akina nani! hawajui kua wale bado ni wanachama watiifu wa CHADEMA, Sasa wameanza hata kuwataftia ajira serikalini ili wawalishe vizuri. Nalisema hilo leo lakini kabla ya 2019 majibu CCM watayapata.
Hongera Mh Mbowe,hongera Mh Lowasa, hongera team 4U,hongera Dr Mashinji. Mmeshausoma uongozi wa CCM sasa kazi imeanza. Wengine tulijua mmepoteza kumbe mnapanda!!
Kweli akili ni mali, naona jamaa anawachezesha Ndombolo na kibindankoi non stop,ccm lazma wavunjike viuno mwaka huuView attachment 553692 hawa hapa wanakula burudani ya bure kutoka kwa Lisu, mpaka wamechanganyikiwa
Kweli akili ni mali, naona jamaa anawachezesha Ndombolo na kibindankoi non stop,ccm lazma wavunjike viuno mwaka huuView attachment 553692 hawa hapa wanakula burudani ya bure kutoka kwa Lisu, mpaka wamechanganyikiwa
Kuna watu mnatia kinyaa humu, sasa kama ni mkakati kwa hiyo akae kimya? We vipi bhana? Kama huelewi maana ya mikakati kaa kimyaAkili za watu wa chadema zinanipa mashaka sana.Huyu mtoa uzi ni kama amekunywa kangara,ni juzi tu Mbowe ametoa tamko la kulaani madiwani kujiuzulu,Tanapa anakurupuka anasema ni mpango wa chadema kuwatumia kwa kazi maalum!
Lowasa si mlisema alitoa hela? Sasa hawa madiwani wanawapa nini CCM? Hili suala staki kulisemea sana nimeshasemaKama huo ni mkakati basi CCM washamaliza kazi baada ya kumtuma Mamvi!
Sent using Jamii Forums mobile app