Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

Yes mkuu , hatusemi ray hajakosea..kakosea sana..tena sana,,kwa desturi zetu sio sawa kbisaa...

Hapa tulikua tunamkumbusha kajala tu yale tulomwambia mapema...bado muda anao mzuri wa kurekebisha alipokosea kama mzazi....
 
Paula atafute hifadhi kama alivyotafita Lema.

Pole sana mwanetu. Watu wanakubeza lakini kuna wasichana wengi wanapitia haya na wanaume wahusika wakijisifia kula kimasihara.

Wanaume wema pazeni sauti kukemea Rayvanny na wenye tabia kama yake.

Ndio wanaoua ndoto ya binti zenu au kula bikra za wake zenu watarajiwa.
 
Toka 2018 na alifeli frm 4,sio mwanafunzi huyo ni raia
 
🤣🤣🤣 msinihukumu mimi sina makosa😆😆😆 na yeye anatumia utot ambao amevishwa na watu ili asamehewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mwambieni kaliwa bc kaliwa.
Kmmmk zake, asihamishe magori.. huyo hawezi kuwa Paula, huyo ni Njomba nchumari na roho yake mbaya kama kitukuu cha shetani
 
Naona sasa HISIA Over SHERIA jichanganye tu na point zako za kihisia eti tunaposema mwanafunzi blablaa utakuja kufungwa hutaamini.
 
🤣🤣🤣 amepelekewa moto weeee hadi vanny akawa anachukua na kuweka waaaaaaaahh😅😅😅
😀😀😀😀😀.. Njomba nchumali hapo kinamuuma sana, kila angle anapigwa gape na mwamba yani, alichemka kwa Paula, akahamia kwa mama, ili ampasie Ibrah, ngoma imekataa 😀😀😀.. anaishi kuhaha kama anakaribia kujifungua yaani 😀😀😀
 
Kumbe ujinga ulikuisha aisee wakuleta Hisia zako mbele ya Sheria.

Pia hata utamaduni nk hakuna Vanny alippkosea ni unaharibu utamadani gani na hekima kuwa na mahusiano na 20 years age.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…