Sasa mkuu kwenye screenshot sindio kuna picha yenyew? Kwani sheria imesema picha iweje ili ikubalike kama picha?Ni tofauti mkuu....alichopost harmonize ni sreenshot kutoka kwenye simu yake...kosa la rayvanny ni kumpiga kajala picha tena ya video na kuipost unless kajala amtetee kua alikubali kupigwa picha vinginevyo sheria itakuchukua mkondo wake
Edit maelezo yako sio Kajala ni mtoto wake ndio alihusika hapo.Ni tofauti mkuu....alichopost harmonize ni sreenshot kutoka kwenye simu yake...kosa la rayvanny ni kumpiga kajala picha tena ya video na kuipost unless kajala amtetee kua alikubali kupigwa picha vinginevyo sheria itakuchukua mkondo wake
Ni tofauti mkuu....alichopost harmonize ni sreenshot kutoka kwenye simu yake...kosa la rayvanny ni kumpiga kajala picha tena ya video na kuipost unless kaja
Hivi dada yangu ushawahai kusimama pale kwenye kile kichumba kidogo aka kizimbani,pazito pale hayo unayo ya sema Paula kwamba atamuokoa mama yake,usishangae akamchoma mama yake na akaonekana mama mwenyewe hajui kulea na toto lenyewe halifai.Kama hamisa ataamua kumshtaki kajala kajala nae anakesi ya kujibu unless kajala atoe ushahidi kua ni kweli hamisa ndo alimpeleka paula kwa rayvanny....ila kumbuka kajala hakukurupuka hamisa ametajwa na paula katika kujitetea kwake,..kwhy ushahidi wa paula unawez kumuokoa mama yake
ππππ..Ile video hakika inakera sana jamaa alipeleka mzigo wote ghafla dah hatari sana
Mkuu kwa mfano wewe ukichukua picha yako ukaipost hapa jf...umeshaondoa ile dhana ya privacy..kwahy hakuna kesi kwa mtu atakaamua kuscreenshot.lengo la sheria ni kulinda privacy za watu.Sasa mkuu kwenye screenshot sindio kuna picha yenyew? Kwani sheria imesema picha iweje ili ikubalike kama picha?
Mobeto achomoi request ya mond, atafata Mond anachotaka.. patamu hapoKajala kampakazia maneno Mobeto , Kajala ana kesi ya kujibu mbele ya Sheria , Kajala ana miaka yake kadhaa kwenye kanyampasira...
Sahamani mkuu..ili kuweka kumbukumbu sawa nafuta neno kajala naweka neno paula...nashukuru kwa muongozo wakoEdit maelezo yako sio Kajala ni mtoto wake ndio alihusika hapo.
[emoji106]Sahamani mkuu..ili kuweka kumbukumbu sawa nafuta neno kajala naweka neno paula...nashukuru kwa muongozo wako
Sasa hivi na inabidi watu wamsagie chawa kajala, kwa mobeto.. nae mobeto aende mahakamani adai fidia πππKajala kampakazia maneno Mobeto , Kajala ana kesi ya kujibu mbele ya Sheria , Kajala ana miaka yake kadhaa kwenye kanyampasira...
Umesoma vizuri comment MkuuUmeisoma vizuri sheria ya makosa ya kimtandao mkuu...kuposti picha ya mtu bila idhini ya muhusika tayari ni kosa na linastahili adhabu
Sheria ilikua inasema kuanzia miaka 16 na ridhaa hutolewa na wazazi.Na kama sifaham vizur sheria mnisahihishe ni kama katiba inasema mwanamke anaeanzia 15yrs yupo fresh kwa kuolewa
Sijui labda ni wafuga kukuHivi hawa watu wanao jadiliwa humu ndio kina nani kwani?
Nimeshangaa sana hiyo hoja ya jamaa aisee.Sasa mkuu kwenye screenshot sindio kuna picha yenyew? Kwani sheria imesema picha iweje ili ikubalike kama picha?
Unasahau sheria ya mtandao pia inahusika, kamuulize Wema na yule waliokuwa wanamla D twoMiaka 30 kwa sheria za nchi gani? kwani kambaka? hoja ya mwanafunzi haina mashiko, Paula hayupo kwenye mfumo rasmi wa elimu tangu 2019, private candidate aweza hata kuwa mama mwenye 50, unaeza mshitaki bwana wa private candidate mwenye 50 kwa kutembea na mwanafunzi?
Mi mpaka nimeshangaa [emoji3]Nimeshangaa sana hiyo hoja ya jamaa aisee.
Inabidi wawe wapole Tu , na yakishakaa poa wote tunamgeuka kumshambulia konde boy Kwa nini ampost mtu mbaya π€£Mobeto achomoi request ya mond, atafata Mond anachotaka.. patamu hapo