witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Wanaume wote wenye magari ndo zao hizoNina Workmate Wangu Huyo, Jamani! Jamani! na ana Familia Kabisa, Atakae Kuja Kuuziwa Ile Gari Namuhurumia Kwa Kweli
Gari zao ni guest[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume wote wenye magari ndo zao hizoNina Workmate Wangu Huyo, Jamani! Jamani! na ana Familia Kabisa, Atakae Kuja Kuuziwa Ile Gari Namuhurumia Kwa Kweli
Kuna mtu kapewa lift kasepa na begi la PC!Nakupinga mzee. Wengi ni roho mbaya tu. Believe me! Mtoto wa primary darasa la tatu umpakize abadilike kuwa jini? Waafrika Waafrika
Sijaonaga mwanamke akachomoa kwa mshikaji mwenye gari kali. Sijaonaga.Kwa upande wangu mwanaume akiwa na gari anitongoze na mzarau hatar, na jeuri na mwonyeshea, hata gar liwe vipi simwambii ndinga Kali. Najua wanajua uzaifu wetu hupo kwenye magar.
Dahhh.....Duh mpaka leo huna ?[emoji23][emoji23][emoji23]
Tuko wawili mzee, ila sisi tuna miliki usafiri- wa ungo 😁😂Hivi humu jf kila mtu anamiliki usafiri wake, ispokua mimi tu...[emoji848][emoji848]
Habari.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]bro yule majeruhi anatako balaa, wabongo walikuwa wanamgeuza akiwa chini wanameza mate, alisikika kijana akisema dada anakufa na shepu lake matata