Aisee, kumiliki gari raha sana. Leo nimewapa lift watu 6 kwenye babywoka yangu!

Aisee, kumiliki gari raha sana. Leo nimewapa lift watu 6 kwenye babywoka yangu!

Hahahah kwahio kwamba we hujamtafuna kmmmke dah!

Kuna dude moja liko MDH kmmmk liliwahi nifanyisha shopping ya gauni k'koo bila kupenda ili nibambie tu.Toto limevimba na mzigo wa hatari[emoji13]
Basi we mpenda mizigo umepata[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hivi humu jf kila mtu anamiliki usafiri wake, ispokua mimi tu...[emoji848][emoji848]
Ndugu yangu unachelewa tu
Ukiwa na idear ya gari piga stori kama unalo.
Sometime ulizia tatizo linalosumbua gari yako.

Jipe raha mkuu. Unashindwa kumiliki gari hata kwa maneno.

Ndio maana huwa hawa ku tag. Wala haumo kwenye ID zinazokumbukwa jf
 
Ndugu yangu unachelewa tu
Ukiwa na idear ya gari piga stori kama unalo.
Sometime ulizia tatizo linalosumbua gari yako.

Jipe raha mkuu. Unashindwa kumiliki gari hata kwa maneno.

Ndio maana huwa hawa ku tag. Wala haumo kwenye ID zinazokumbukwa jf
Hatari sana hii........[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo nikidema kwamba hii gari yangu shemeji yenu ameikataa kwamba it's a little older, na sasa nimeamua kuirudisha Japan ili wakai afilishie seats cover...[emoji41][emoji41][emoji41]
FB_IMG_1475902832458.jpg
 
Hahahah hayo maeneo yanakuwaga shazi sana esp. muda wa jioni jioni ule saa 11 hivi! Kama mtu wa kulenga huwezi kosa kichwa.

Kama una baby walker yako unapata mafuta ya kesho kazini na asubuhi unawapitia wa kukupa hela ya chai na chakula cha mchana [emoji28]
 
Mimi kuna binti aligongwa na gari akiwa amebebwa na pikpiki.
Nilisimama kumahuaha binti flani, ghafla ist ilingia kwa pupa road akamvaa bodaboda akiwa amempakia binti.
Waliburuzwa vibaya
Nililazimika lumbeba binti kwani dreva boda alikimbia.
Nikampelela polisi kupewa pf3.
Then nikamuwahisha hospital kwani alikuwa amezimia.
Hosp. Nililazimika kulioia ndipo apate tiba.
Nilijikuta nabeba dhamana yake yaani kila kitu ikawa mimi.
Hadi ndg wapate taarifa ilikuwa ni usiku wa manane.

Sasa hapa omba Mungu upate familia ya wanaojielewa wengine watakufanyia visanga mpaka unajuta kutenda Wema
 
Ikiwa utalazimika uende kuwapitulia kwa wakati hapo umeshakuwa mtumwa sawa na dereva taxi
Hahahah sasa si wanakupa hela lakini? Amna cha utumwa hapo ukitaka unawabeba free ili ukiwakataa wasiongee kitu
 
My wish nikimiliki gari ni lazima nimmegee mtu humo kwanza. Baharini, kichochoroni, vichakani tayari bado kwenye gari.
Moja ya vitu ambavyo naogopa kufanya ni hicho.. Labda kama hilo gari halitopakia wazazi wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yana Kupakia wazazi kwenye gari ninalogegedea bado utakuwa mtihani.. Pengine itokee ninayo mawili labda moja ndo liwe la kupigia matukio

*Bado sijafanikiwa kumiliki gari lakini*
 
Back
Top Bottom