Aisee, kumiliki gari raha sana. Leo nimewapa lift watu 6 kwenye babywoka yangu!

Aisee, kumiliki gari raha sana. Leo nimewapa lift watu 6 kwenye babywoka yangu!

Na nina hakika huyo manzi alikuwa na sifa anazozipendaga...Mzigo wa haja na mahagaz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji13] vinginevyo angempita kama kishada
Haaaahaaaahaaaahaa

Mfalme mswati kapata mtihani anasema[emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wakati wa korona kidogo niisome namba, siingizi chochote, gari inakula wese tu, daladala nako nilikuwa naogopa...ahaaa haikuwa poa labisa
Ahaaaaahaaaaaahaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28]

We utakuwa ni brazameni, hii ishu ilikuta hata mimi, ila nikakaza

Mungu ni mwema
 
Ahaaaaahaaaaaahaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28]

We utakuwa ni brazameni, hii ishu ilikuta hata mimi, ila nikakaza

Mungu ni mwema
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]haikuwa poa kabisa yani
 
Mkuu demu kaumbika sana lakini namuona mapepe sana anaweza kuja niharibia mahusiano.
Ile siku tumeonana alikunywa akaanza vituko sana mkuu
Savannah ndio zilimlewesha?

Haaahaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
 
Alichukua katon alifyeka loote[emoji28][emoji28][emoji28]
Haaahaaahaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]

Nimeangua kicheko hapa mpaka staff wananishangaa

Ngoja nifanye kazi, usinivunje mbavu zangu [emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
 
Mzee wa machura, mrushie namba[emoji1787][emoji1787]

Behaviourist
Apitie hapa atathimini
IMG-20200914-WA0002.jpg
 
Haaahaaahaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]

Nimeangua kicheko hapa mpaka staff wananishangaa

Ngoja nifanye kazi, usinivunje mbavu zangu [emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
Halafu anabugia kwa pupa kama mlevi mwenye njaa kali, mara paap kopo limeisha na kutupwa kule bwaa[emoji28]
 
Back
Top Bottom