Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
NoopMbona kashasema zamaniii[emoji1787][emoji1787][emoji28] cheki nxt comment down
Dudu la yuyuuuu limeshafagia[emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NoopMbona kashasema zamaniii[emoji1787][emoji1787][emoji28] cheki nxt comment down
Dudu la yuyuuuu limeshafagia[emoji28][emoji28]
Mtihani upi sasa mkuu?[emoji16][emoji16]To be honest sijashawishika kivile, nilimwambia ninetimiza wajibu wangu tu.
Japo kesi haijaisha, leo ametoka safari ananiuliza tutaonanaje.
Naona kamtihani kananijia na sijui mwisho wake.
HaaaahaaaahaaaahaaNa nina hakika huyo manzi alikuwa na sifa anazozipendaga...Mzigo wa haja na mahagaz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji13] vinginevyo angempita kama kishada
Ukute kaishakula ila hapa anazuga tu, wabongo bana[emoji16][emoji16][emoji16]Mswati unafeli mzee mwenzangu[emoji23][emoji23][emoji23] acha kuaibisha jina la chief.
Ahaaaaahaaaaaahaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28]Wakati wa korona kidogo niisome namba, siingizi chochote, gari inakula wese tu, daladala nako nilikuwa naogopa...ahaaa haikuwa poa labisa
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]haikuwa poa kabisa yaniAhaaaaahaaaaaahaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28]
We utakuwa ni brazameni, hii ishu ilikuta hata mimi, ila nikakaza
Mungu ni mwema
Savannah ndio zilimlewesha?Mkuu demu kaumbika sana lakini namuona mapepe sana anaweza kuja niharibia mahusiano.
Ile siku tumeonana alikunywa akaanza vituko sana mkuu
Haha ukitaka kujua tabia ya demu mapema mpe pombe, ataongea yooteSavannah ndio zilimlewesha?
Haaahaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
Daa yani day one muonane na ukule mzigo?Ukute kaishakula ila hapa anazuga tu, wabongo bana[emoji16][emoji16][emoji16]
Ila chonde chonde kuwa makini, ni mara tilioni uache, ama la ukishindwa tumia ndomu tatuHajaridhika na shukrani ya mdomo[emoji28]
Mtoko wa kwanza tu kanywa kalewa?[emoji849][emoji849][emoji848]Haha ukitaka kujua tabia ya demu mapema mpe pombe, ataongea yoote
Asante kwa ushauri.Ila chonde chonde kuwa makini, ni mara tilioni uache, ama la ukishindwa tumia ndomu tatu
Mjini hapa kuchafu sana!
Alichukua katon alifyeka loote[emoji28][emoji28][emoji28]Mtoko wa kwanza tu kanywa kalewa?[emoji849][emoji849][emoji848]
Huyo chenga sana
Haaahaaahaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Alichukua katon alifyeka loote[emoji28][emoji28][emoji28]
Kuna don mmoja bukoba alikufa akitoa dozi kwenye gari...Mmmh hii kitu yakugeuza gari gesti siipendagi kabisa.
Apitie hapa atathimini
Halafu anabugia kwa pupa kama mlevi mwenye njaa kali, mara paap kopo limeisha na kutupwa kule bwaa[emoji28]Haaahaaahaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
Nimeangua kicheko hapa mpaka staff wananishangaa
Ngoja nifanye kazi, usinivunje mbavu zangu [emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
Kamtafuna majeruhi kimasiharaUkute kaishakula ila hapa anazuga tu, wabongo bana[emoji16][emoji16][emoji16]