Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Demu alipona na akapewa cont zangu, alinitafuta akaishia kulia sana eti nimeokoa maisha yake...ananiuliza nikulipe nini?[emoji28]Afadhali yako we wema wako haukukuponza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Demu alipona na akapewa cont zangu, alinitafuta akaishia kulia sana eti nimeokoa maisha yake...ananiuliza nikulipe nini?[emoji28]Afadhali yako we wema wako haukukuponza
Na kupaki aibu noma sana!Gari nzuri ikiwa katika uzima tu. Ikianza kuleta miyeyusho hamna rangi utaacha kuona
Umeanza lione[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]Demu alipona na akapewa cont zangu, alinitafuta akaishia kulia sana eti nimeokoa maisha yake...ananiuliza nikulipe nini?[emoji28]
Hahahah hapo unakuwa unahisi jamaa wanakucheka eeh 😂😂😝Na kupaki aibu noma sana!
Kipindi gari ikizingua nikapaki, huwa naishiwa pozi asee, najificha hadi watu, full kupita vichochoroni ni mwiko kupita mainroad[emoji848][emoji848]
Tabia za wanaume wa kiafrika huzijui au 😂😂😂!!! Unaulizia mavumbi stoo?!Umeanza lione[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]
Na we ukajibuje?
Tahadhari:sio kila unaempa lifti ni mtu mzuri,na usifikiri kuwa wengine hawatoi lifti kwakuwa tu wana roho mbaya,ni kwa sababu za kiusalama.Umeshawahi kutafakari kuwa umemuona ni mwanafunzi au ni binti mzuri una mpa lift halafu ghafla akiwa ndani anageuka kuwa jini?huo ni mfano tu iko mingi wengine wanaweza kuongezea...
Mbona kashasema zamaniii[emoji1787][emoji1787][emoji28] cheki nxt comment downAlivyopona ukalipwa fadhila pia [emoji23][emoji23][emoji23] mbona humalizii story!
To be honest sijashawishika kivile, nilimwambia ninetimiza wajibu wangu tu.Umeanza lione[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]
Na we ukajibuje?
Na nina hakika huyo manzi alikuwa na sifa anazozipendaga...Mzigo wa haja na mahagaz😂😂😂😝 vinginevyo angempita kama kishadaMbona kashasema zamaniii[emoji1787][emoji1787][emoji28] cheki nxt comment down
Dudu la yuyuuuu limeshafagia[emoji28][emoji28]
Nakupinga mzee. Wengi ni roho mbaya tu. Believe me!
Mtoto wa primary darasa la tatu umpakize abadilike kuwa jini??? Waafrika Waafrika
Mswati unafeli mzee mwenzangu😂😂😂 acha kuaibisha jina la chief.To be honest sijashawishika kivile, nilimwambia ninetimiza wajibu wangu tu.
Japo kesi haijaisha, leo ametoka safari ananiuliza tutaonanaje.
Naona kamtihani kananijia na sijui mwisho wake.
Wakati wa korona kidogo niisome namba, siingizi chochote, gari inakula wese tu, daladala nako nilikuwa naogopa...ahaaa haikuwa poa labisaNa kupaki unaona soo
Maswali ya " gari yako leo umeacha wapi" hayakauki midomoni mwa watu, kuanzia kitaa hadi job
Inabidi ujitoe ufahamu asee
Wanakucheka kweli sio uwongo, mbongo nomazHahahah hapo unakuwa unahisi jamaa wanakucheka eeh [emoji23][emoji23][emoji13]
Ila mkuu chonde chonde na wanafunzi wa kike nakusihi sana , wengi wao Wana makusudi ya kukusudia na ikitokea amebahatika mimba kukupeleka jela ni fasta.Nakupinga mzee. Wengi ni roho mbaya tu. Believe me!
Mtoto wa primary darasa la tatu umpakize abadilike kuwa jini??? Waafrika Waafrika
Mkuu demu kaumbika sana lakini namuona mapepe sana anaweza kuja niharibia mahusiano.Mswati unafeli mzee mwenzangu[emoji23][emoji23][emoji23] acha kuaibisha jina la chief.
HaaahaaaTabia za wanaume wa kiafrika huzijui au [emoji23][emoji23][emoji23]!!! Unaulizia mavumbi stoo?!
Hivi kumbe ni hatari hivi eeh?Hivi vitoto vya shule pia awe navyo makini hasa vya kike,avichelewi kupewa mimba vikakulushia ww,au ikatokea umempa lifti mtu alafu akazima kwenye gari,wallah nakwambia hadi upelelezi ukamilike ni miaka sita upo lumande.
Alinitafuta baada ya miezi 3 yaani wiki 2 zilizopita.Alivyopona ukalipwa fadhila pia [emoji23][emoji23][emoji23] mbona humalizii story!