witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Kweli asee,Hahahah na huo ulevi wa lift ndio unawavuaga chupi kirahisi sana. Yani demu akishakaa kushoto pale hamna sera utampa aikatae. We muulize anapoenda tu umpeleke utajionea.
Baadhi yao ujasiri wa kumkataa mwenye gari ni mdogo tena ni hakuna kabisa
Tena kibaya zaidi wanaume wenye magari hawaongi, si wanajua umeshoboka? huwa wanaonga wenye magari wenzao, so sad[emoji26]