Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Yes naitaka[emoji28]Mxiuuuuu[emoji57][emoji57]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes naitaka[emoji28]Mxiuuuuu[emoji57][emoji57]
Ntaomba kadi ya gari na kitambulisho cha kura na leseni dadeki, hunipati kirahisi[emoji16][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]Kwa style ile wahuni tutaendelea kuazimana magari tu [emoji23][emoji23][emoji23]!!! Huwez mfata mtoto mpenda magari kama wity na kigari kemchwa kemchwa namba A au B! Ni kukamata DUE tu
Kutongozea gari hamna tofauti na kuhonga hela hovyo ili umchanganye demu tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkinunua wote wanaume tutafaidi wapi.
Japo kutongozea gari nako ni ushamba tu
Hayajakukuta tu, wenzio wanasemaga hivi hiviSiwezi kuazima gari kea ajili ya demu[emoji28]
Uko sahihiMapenzi kwenye gari yako ni mikosi mitupu, I strongly hate this! Hata mume wangu haruhusiwi , sembuse mtu baki.Japo watu wanasema huko japan aliyekuwa analimiliki umejuaje alikuwa habutui k kwenye gari? But it doesn't make sense as long as limeshatua mikononi mwako
Hayo maswala muachie trafiki, ukishapanda we ni kuelekea katika kilele cha burudani tu 🤣🤣🤣 full mufindi na ki music laini.Ntaomba kadi ya gari na kitambulisho cha kura na leseni dadeki, hunipati kirahisi[emoji16][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
Haa haahaa, pambana mkuu, usiondoke na bebiwoka hata Mungu atakunasa vibao[emoji1787][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]Siwezi kufa bure[emoji28][emoji28][emoji28]
Naipambania Discovery 4 kwanza
Hilo sio jibu, wengine hawajafanya transferNtaomba kadi ya gari na kitambulisho cha kura na leseni dadeki, hunipati kirahisi[emoji16][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
Namuona anavyojidanganya[emoji28]Hata wanaoazimana walikuwa kama wewe tu. Ila inapofikia mtoto umewaka nae na style zake ni za magari mazuri utajiongeza tu [emoji23]
Nimemueleza kijana 😂😂😂 yeye anahisi vita ni ya mapanga na bunduki tu? Kuna vita za kiuchumi pia.Hayajakukuta tu, wenzio wanasemaga hivi hivi
Ma.vi we na liuzi lako la uwongoWewe ni mjinga!
Haaa haaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkinunua wote wanaume tutafaidi wapi.
Japo kutongozea gari nako ni ushamba tu
Baby woka nimeachana nayo 7yrs ago, napenda gari kubwa sana.Haa haahaa, pambana mkuu, usiondoke na bebiwoka hata Mungu atakunasa vibao[emoji1787][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]
Hahahahah discovery mbali kote huko, ajikakamue walau ka Subaru forester kapya kale aishi mle.🤣🤣🤣Haa haahaa, pambana mkuu, usiondoke na bebiwoka hata Mungu atakunasa vibao[emoji1787][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]
inategemea unaishi wapi.Mbona wengine tunamiliki magari lakini hayo mnayosema hatuyaoni?
Uzuri tutaenda kisela tu alimradi ushaingia katika chombo.😎Haaa haaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji28]
Kumbe kimkakati zaidi[emoji16][emoji16][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kichaa weweMa.vi we na liuzi lako la uwongo
Tuache tuendelee kupiga soga humu, chai yako tumetupa kule
Huko nimevuka mkuuHahahahah discovery mbali kote huko, ajikakamue walau ka Subaru forester kapya kale aishi mle.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmmmh pole mkuu wema wako ulikuponzaHapana ni lift tu tena nliwakuta njiani wapo kama6 wamekaa stend pale Mbezi mwisho wakanisimamisha nikawapakia wengi wakashuka Luguruni na K. Hospital akabaki mmoja nikamshusha K.CCM ilikuwa mida ya saa2 usiku. Mama yake na Baba yake walipomuona wakachukua namba ya gari. waliangalia mtandaoni wakapata namba yangu ya simu kesho naitwa polisi, sikujua kosa so nlienda baada ya kutoka jobu mida ya saa9 maelezo yakawa mareeefu ilibidi na wale wengine waitwe ili kuthibitisha, kwamba nliwapa lift. Nikaapa kutowapa lift ng'o.
Kama ushavuka kwenye gari za 20M uko vizuri mkuu!Huko nimevuka mkuu