Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Mimi nina baiskeliHivi humu jf kila mtu anamiliki usafiri wake, ispokua mimi tu...[emoji848][emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nina baiskeliHivi humu jf kila mtu anamiliki usafiri wake, ispokua mimi tu...[emoji848][emoji848]
Humjui vizuri binadamu wewe[emoji28][emoji28]Msaada unambatana na magumu yake.
Kuna siku niwainea watu huruma muda wa saa4 usiku wamesimama kituoni bila usafiri na hawana uhakika wa kupata usafiri.
Niliamua kuwachukua hadi town japo mimi tayari nilikuwa nimefika maeneo yangu.
Bahati mbaya gari lilikuwa halina maji kwani dereva aliyekuwa anaendesha mchana alikuwa mdogo wangu na hakukagua gari asubuhi.
Nilipoanza kupandisha mlima gari ikazima ghafla, kumbe nimekaanga injini.
Abiria wote 8 walishuka na kuniacha kimya kimya isipokuwa jamaa mmoja alisalia kunisaidia kusukuma niliweke pembeni.
Hii ilinivunja moyo sana kwani niliwabeba bure
Huenda ni stori za jeiefu tu[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]dogo una wenge sana
Bebi woka inataka kukutoa kijasho[emoji16] haa haa
Nimeanza kumjua mdogo mdogoHumjui vizuri binadamu wewe[emoji28][emoji28]
Ile niliuza, nimeagiza kamahii...[emoji39][emoji6][emoji847]We si una ile chura niparamie[emoji28][emoji28][emoji1787]
Breakfast hiyo mkuu hujastuka tuHuenda ni stori za jeiefu tu
Hii konyooIle niliuza, nimeagiza kamahii...[emoji39][emoji6][emoji847]View attachment 1569546
Taa nyekundu zimewakaBreakfast hiyo mkuu hujastuka tu
Sikushauri mkuu, juzi nimepata mkosi wa kisenge..Nimebutua mbunye humo kumtoa mlimbwende nimuage nikalokia funguo ndani.My wish nikimiliki gari ni lazima nimmegee mtu humo kwanza. Baharini, kichochoroni, vichakani tayari bado kwenye gari.
Mkuu pole, nashauri usiruhusu kuwa danguro ni mikosi mitupu.Sikushauri mkuu, juzi nimepata mkosi wa kisenge..Nimebutua mbunye humo kumtoa mlimbwende nimuage nikalokia funguo ndani.
Nimefata spare kurudi wamenisafisha hela zote nilizoficha ndani ya gari.
We demu unapenda magari hatari[emoji38][emoji28]Hii konyoo
Yani bata lote likageuka shubiri nimelala ndani kama fala.Mkuu pole, nashauri usiruhusu kuwa danguro ni mikosi mitupu.
Hivi utombee ndani halafu uje kupakia familia mule ndani hufili aibu?
Labda umle gf wakovau mkeo ukizidiwa mkiwa safarini
Huyo bila gari zuri humpati🤣We demu unapenda magari hatari[emoji38][emoji28]
Pole mkuuYani bata lote likageuka shubiri nimelala ndani kama fala.
Ha ha ha sio tu magari napenda magari makali, hakuna raha duniani kama kuendesha ndinga nzuriWe demu unapenda magari hatari[emoji38][emoji28]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Huyo bila gari zuri humpati[emoji1787]
Mbunye kama mbunye haijawahi kuwa salama hata kidogo[emoji16][emoji16][emoji28][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16]Sikushauri mkuu, juzi nimepata mkosi wa kisenge..Nimebutua mbunye humo kumtoa mlimbwende nimuage nikalokia funguo ndani.
Nimefata spare kurudi wamenisafisha hela zote nilizoficha ndani ya gari.
Uko sahihi, mimi mwenyewe mlevi sana wa magari makali, sema kauwezo kanajikongoja tuHa ha ha sio tu magari napenda magari makali, hakuna raha duniani kama kuendesha ndinga nzuri
Yaan sijui unasikiaje
Videm vya Dar ndio nimeona vina tabia hizo sana. Njoo uni pick up babe niko Mliman hapa!😂😂😂[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwa ujumla mademu karibu wote wanapenda magari sana, utasikia Mswati uko wapi?
Plz njoo basi unipitie mahali[emoji28]