Niliwai kupakiza watu wanne kwenye gari, baadae nafika home naona siti imechorwa chorwa na wamechukua triangle na matunda niliyoyanunua. Siku nyingine nimepakiza wanafunzi njian mmoja kapandisha shetani Kisha kafungua mlango na kujitupa nnje na kuumia mikono na miguu, niliwekwa ndani siku 2 maana wananchi walijua niliwateka na wazazi hawakuelewa kabisa mwisho baada ya kutoka ugomvi ukahamia kwa mke maana alijua yule dentist wa fom four Ni mchepuko. Tangu siku hiyo kupakia mtu Kwa gari labda niwe namjua au mtu mzima/mzee na matrafiki, wengine wanisamehe bure