Aisee, kumiliki gari raha sana. Leo nimewapa lift watu 6 kwenye babywoka yangu!

You are gentleman.
 
Samahani mkuu, jini akikutaka hana njia nyingine ya kukupata isipokua njia ya lifti?


Basi ndugu wanaJF, tusitoe lifti ili tuepuke majini!
 
Sipiti tena, nilikuja mara moja tu. Halafu kayimukaa amenitisha hapo juu aliposema alifungwa jela kisa kutoa lift.
Sitoi tena lift hadi kufa kwangu
Amna toa ila kiuangalifu Sana na wanaposhuka unawakagua kwa macho hawajabeba kitu, wengine kwenye gari wanaanza Kula karanga au bigjii Kisha wanabandika kwenye kiti Cha gari, wengine kuchana sitina mengineyo mengi
 
Daaah... Kumbe mtata stephot amesema kweli, ngoja niwe makini.
Sitoi tena lift kuanzia leo
Hivi nimekusifu kumbe unajaribika kirahisi hivi?..tahadhari ni jambo la kawaida kwenye kila jambo..sio lift tuu...hatari zipo popote uwe na gari au huna...na unaweza kupatwa na janga lolote..popote...wakati wowote uwe na gari au huna..kila mazingira yana tahadhari zake...usiache kutenda wema kwa kuhofia eti nisijepatwa na hili au lile..unaweza ukakwepa kutoa lift ukapata ajali mbaya iliyosababishwa na dereva au mtumiaji mwingine wa barabara..kila jambo lina faida na lisk zake..suala muhimu ni kiasi na tahadhari tuu.
 
Mmh huo mfano wa jini ni hekaya tu
 
Ila kutoka pale njia panda mpaka CONAS au Utawala ni karibu mbona?

Dk 10 kutembea.

Wangejiongeza.
 
Msaada unambatana na magumu yake.

Kuna siku niwainea watu huruma muda wa saa4 usiku wamesimama kituoni bila usafiri na hawana uhakika wa kupata usafiri.

Niliamua kuwachukua hadi town japo mimi tayari nilikuwa nimefika maeneo yangu.
Bahati mbaya gari lilikuwa halina maji kwani dereva aliyekuwa anaendesha mchana alikuwa mdogo wangu na hakukagua gari asubuhi.

Nilipoanza kupandisha mlima gari ikazima ghafla, kumbe nimekaanga injini.
Abiria wote 8 walishuka na kuniacha kimya kimya isipokuwa jamaa mmoja alisalia kunisaidia kusukuma niliweke pembeni.

Hii ilinivunja moyo sana kwani niliwabeba bure
 
Ila kutoka pale njia panda mpaka CONAS au Utawala ni karibu mbona?

Dk 10 kutembea.

Wangejiongeza.

Ni kweli bro. Sema nini... Mie naona watu wengi tumelemazwa na nature ya maisha ya mjini sijui.
Yaani mfano kutoka mlimani city mpaka mpakani kabla hujafika mwenge mataa mtu anapanda daladala.
 
Hao wanadeka wameshindwa kutembea ubungo maji mpka chuo, mbona shortcut ya coet ni karibu sana??

Mi nawapaga lift wanafunzi wanaokaa msewe tu, mwisho unajikuta unakula kimasihara [emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…