Aisee kuna wanaume wavivu

Sure wanafikiri pombe ni ujanha acha wasaidiwe tu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Watakua na Uhusiano na DALI KIMOKO
πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“
 
Anza kulipa baadhi ya Bill's ndani ya nyumba zile kubwa kubwa
 
Nikazi kubwa sana msichukulie poa.
Huwezi simamia ukucha 40mins, wakati unawaza kulipa kodi...Ukimkumbuka baba mwenye nyumba inanywea yenyewe[emoji125][emoji125]
Hamna mtu mwenye majukumu ya kweli tajiri, smart bussiness man, caring father, mwana siasa mbunge, Waziri nk. anae weza kuenda round 3 non-stop akiwa kifuani, ukifanya hivo jua wewe mjiga utajiri ni wa kurithi au wakubahatisha tu.

Wanao weza hivo ni boda boda, waalimu, dereva tax, kondo vibarua shamba boy nk..hao mental yao inauwezo of high concentration on sex.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…