Aisee kuna wanaume wavivu

Aisee kuna wanaume wavivu

Nguvu za kiume ni illusion hilo tatizo halipo na halitambuliwi ki science uzima wa mwanaume ni kusimamisha kama inasimama vizuri basi tatizo lipo kwenye mind ya muhusika tatizo wanaume tuna mambo mengi mimi kipindi nimemaliza chuo kuna demu nilikuwa nae ufanisi ulikuwa umepungua sana lakini yote ilikuwa stress inaweza ikawa stress za kukosa kazi na za maisha pamoja na za kazini hapo nguvu za kiume zinatoka wapi.
 
......mhmm sidhani kama unaweza himili unasema tu we bibie....ila Sasa cha ajabu mlivyo waongo usiku mzima wa leo ulijifanya unalia mixer miguno....afu umekuja hapa kumdhalilisha Jamaa...
Hahahaha huyu wala sio wa leo wala jana
Ni mtu wangu permanent wa miaka hyo
Ila sasa anavyojitapa kwamba anajua Mambo tupashe kiporo weeeh
Namwangaliaaaaa nabaki yiiiii
 
Hahahaha huyu wala sio wa leo wala jana
Ni mtu wangu permanent wa miaka hyo
Ila sasa anavyojitapa kwamba anajua Mambo tupashe kiporo weeeh
Namwangaliaaaaa nabaki yiiiii
🤣 kiporo hakihitaji moto mwingi, ila wanawake kwenye hili huwa mnadharau sana kuna best angu mmoja amemsevu jamaa 30 seconds sababu ni hiyo tako 6 chali mpaka kesho kutwa.
 
Katika list ya hao wanaume unaowazungumzia nitoe Mimi tadhali.
Mimi sifanyagi masihara ikija Kwenye suala la sex, huwa napiga show za kibabe Sana mixer kusimamia ukucha.

Namshukuru Mungu Sana kwa kunijalia tango,Yaani nikidindisha mkonga unasoma 19.3 cm,Sasa ole wako nikupandie,utaimba hallelujah.
 
Yanii we Acha tu na wanaume wa hvyo wanajua kufunguka sana kuficha hali
Mshauri apunguze uzito kwa kufanya mazoezi regularly, at least mara3 kwa wiki. Mda wa kufanya mazoezi usipungue 30 minutes,. Mfano kukimbia
 
Back
Top Bottom