Nilichogundua wanaume wengi tunadanganyika saana kuliko uhalisia. Kuna watu hatuthamini wake zetu,tunathamini michepuko zaidi.
Kuna watu tunawatendea Kwa ukatili wake zetu saana na kuwalea michepuko kama mayai!
Kuna watu tunawafanya wake zetu kuona maisha hayana maana kiasi cha kuona ndoa ni janga kuubwa hivi lisilo na matumaini wala mwisho wake haujulikani itakuaje!
Lakini unajua mkeo huyo uliye naye na unayemchukulia poa, kama utamthamini,utamheshimu,utamtunza na kumpa hadhi anayoistajili na akawa na Amani ya kutosha na wewe,atakufanya upate Raha ya maisha kuliko unavyodhani ama ulivyowahi kujua!
Unajua anaweza kukuridhisha kuliko mchepuko Yeyote unayemthamini leo kuliko mkeo!
Mchepuko yupo kwa ajili yake (anakutumia wewe kwa maslahi yake),mkeo ypo Kwa ajili yako na yeye! (Na wengine wanakuthamini kuliko wao wenyewe...)
Lakini zingatia unatakiwa kumthamini,kumheshimu,kumtunza na kumpa hadhi anayoistajili ndipo atakuwa na Amani ya kutosha na wewe kisha utafaidi mema ya nchi!😀😀
Angalizo: Nimezungumzia mke mwenye nia njema nawe, anakupenda na aliyeridhika nawewe ila wewe unamkomoa! Kwa mwanamke aliyekuja Kwa lengo la kuchuma kwako hahusiki hapa!
Kuna watu tunawatendea Kwa ukatili wake zetu saana na kuwalea michepuko kama mayai!
Kuna watu tunawafanya wake zetu kuona maisha hayana maana kiasi cha kuona ndoa ni janga kuubwa hivi lisilo na matumaini wala mwisho wake haujulikani itakuaje!
Lakini unajua mkeo huyo uliye naye na unayemchukulia poa, kama utamthamini,utamheshimu,utamtunza na kumpa hadhi anayoistajili na akawa na Amani ya kutosha na wewe,atakufanya upate Raha ya maisha kuliko unavyodhani ama ulivyowahi kujua!
Unajua anaweza kukuridhisha kuliko mchepuko Yeyote unayemthamini leo kuliko mkeo!
Mchepuko yupo kwa ajili yake (anakutumia wewe kwa maslahi yake),mkeo ypo Kwa ajili yako na yeye! (Na wengine wanakuthamini kuliko wao wenyewe...)
Lakini zingatia unatakiwa kumthamini,kumheshimu,kumtunza na kumpa hadhi anayoistajili ndipo atakuwa na Amani ya kutosha na wewe kisha utafaidi mema ya nchi!😀😀
Angalizo: Nimezungumzia mke mwenye nia njema nawe, anakupenda na aliyeridhika nawewe ila wewe unamkomoa! Kwa mwanamke aliyekuja Kwa lengo la kuchuma kwako hahusiki hapa!