Aisee! Mkeo anatosha. Anaweza kukupa kila kitu kuliko mchepuko yeyote

Aisee! Mkeo anatosha. Anaweza kukupa kila kitu kuliko mchepuko yeyote

Utamu wa pipi mate yako, mwanaume anaacha toffee nyumbani anangangania pipi kifua na hana mafua, unakuta anapelekeshwa mbaya na mchepuko wakati mkewe ni mstaarabu anahitaji upendo tu, kuna jamii fulani wanawake wake wao wanajua kuagiza tu hawana lugha laini lakini bado utakuta mtu kaganda wakati mkewe akitaka kitu ataomba na kunyenyekea kwa upendo. Mpaka wavurugwe ndo watarudi nyumbani wakati huo na ule utu wema wa wake zao haupo tena.
Kabisa...
 
Pole kwa stress za mahusiano yako zinazokutesa! Rudi tena andika yaliyoujaza moyo wako,huenda ukapata ahueni...!
You are as condescending as presumptious.

As ridiculous as arbitrary.

With such thick airs of pretensions, I could cut through them with a knife.
 
You are as condescending as presumptious.

As ridiculous as arbitrary.

With such thick airs of pretensions, I could cut through them with a knife.
Umeanza vema hebu ongeza bidii kidogo utafanikiwa.
 
Unaruhusiwa kurudi tena kama stress hazijaisha!
Unalazimisha hoja kama kawaida yako.

Stress unazo wewe unayeparamia ndoa za watu bila hata mualiko.

Ushapata bwana wa kukuoa hata ndoa ya mkeka?
 
Unalazimisha hoja kama kawaida yako.

Stress unazo wewe unayeparamia ndoa za watu bila hata mualiko.

Ushapata bwana wa kukuoa hata ndoa ya mkeka?
Nasisitiza,ongeza bidii! Kuna lingine limebaki bado? Andika tena.
 
Nasisitiza,ongeza bidii! Kuna lingine limebaki bado? Andika tena.
Bidii ukiiona utaijua ngumbaru unayejishebedua wewe?

Nani kakupa cheo cha kushauri watu usiowajua kuhusu ndoa zao?
 
Back
Top Bottom