Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka inaenda tunazidi kulisogelea kaburi tuumzabzab ID ya kitambo sana hapa JF toka enzi hizo 2010 sijajiunga JF nilikuwa naiona
Miaka inaenda tunazidi kulisogelea kaburi tuu
We Ulisikia wapii.....Na usikute nyama unayokula ni tamu kuliko unayokwenda kusakanya huko uchochoroni...🤔🤔
Du mkuu unanukuu mpaka nukuta ilivyo yaani.Angalizo: Nimezungumzia mke mwenye nia njema nawe, anakupenda na aliyeridhika nawewe ila wewe unamkomoa! Kwa mwanamke aliyekuja Kwa lengo la kuchuma kwako hahusiki hapa!
Ulipaona hapo?
Una mtazamo tofauti ktk hili?We Ulisikia wapii.....
Hahahaaa...wakati fulani inabidi kufanya hivo mkuuDu mkuu unanukuu mpaka nukuta ilivyo yaani.
Pamoja mkuu.Sawa tumekuelewa.
mimi ninacho amini ndoa ni mpango wa mungu na wala si mpango wa mwanadamu ndio maana wale walio tafutia wake/waume na wazazi wao hawakuweza kudumu kwenye ndoa kwa sababu huo ulikuwa ni mpango wa mwanadamu,lkn ukweli ni kwamba wake tulio oa sio wale tuliokuwa tunawapenda kwa 100% bali tumekuja kuoa wengine na hii ni kwasababu mungu anatupa kile tunacho stahili wala hatupi kile tunacho kitaka sisi,pia ameahidi ktupa msaidizi wa kufanana na sisi kwa hiyo mke uliye naye kama anakupenda kwa zati mpende kwn siku akiamuo kuutoa upendo wake kwako utaumia sana tofauti na ulivyo kuwa unamchukulia.Waachieni watu watu wao!
Hapo sasa anapiga papuchi ilotoka kupigwa au saa nyingine hela anayompa mchepuko wake inamsaidia mwanaume mwingine kwenye biashara zake. hahahah kweli wapenda michepuko hawana vinyaaWaachieni watu watu wao!
Unaweza kuthibitisha hili mkuu?Siku hizi mwanamke hata umthamin vipi atakunyea tu
Kwa wale wenye michepuko inayowapenda kiukweli ukweli je?Mchepuko yupo kwa ajili yake (anakutumia wewe kwa maslahi yake),
Wakati huo una mke?Kwa wale wenye michepuko inayowapenda kiukweli ukweli je?
NdioWakati huo una mke?
Upo sawa kabisa, kuna mbaba kuchepuka mpaka kazalisha huko nakumtambulisha kwa mkewe kama mke mwenza sasa dada kalipokea kwa machozi kweli aliponyamaza jamani naye uwii kapata mchepuko halafu wamaana kumzidi mmewe daa naye kamwaga mboga na ugali Mme anakenua tu kumbe naye analiwa, visasi huwa vikali usiombeHakuna mwanamke atakupenda Kwa dhati wakati akiwa anajua wazi kuna mahali unagawanya upendo!
Hapo kinachopendwa ni maslahi yake na sio wewe. Ukitaka kuthibitisha hilo waulize walioacha wake Kwa sababu ya michepuko yao...au jaribu wewe (japo sikushauri kabisa) uone Moto wake!
Vinyaa wavitoe wapi yule anajua kabisa ana mke hivyo naye anakuwa naye wapembeni humo humoHapo sasa anapiga papuchi ilotoka kupigwa au saa nyingine hela anayompa mchepuko wake inamsaidia mwanaume mwingine kwenye biashara zake. hahahah kweli wapenda michepuko hawana vinyaa