Aisee! Mkeo anatosha. Anaweza kukupa kila kitu kuliko mchepuko yeyote

Aisee! Mkeo anatosha. Anaweza kukupa kila kitu kuliko mchepuko yeyote

hapa kuna kaharufu ka uchumi kwenda mrama ivo ivo kiongozi komaa na mkeo
 
Siwezi kuacha kuzini nje ya ndoa,huko full shangwe yani unapewa style mpka shetani anakimbia chumbani
Hizo style zoote zimejaa kwa mkeo tena ktk ubora uliopitiliza,ni wewe tu hujajua uzipateje! Ongeza bidii kidogo hutaona haja ya kuchepuka!
 
Yani mtu kakaa na mke wake nyumbani kwake, halafu wewe unajifanya unawajua kuliko wanavyojuana wenyewe?
Angalizo: Nimezungumzia mke mwenye nia njema nawe, anakupenda na aliyeridhika nawewe ila wewe unamkomoa! Kwa mwanamke aliyekuja Kwa lengo la kuchuma kwako hahusiki hapa!

Ulipaona hapo?
 
Kwa Upande Wa MUNGU maneno yako yote ni sawa ila kwa kibindamu sometime no
 
Angalizo: Nimezungumzia mke mwenye nia njema nawe, anakupenda na aliyeridhika nawewe ila wewe unamkomoa! Kwa mwanamke aliyekuja Kwa lengo la kuchuma kwako hahusiki hapa!

Ulipaona hapo?
Wewe ni nani mpaka uwapangie mtu na mkewe nia njema ni ipi?

Watu wawili wamekaa pamoja, wamefunga ndoa, wewe wa tatu unataka kuwapangia nia njema ni ipi kati yao?

Unataka kuolewa na wewe ufanywe mke wa pili kwenye hiyo ndoa uwaelekeze vizuri zaidi ukiwa ndani ya ndoa yao?

Maana haya maneno mengine mnayosema ni kama mnataka kuolewa na nyie.

Wewe mwanamme au mwanamke?
 
Wewe ni nani mpaka uwapangie mtu na mkewe nia njema ni ipi?

Watu wawili wamekaa pamoja, wamefunga ndoa, wewe wa tatu unataka kuwapangia nia njema ni ipi kati yao?

Unataka kuolewa na wewe ufanywe mke wa pili kwenye hiyo ndoa uwaelekeze vizuri zaidi ukiwa ndani ya ndoa yao?

Maana haya maneno mengine mnayosema ni kama mnataka kuolewa na nyie.

Wewe mwanamme au mwanamke

Wewe ni nani mpaka uwapangie mtu na mkewe nia njema ni ipi?

Watu wawili wamekaa pamoja, wamefunga ndoa, wewe wa tatu unataka kuwapangia nia njema ni ipi kati yao?

Unataka kuolewa na wewe ufanywe mke wa pili kwenye hiyo ndoa uwaelekeze vizuri zaidi ukiwa ndani ya ndoa yao?

Maana haya maneno mengine mnayosema ni kama mnataka kuolewa na nyie.

Wewe mwanamme au mwanamke?
Pole kwa stress za mahusiano yako zinazokutesa! Rudi tena andika yaliyoujaza moyo wako,huenda ukapata ahueni...!
 
Nikupe mfano,Kuna mbongo muvi aliolewa na yule mchezaji wa kimataifa wa Rwanda,ndikumana (marehemu) then wakaja achana,nadhani walikaa 2 years,baada ya kuachana,yule mbongo muvi aliwahi kunukuliwa akisema alikua hampendi jamaa hata kidogo,mtu Ana sura Kama nyani.
Unasemaje kwa hilo
 
Nikupe mfano,Kuna mbongo muvi aliolewa na yule mchezaji wa kimataifa wa Rwanda,ndikumana (marehemu) then wakaja achana,nadhani walikaa 2 years,baada ya kuachana,yule mbongo muvi aliwahi kunukuliwa akisema alikua hampendi jamaa hata kidogo,mtu Ana sura Kama nyani.
Unasemaje kwa hilo
Hao wapo wengi mkuu. Wengi wao ni wale wanaoishi na wewe ili kutimiza malengo yake. Hitaji lake siyo kuishi na wewe ila ni malengo yake kutimia. Kwa mtu kama huyu usitegemee iko siku atakuwa na upendo wa kweli kwako...

Atajitahidi kuigiza upendo ili apate anacho taka (na hawa wapo wengi ila ni rahisi pia kuwabaini kabla hamjaanza mahusiano). Na shida inayowakuta wanaume wengi ni kudumbukia pasina kubaini mtu anayeanzisha naye mahusiano ni mtu wa namna gani...
 
Nilichogundua wanaume wengi tunadanganyika saana kuliko uhalisia. Kuna watu hatuthamini wake zetu,tunathamini michepuko zaidi.

Kuna watu tunawatendea Kwa ukatili wake zetu saana na kuwalea michepuko kama mayai!

Kuna watu tunawafanya wake zetu kuona maisha hayana maana kiasi cha kuona ndoa ni janga kuubwa hivi lisilo na matumaini wala mwisho wake haujulikani itakuaje!

Lakini unajua mkeo huyo uliye naye na unayemchukulia poa, kama utamthamini,utamheshimu,utamtunza na kumpa hadhi anayoistajili na akawa na Amani ya kutosha na wewe,atakufanya upate Raha ya maisha kuliko unavyodhani ama ulivyowahi kujua!

Unajua anaweza kukuridhisha kuliko mchepuko Yeyote unayemthamini leo kuliko mkeo!

Mchepuko yupo kwa ajili yake (anakutumia wewe kwa maslahi yake),mkeo ypo Kwa ajili yako na yeye! (Na wengine wanakuthamini kuliko wao wenyewe...)

Lakini zingatia unatakiwa kumthamini,kumheshimu,kumtunza na kumpa hadhi anayoistajili ndipo atakuwa na Amani ya kutosha na wewe kisha utafaidi mema ya nchi!😀😀

Angalizo: Nimezungumzia mke mwenye nia njema nawe, anakupenda na aliyeridhika nawewe ila wewe unamkomoa! Kwa mwanamke aliyekuja Kwa lengo la kuchuma kwako hahusiki hapa!
Hii sawa, kuna wanaume wana michepuko vichomi sana na bado wanawavulimia lakini wanaume hao hao kwa wake zao wanawatendea ndivyo sivyo. Km ilivyo KUCHEPUKA ni kupita njia isiyo rasmi au ya muda hivyo bora ubaki njia kuu ifanyie matengenezo ya kila wakati na hutajutia.
 
Nikupe mfano,Kuna mbongo muvi aliolewa na yule mchezaji wa kimataifa wa Rwanda,ndikumana (marehemu) then wakaja achana,nadhani walikaa 2 years,baada ya kuachana,yule mbongo muvi aliwahi kunukuliwa akisema alikua hampendi jamaa hata kidogo,mtu Ana sura Kama nyani.
Unasemaje kwa hilo
Yule mbongo alitaka umaarufu tu wala hakuwa na shida ya mume, kwanza ni mtu anayependa ingizo jipya. Kuwa mume/mke si jambo la sport sports.
 
Hii sawa, kuna wanaume wana michepuko vichomi sana na bado wanawavulimia lakini wanaume hao hao kwa wake zao wanawatendea ndivyo sivyo. Km ilivyo KUCHEPUKA ni kupita njia isiyo rasmi au ya muda hivyo bora ubaki njia kuu ifanyie matengenezo ya kila wakati na hutajutia.
Umenena mkuu...! Unajua kuna wanaume ni papa Kwa wake zao,ila kwa mchepuko wanyoonge hadi unawahurumia!
 
Umenena mkuu...! Unajua kuna wanaume ni papa Kwa wake zao,ila kwa mchepuko wanyoonge hadi unawahurumia!
Utamu wa pipi mate yako, mwanaume anaacha toffee nyumbani anangangania pipi kifua na hana mafua, unakuta anapelekeshwa mbaya na mchepuko wakati mkewe ni mstaarabu anahitaji upendo tu, kuna jamii fulani wanawake wake wao wanajua kuagiza tu hawana lugha laini lakini bado utakuta mtu kaganda wakati mkewe akitaka kitu ataomba na kunyenyekea kwa upendo. Mpaka wavurugwe ndo watarudi nyumbani wakati huo na ule utu wema wa wake zao haupo tena.
 
Back
Top Bottom