Kabisa...Utamu wa pipi mate yako, mwanaume anaacha toffee nyumbani anangangania pipi kifua na hana mafua, unakuta anapelekeshwa mbaya na mchepuko wakati mkewe ni mstaarabu anahitaji upendo tu, kuna jamii fulani wanawake wake wao wanajua kuagiza tu hawana lugha laini lakini bado utakuta mtu kaganda wakati mkewe akitaka kitu ataomba na kunyenyekea kwa upendo. Mpaka wavurugwe ndo watarudi nyumbani wakati huo na ule utu wema wa wake zao haupo tena.
....mmmmm, including Tigo??[emoji848][emoji848] [emoji16][emoji16]Siwezi kuacha kuzini nje ya ndoa,huko full shangwe yani unapewa style mpka shetani anakimbia chumbani
Dhambi zote sawa umezini tu....mmmmm, including Tigo??[emoji848][emoji848] [emoji16][emoji16]
Why ufanye kwa kusudi halafu ujute,fanya tuMmhhhh!!!!,,Are you serious?. Unawezaje kupenda dhambi wewe?,Sote ni wadhambi lkn hatuwezi kusema kuwa tunapenda dhambi,dhambi tunafanya lkn huku tukijisikia vibaya.
You are as condescending as presumptious.Pole kwa stress za mahusiano yako zinazokutesa! Rudi tena andika yaliyoujaza moyo wako,huenda ukapata ahueni...!
Umeanza vema hebu ongeza bidii kidogo utafanikiwa.You are as condescending as presumptious.
As ridiculous as arbitrary.
With such thick airs of pretensions, I could cut through them with a knife.
Na wewe ongeza bidii kuparamia ndoa za watu, unaweza kuolewa hata ndoa ya mitala.Umeanza vema hebu ongeza bidii kidogo utafanikiwa.
Unaruhusiwa kurudi tena kama stress hazijaisha!Na wewe ongeza bidii kuparamia ndoa za watu, unaweza kuolewa hata ndoa ya mitala.
Unalazimisha hoja kama kawaida yako.Unaruhusiwa kurudi tena kama stress hazijaisha!
Najuta ndio kwasababu nimefanya kosa la kuvunja amri ya Mungu,na wakati huo Mungu ninampenda Kwa Moyo wangu wote,Akili zangu zote,nguvu zangu zote na Kwa roho yangu yote.Why ufanye kwa kusudi halafu ujute,fanya tu
Nasisitiza,ongeza bidii! Kuna lingine limebaki bado? Andika tena.Unalazimisha hoja kama kawaida yako.
Stress unazo wewe unayeparamia ndoa za watu bila hata mualiko.
Ushapata bwana wa kukuoa hata ndoa ya mkeka?
Uzinzi hauepukiki kwenye karne hii ya mabataNajuta ndio kwasababu nimefanya kosa la kuvunja amri ya Mungu,na wakati huo Mungu ninampenda Kwa Moyo wangu wote,Akili zangu zote,nguvu zangu zote na Kwa roho yangu yote.
Bidii ukiiona utaijua ngumbaru unayejishebedua wewe?Nasisitiza,ongeza bidii! Kuna lingine limebaki bado? Andika tena.
Mkuu,uzinzi unaepukika lkn Kwa kuomba sana. Naomba uniombee niache uzinzi.Uzinzi hauepukiki kwenye karne hii ya mabata
Naona maendeleo si mabaya. Karibia nitakujibu.Bidii ukiiona utaijua ngumbaru unayejishebedua wewe?
Nani kakupa cheo cha kushauri watu usiowajua kuhusu ndoa zao?
Karibia utanijibu wakati ushajibu?Naona maendeleo si mabaya. Karibia nitakujibu.
Nadhani ushakaa sawa,siyo?Karibia utanijibu wakati ushajibu?
Did you forget your medication today or something?
Mkuu tafuna tu,dhambi hiyo mimi ndio naipenda kuliko zoteMkuu,uzinzi unaepukika lkn Kwa kuomba sana. Naomba uniombee niache uzinzi.
Mmhhh!!!!,Sawa bhanaMkuu tafuna tu,dhambi hiyo mimi ndio naipenda kuliko zote