Aiseee!!!! Dar kuna matapeli

Aiseee!!!! Dar kuna matapeli

Mi washawahi kunifata wa hivi hivi eti una matatizo umerogwa leo sikj isingeisha ungekufa akanipa karatasi nitafune ile kutema ikatoka nywele ila mi hapo nikashtuka kwa kuwa wiki moja nyuma rafiki angu aliibiwa kwa staili hiyo hiyo so sababu alinihadithia nikajua ni wale wale nikamkataa
 
Mi washawahi kunifata wa hivi hivi eti una matatizo umerogwa leo sikj isingeisha ungekufa akanipa karatasi nitafune ile kutema ikatoka nywele ila mi hapo nikashtuka kwa kuwa wiki moja nyuma rafiki angu aliibiwa kwa staili hiyo hiyo so sababu alinihadithia nikajua ni wale wale nikamkataa
Utapewaje kitu na mtu usiyemjua akuambie tafuna na wewe utafune?
 
Pole usijilaumu sana

Baki na funzo wafundishe na wengine

Ilikuwa ni siku yako ya kuibiwa tu
 
Siku moja nipo kwenye mizunguko yangu ya hapa na pale maeneo ya Ubungo nikakutana na jamaa mmoja baada ya kuzungumza nae kwa muda akaniambia nimelogwa na kuanza kuniambia mambo ya nyumbani kwetu, akaniambia kama huamini tafuna hili karatasi nikatafuna nikatema nywele Daah si nikaanza kumuamini aisee

Akaniambia nimkabidhi pesa zangu nilikuwa na Sh elfu 30 na simu akaniambia chukua hii dawa nenda mpaka pale kituo cha mwendokasi usigeuke nyuma wala kuongea na MTU ukifika itupe pale.

Ile nafika kituo cha mwendokasi akili inarudi kwamba huyu jamaa nimemuamini VP kumuachia simu yangu na pesa, nikageuka nyuma kumcheki simuoni nikaamua kurudi pale kilichofuata ni majonzi na kilio nimetapeliwa

Sitaisahau simu yangu ya Tecno spark 4 asee, niliumia sana siku hiyo
Siku nyingine watakubamiza vikubwa zaidi ulivyonavyo hapo ndio utakua umejipata
 
Siku moja nipo kwenye mizunguko yangu ya hapa na pale maeneo ya Ubungo nikakutana na jamaa mmoja baada ya kuzungumza nae kwa muda akaniambia nimelogwa na kuanza kuniambia mambo ya nyumbani kwetu, akaniambia kama huamini tafuna hili karatasi nikatafuna nikatema nywele Daah si nikaanza kumuamini aisee

Akaniambia nimkabidhi pesa zangu nilikuwa na Sh elfu 30 na simu akaniambia chukua hii dawa nenda mpaka pale kituo cha mwendokasi usigeuke nyuma wala kuongea na MTU ukifika itupe pale.

Ile nafika kituo cha mwendokasi akili inarudi kwamba huyu jamaa nimemuamini VP kumuachia simu yangu na pesa, nikageuka nyuma kumcheki simuoni nikaamua kurudi pale kilichofuata ni majonzi na kilio nimetapeliwa

Sitaisahau simu yangu ya Tecno spark 4 asee, niliumia sana siku hiyo
Karibu Daslamu Mkuu.
 
Siku moja nipo kwenye mizunguko yangu ya hapa na pale maeneo ya Ubungo nikakutana na jamaa mmoja baada ya kuzungumza nae kwa muda akaniambia nimelogwa na kuanza kuniambia mambo ya nyumbani kwetu, akaniambia kama huamini tafuna hili karatasi nikatafuna nikatema nywele Daah si nikaanza kumuamini aisee

Akaniambia nimkabidhi pesa zangu nilikuwa na Sh elfu 30 na simu akaniambia chukua hii dawa nenda mpaka pale kituo cha mwendokasi usigeuke nyuma wala kuongea na MTU ukifika itupe pale.

Ile nafika kituo cha mwendokasi akili inarudi kwamba huyu jamaa nimemuamini VP kumuachia simu yangu na pesa, nikageuka nyuma kumcheki simuoni nikaamua kurudi pale kilichofuata ni majonzi na kilio nimetapeliwa

Sitaisahau simu yangu ya Tecno spark 4 asee, niliumia sana siku hiyo
Tecno Spark4, ok
 
Mimi Kwa maneno kutapeliwa hapana labda niangushe uokote au uniibie Kwa kunikaba tena waje kuanzia 4+
 
Mkuu hayajakukuta we aya tu.
Mkuu mimi siyo kinda. Na kwenye maisha na mishe nimeshakutana na matapeli wengi sana. Kuanzia wale walikuwa wanaitwa wafunga kanyaboya, wanywesha watu madawa ya kulala kwa kutumia chambo cha demu mzuri etc... Na wote hao wameshindwa. Only kwa sababu mimi sina tamaa na nikiona mtu anataka kunizoea bila mpango namkwepa. Trust me, tapeli bila wewe kuwa na tamaa ya kutaka shortcut hakutapeli. Na pia kuwa na imani za kishirikina nako kunasababisha utapeliwe. Mimi aliyeweza kuchukuwa kitu kwangu ni mdokozi (siyo tapeli) mmoja mwanamke. Alikuwa na ''mimba'' kubwa akaja sehemu jamaa aliniomba nimsaidie kuuza nguo za watoto, akawa ananiambia ''hebu lete ilee'', nikigeuka, anachukua vinguo vilivyokuwa mezani, anatumbukiza kwenye lile tumbo la ''mimba''. Kumbe hakuwa na mimba bali alikuwa ameweka uwazi kwa ndani wa kutumbukiza vitu na kwa juu kuna ki-mlango chenye zipu.
 
Back
Top Bottom